Duduqwa(@rashdady) 's Twitter Profileg
Duduqwa

@rashdady

mwananchi..

ID:774901304313470976

calendar_today11-09-2016 09:24:02

427 تغريدات

186 متابعون

364 التالية

Duduqwa(@rashdady) 's Twitter Profile Photo

Katina swala hili la mandonga mtu kazi,,inainyesha ni kiasi gani wanahabari wetu ni darasa la 7 B..wao wanaloliona wanaenda nalo bila kuhakiki taarifa,,ni George Job na ndio waliosimamia ukweli..

account_circle
Duduqwa(@rashdady) 's Twitter Profile Photo

Ligi imesimama,wachambuzi kwa sasa wanachambua kuvunjika kwa ndoa ya Haji Manara Tena kiufundi zaidi ya vile wanavyouchambua mchezo wa mpira..kweli lile BUGATI.

account_circle
Duduqwa(@rashdady) 's Twitter Profile Photo

Kwa kizazi Chetu cha 80 mpaka 90,hatuelewi izi story za maradona kulijua boli zaidi ya mess,,story kubwa tunayoipata kumuhusu Diego ni goli la mkono dhidi ya England,,ila lapulga tunamuona,anabalaa huyoo,Anajua huyooo.

account_circle
Duduqwa(@rashdady) 's Twitter Profile Photo

Inatia moyo kuona nchi yatu bado ina vijana majasiri na waaminifu,na walio tayali kuyatoa maisha yao kwa ajili ya kusaidia wengine,kamanda kaokoa watu kwenye ajali ya ndege,,lakini kuna kijana mpumbavu anapoona ajali ukimbilia kupora mali za wahanga.

account_circle
Duduqwa(@rashdady) 's Twitter Profile Photo

Eti simba,simba sifa simba analiwa,simba anafugwa,simba anatiwa mimba na anazalishwa, Alikiba hii ngoma ya tile ni ya motooo😂😂😂

account_circle
Duduqwa(@rashdady) 's Twitter Profile Photo

Bingwa wa Epl yuko bize kusajili, alafu sisi nafasi ya 3 kumsajili bruno tunaona ndio tumemaliza kila kitu😂😂

Bingwa wa Epl yuko bize kusajili, alafu sisi nafasi ya 3 kumsajili bruno tunaona ndio tumemaliza kila kitu😂😂
account_circle
Duduqwa(@rashdady) 's Twitter Profile Photo

Wale wanaulizana ni nani anaestahili kuwa nahodha wa yanga,inamaana hawamjui au chokochoko tuu?😎😎

Wale wanaulizana ni nani anaestahili kuwa nahodha wa yanga,inamaana hawamjui au chokochoko tuu?😎😎
account_circle
Mzawa Blog Tz(@mzawablog) 's Twitter Profile Photo

Wapwa hii ni safari hadi asubuhi

TUINUANE
weka handle follow/follow back wapwa wote katika post hii

'Leaving No One Behind'💪💪💪

Wapwa hii ni safari hadi asubuhi TUINUANE weka handle follow/follow back wapwa wote katika post hii 'Leaving No One Behind'💪💪💪
account_circle
Modern Essay Writers & Assignment Help(@ModernWriters_) 's Twitter Profile Photo

Wapwaa tulikula kiapo kunyanyuana
Naona kama tuna sahau majukumu
Tuliyo pewa weka handle yako watu
Watakao like una wa follow wata follow back,hakikisha una Retweet wengi waone


Mpango ni RETWEET

account_circle