Azam TV
@azamtvtz
Watch your favorite shows on https://t.co/6bgggrv4QE | 📞 +255784108000
ID:1629945110
http://azamtv.co.tz/tan 29-07-2013 09:22:06
94,4K Tweets
1,3M Followers
209 Following
Follow People
CRDB BANK FEDERATION CUP: Maboresho ya nguvu yanaendelea kwenye Uwanja wa Tanzanite Kwaraa mjini Babati kwa ajili ya mchezo wa fainali ya Kombe la Shirikisho la CRDB Bank utakaopigwa Juni 02, 2024.
Huyu hapa #HellenKawiche akiripoti kutoka dimbani hapo wakati wa ziara ya Makamu
#NBCPremierLeague Tabora United sasa ni 'Mtaa kwa Mtaa' kuhamasisha mashabiki wake ikiwa katika harakati za kujinusuru na panga la kushuka daraja.
Hapa wanajiandaa dhidi ya Ihefu, mchezo utakaopigwa kesho kabla ya kuwakabili mabingwa Yanga SC na kumalizia ugenini dhidi ya
Imebainishwa kuwa mpaka sasa takribani watumishi elfu 25 pamoja na zaidi ya taasisi 60 zimeshahamia makao makuu ya nchi Dodoma wakati ambapo serikali inaendelea na mpango wa kujenga majengo yake na nyumba za viongozi.
#AzamTVUpdates
Wahariri | Tuya Ibrahim, John Mbalamwezi
Serikali imesema inaendelea na ukarabati wa reli ya kati ambapo mpaka sasa kilomita 970 zimekamilika kutoka Dar es Salaam hadi Isaka mkoani Shinyanga.
#AzamTVUpdates
Wahariri | Tuya Ibrahim, John Mbalamwezi
Mapema leo, ndugu na jamaa wa watu waliokufa maji baada ya meli ya MV. Bukoba kuzama katika Ziwa Victoria miaka 28 iliyopita, wamefanya dua na ibada za kuwakumbuka wapendwa wao.
#AzamTVUpdates
Wahariri | Tuya Ibrahim, John Mbalamwezi
Tutumie maoni yako nasi tutayasoma kupitia kipindi cha Mtaa 107 itakapofika saa 8:00 hadi 10:00 jioni ukiwa na @iam_rehemakhalifa Timothy Chelula na kwenye moja na mbili ni @dj_dwhite1
#UFMBurudani Zaidi #Mtaa107 #UFMBurudani #SisiNiWewe @azamtvburudani Azam TV
Nini kimeendelea baada ya hapo? 😅 Leo sio ya kukosa kuanzia saa 1:00 usiku #SinemaZetu pekee.
#KoneksheniSeries youtube.com/@azamsinemazetu
Karibu tukupitishe vichwa mbalimbali vya habari vilivyojiri kwenye kurasa za mbele za magazeti ya leo Mei 21, 2024.
#AzamTVUpdates
#NBCPremierLeague Kesho Jumanne Azam FC watashuka kwenye Dimba la Meja Jenerali Isamuhyo kuwakabili JKT Tanzania kuanzia saa 10:00 jioni.
Kuelekea mchezo huo, makocha na wachezaji wa timu zote mbili akiwemo Hassan Dilunga wanazungumzia maandalizi yao....
#NBCPL Ilivyotokea kadi nyekundu kwa Jumanne Elifadhili.
FT: Tanzania Prisons 1-2 Mashujaa FC
Kesho ni vita ya nafasi ya pili LIVE #AzamSports1HD
#NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPL Updates #SokaLetuBambam #SokaLetuDamdam #TanzaniaPrisons #MashujaaFC #PrisonsMashujaa
#NBCPL Goli la Tanzania Prisons ni la kujifunga kupitia kwa Omary Kindamba.
FT: Tanzania Prisons 1-2 Mashujaa FC
Kesho ni vita ya nafasi ya pili LIVE #AzamSports1HD
#NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPL Updates #SokaLetuBambam #SokaLetuDamdam #TanzaniaPrisons
MSIMAMO: Hakuna aliyeshuka daraja hadi sasa…..
#NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPL Updates #SokaLetuBambam #Msimamo #Standing #LeagueTable
#NBCPL Goli la pili......Penati ya Shaban Mgandila.
87’: Tanzania Prisons 1-2 Mashujaa FC
LIVE #AzamSports1HD
#NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPL Updates #SokaLetuBambam #SokaLetuDamdam #TanzaniaPrisons #MashujaaFC #PrisonsMashujaa
#NBCPL Goli la kwanza......David Ulomi.
75’: Tanzania Prisons 1-2 Mashujaa FC
LIVE #AzamSports1HD
#NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPL Updates #SokaLetuBambam #SokaLetuDamdam #TanzaniaPrisons #MashujaaFC #PrisonsMashujaa
65’ | #NBCPL
Tanzania Prisons wako pungufu baada ya nahodha wao Jumanne Elifadhili kutolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 40.
Tanzania Prisons 1-2 Mashujaa FC
LIVE #AzamSports1HD
#NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPL Updates #SokaLetuBambam #SokaLetuDamdam
'.....humu tu' - Ally Kamwe akata mayenu hadharani, kuelekea sherehe za ubingwa wa Yanga, Mei 25, 2024 kwenye Dimba la Benjamin Mkapa.
Balaa tupu.......
#HumuTu #BalaaTupu #YangaSC #AllyKamwe #YangaPress #NBCPremierLeague #NBCPLChampions
35’ | #NBCPL
Tanzania Prisons 0-2 Mashujaa FC
LIVE #AzamSports1HD
#NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPL Updates #SokaLetuBambam #SokaLetuDamdam #TanzaniaPrisons #MashujaaFC #PrisonsMashujaa