Meddy Semedo (@badmansemedo) 's Twitter Profile
Meddy Semedo

@badmansemedo

Comfortable Air Condition and Service.
Content creator/
Yanga and Arsenal Fans

ID: 1769029917428023296

calendar_today16-03-2024 15:57:17

820 Tweet

276 Takipçi

850 Takip Edilen

brilliant B (@brilliantafro) 's Twitter Profile Photo

Naimani umesharudi kutoka makazini salama, pole kwa majukumu ya siku nzima Ningependa kuwakumbusha kati ya sehemu hatari zaidi kwa mwanadamu ni sehemu za kazi -sehemi za kazi kuna unafiki mwingi -sehemu za kazi kuna umbea mwingi -sehemu za kazi kurogwa ni chap sana -sehemu za

Meddy Semedo (@badmansemedo) 's Twitter Profile Photo

Kuamka Asubuhi Ni Neema kubwa. Anza kwa kushukuru MUNGU kwa NEEMA hiyo. Amka mapema ata kama auna Jambo la kufanya Ni muhimu kwa Afya ya AKILI GOOD MORNING FAMILY

Meddy Semedo (@badmansemedo) 's Twitter Profile Photo

ZITATU Nilikuwa Dodoma chuo na manzi yangu Moja hivi ikija Gheto siku ya Kufua. Me ananiacha Nimelala Morning Yani aiwezi Tokea kufanya huo Upuuzi. Niseme tuh ukweri nitafua nitakapo Taka meme na ata akiwepo akija apo labda kupiga story sio hizo Ujinga. In my mind

Health with Mhando 🩺 (@afya_code) 's Twitter Profile Photo

ProsperNow. Bora ni kuwa Mwanaume ambaye unajiheshimu na kutambua Thamani yako hivyo ni ngumu kuvumilia dharau yoyote kutoka kuwa Mwanamke Opposite ya kuwa Nice Guy sio kuwa jerk . Kuwa na standards zako jijali na utambue thamani yako inaanzia kwako Kuwa malaya kwa Mwanaume sio wazo

Meddy Semedo (@badmansemedo) 's Twitter Profile Photo

ZITATU Kulala na mwanamke sio kipimo cha Ndoa. Ndoa Ina vitu vingi kama Mwanaume unatakiwa uwe navyo akilini Hakikisha kabla ya Kuoa jioe mwenyewe na Nafsi yangu. Funga Ndoa na malengo yako simamia Neno lako. Bussy na Life style lako. Hakikisha unakuwa Baba mwenye maendeleo then Oa

Meddy Semedo (@badmansemedo) 's Twitter Profile Photo

ISAACK LAWA PAGE ZITATU Muhimu kaka. NDOA" ni Neno lenye Upendo ukiongeza Neno Moja inakuwa NDOANO" Nina Washikaji kitaa Walioa Wakaacha Hadi leo ukienda kuwafata serious Wanakwambia Uhalisia wa NDOA" Kama Kijana Unatakiwa Ujue Umuhimu Kwanza Mwenyewe. Ukiingia kwenye mihemko unakuwa kama awa

Zumbe Khan👑 (@zumbekhan) 's Twitter Profile Photo

Unapotumia WhatsApp, unawasiliana na dunia. Lakini je, unalinda taarifa zako vya kutosha? Watu wengi wanatumia WhatsApp kila siku lakini hawajui kuna mpangilio I mean settings Nne tu zinayoweza kubadili kila kitu kuhusu usalama wao. Soma, elewa, chukua hatua. Shuka na uzi 🧵⤵️

Unapotumia WhatsApp, unawasiliana na dunia. Lakini je, unalinda taarifa zako vya kutosha?

Watu wengi wanatumia WhatsApp kila siku lakini hawajui kuna mpangilio I mean settings Nne tu zinayoweza kubadili kila kitu kuhusu usalama wao.
Soma, elewa, chukua hatua.

Shuka na uzi 🧵⤵️
Meddy Semedo (@badmansemedo) 's Twitter Profile Photo

M.D (🅨) Wanawake Kukosa MISINGI ya kiutawala. Siku hizi Wanawake wengi wanakosa MISINGI ya "MALEZI" PIli MISINGI ya MAHUSIANO wanawake wengi wakiwa katika MAHUSIANO awataki kuwa under control. SURROUNDING ENVIRONMENT hii imeleta single mother wengi mitaa inaleta Funzo katika MALEZI.

Meddy Semedo (@badmansemedo) 's Twitter Profile Photo

Fumbo Khan Uhakika unachosema kuna Wana wataleta hoja ila ukweri mtupu huu. katika mazingira yaliyo kuzunguka angalia Washikaji waliooa katika hilo lika. wamedumu au kama jamaa yupo na mke wake nenda kamfate uchukue mawazo utaona atakavyo kwambia. Kuna vitu ni serious Learn or Perish

Meddy Semedo (@badmansemedo) 's Twitter Profile Photo

@0101DUBU Kanyambo_ @allybich's son 🇹🇿 Ambele Young Willy Kaji KilwaFinest LOCHO L E G E N D ℠ Sijaelewa unaomba ushauri wa nini.? Umuoe au asifokee Wazazi wake.? huo ujinga Toa Nampenda na Ananipenda we una uhakika kama anakupenda. Kama anashindwa kuheshimu Wazazi wake una uhakika utapata Heshima.? Au umepagawa na ukishua wake. Tumia kichwa cha juu kufikilia.

Mfalme👑🇹🇿 (@mfalmewax1) 's Twitter Profile Photo

KANUNI 8 ZA KIFALME: 1. Kamwe usimuoneshe Mwanamke kumpenda kwa haraka baada ya kukutana nae tu 2. Acha kufukuzia wanawake na sex, waache wakufate - wewe zingatia kutafuta maokoto. 3. Usiweke mahusiano malaya, single mother, acha kumuonea huruma - simps hawajaisha 4. Ukiwa

Meddy Semedo (@badmansemedo) 's Twitter Profile Photo

@0101DUBU Demu sijamuoa alafu Ukweni ukajulikana Achana na huo Upuuzi. Yani mwanamke upo nae katika mahusiano Mama.Dada na ata Ana Ndugu zake wengine kujuana na kushare story aiseee. Hiko kitu kibaya Sana utajifunga na utakuta unatumika tuh. Play your Part tuh mengine achana nayo

Rouhan (@isarouhan13797) 's Twitter Profile Photo

🇪 🇸 🇮 🇷 🇹🇿🇲 🇹 🇿 Nisikilizeni kwa utulivu, si kwa jazba wala shari, Dini ni taa ya roho, demokrasia ni taa ya jamii, Ukizima moja, giza linazidi upande wowote wa njia. Mkiiacha dini, mioyo itapoa, haki itachanganywa na tamaa, Mkifuata demokrasia bila maadili, sheria zitawaumiza wenyewe,

Meddy Semedo (@badmansemedo) 's Twitter Profile Photo

ProsperNow. Ukielewa anacho maanisha MPANDA FINNEST Wala upati tabu na kuumiza kichwa. Mwanaume siku zote simamia Misimamo Yako. Usiwe mtu wa kupangiwa na kupelekeshwa. Kuna Wamba wapo katika MAHUSIANO lakini Wanawake ndo wanapanga Ratiba za kugoshana ni UZEMBE.

Pythonist (@ommy_pythonc) 's Twitter Profile Photo

Mfalme👑🇹🇿 Leo umeeongea point, kuna post wewe mwenyewe ulikuwa unapromoto ngono sana, sijui ukilala na wanawake wengi sijui heshima inaongezeka, Bro hayo mimi nimepitia sana, hakuna kibaya kama mikosi inategemeana unakutana na nani, Janja weng hawalijui hili , be selective dude,

LOCHO (@muandazi) 's Twitter Profile Photo

KANUNI 31 TAKATIFU (BRO CODES) 1. Usimdhuru mwanamke kwa njia yoyote ile – hasa kingono. 2. Mwanaume halazimiki kupika vyakula vitamu kila mara, lakini siyo kosa kujifunza. 3. Ni vyema wanaume wawili kutokuwa uchi pamoja – heshimu mipaka ya mwili. 4. Mwanaume wa kweli

Mfalme👑🇹🇿 (@mfalmewax1) 's Twitter Profile Photo

Njia 10 kuimarisha misingi - wanaume: 1. Ongea sauti ya chini na taratibu 2. Tawala kicheko chako kuficha hisia zako 3. Jifanye una mamlaka mbele ya mwanamke 4. Usawa ni uzushi, hakuna usawa na haupo 5. Elewa kila kitu kinataka mamlaka yako 6. Ongea, kula na tembea taratibu