
Cyancute⭐
@cyancutex
🥀Influence Content Creator &social media Promo Matangazo DM kwa Dada Turn my notification on Fan Clab@Simbasportclub
ID: 992028603130015745
03-05-2018 13:10:24
296 Tweet
2,2K Followers
1,1K Following

FAINALI NGAO YA JAMII AZAM FC VS YANGA SC ~Tabiri matokeo sahihi (Correct score) 90min na Goli la kwanza litafungwa dakika ya ngapi? ~Washindi wawili wa mwanzo watagawana 100,000/= Vigezo: 1) uwe umefollow page ya PROPUNTER2025 2) mwisho wa Challenge ni saa 12:00 jioni




UEFA SUPER CUP FINAL REAL MADRID VS ATALANTA ~Tabiri matokeo sahihi (Correct score) 90min na Goli la kwanza litafungwa dakika ya ngapi? ~Washindi wawili wa mwanzo watagawana 50,000/= Vigezo: 1) uwe umefollow page ya PROPUNTER2025 2) mwisho wa Challenge ni saa 22:00.





Yanga SC inakutana na CBE SA kwenye Mchezo utakaochezwa Kesho Zanzibar. Je, Yanga Ataendeleza Ubabe wake? Tabiri na Ushinde. 1. Follow InfinixMobileTZ 2. Weka Utabiri wako kwenye comment section na watag marafiki zako watatu (Mfano; Yanga 0 - CBE SA 0) 3. Re-Tweet post hii







Kwenye hi milioni 9.8 yangu MILIONI MOJA.🤝 Hongera sana Taivina James Hii ndiomaana ya KAMARI.🤝 Repost 500 niwape GIVE AWAY.🔥🔥



Yanga kucheza mechi yao dhidi ya MC Alger Jumamosi hii. Je, Anatoboa kwenda Hatua inayofuata? Tabiri na Ushinde. 1. Follow InfinixMobileTZ 2. Weka Utabiri wako kwenye comment section na watag marafiki zako watatu (Mfano; Yanga SC 0 Vs. MC Alger 0) 3. Re-Tweet post hii


SIMBA SC kucheza mechi yao dhidi ya CS Contatine Jumapili hii. Je, Mnyama anatendeleza ubabe wake Kwa mkapa? Tabiri na Ushinde. 1. Follow InfinixMobileTZ 2. Weka Utabiri wako kwenye comment section na watag marafiki zako watatu (Mfano; Simba SC 0 Vs. CS Contatine 0) 3.

