MAN IN 30's (@businessintz) 's Twitter Profile
MAN IN 30's

@businessintz

HAKUNA MATATA 👊

ID: 1641760618859438081

calendar_today31-03-2023 11:14:01

36,36K Tweet

2,2K Takipçi

5,5K Takip Edilen

🕷️ (@444holywitch) 's Twitter Profile Photo

Pombe huwa hazishuki chini. Ni hamna sexual discipline na mkiwa mmelewa akili zenu zinakosa control na kuonyesha rangi halisi mlizonazo.

Ahmad (@rajuquire) 's Twitter Profile Photo

Pima mambo kwanza, sio kwa sababu mimi nafanya na wewe ufanye/sio kwa sababu mimi sifanyi na wewe usifanye. Kila ulimi unauwezo wa kuonja wenyewe, na kila mmoja atapata anachostahili.

Myunani (@maxtz255_) 's Twitter Profile Photo

Mambo 10 niliyojifunza Kwenye sakata la Mwamba mwenye IQ 1. Ukijaribu Kujitoa Kwenye Level Ambayo jamii nzima Ipo Trust Me Majority watakumind. 2. Pesa za Watu Humu zina Siri Nyingi 3. Usiflex Watu Hawapendi 4. Forex na Masuala yote Ya Trading kwa Bongo Hapa Hawa Mentors ni

MAN IN 30's (@businessintz) 's Twitter Profile Photo

Leo nipate Bebe nyeupe yenye tako lainiii niitoe marinda nikichoka niangalie movie , by night nikacheki game nirudi kulala mapema kesho niwai chechi 😎 .

ikulu_Tanzania (@ikulumawasliano) 's Twitter Profile Photo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akisogeza kitambaa kama ishara ya kuweka jiwe la msingi na kukata utepe Ufunguzi wa Kanisa la Arise and Shine, Kawe Jijini Dar es salaam.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akisogeza kitambaa kama ishara ya kuweka jiwe la msingi na kukata utepe Ufunguzi wa Kanisa la Arise and Shine, Kawe Jijini Dar es salaam.
OSCAR MSANZI (@oscarmsanzi) 's Twitter Profile Photo

Mi huwa sielewagi Bayern Munich huwa anazidiwa wapi hadi anatolewa maana ni wamekamilika kila idara na anaupiga mwingi mno PSG anautafuta kwa tochi 👌🏾 . #FIFAClubWorldCup2025

NAJITAFUTA (@najitafuta) 's Twitter Profile Photo

Wanangu wa Bayern Munich wanajua boli mnooooo ni vile tu mikosi ya majerui inawalostisha kudadadeki 🤔 . #CWC #FIFAClubWorldCup2025