WAKUSOMA (@khamismussa19) 's Twitter Profile
WAKUSOMA

@khamismussa19

ID: 1132944127514021888

calendar_today27-05-2019 09:38:23

78 Tweet

99 Takipçi

94 Takip Edilen

Pemba Youth Voice Organization (@pembayouthvoice) 's Twitter Profile Photo

Pemba Youth Voice Organization wakiendeleza mikutano yao Kati ya klabu za shule,walimu na midauara ya Vijana Ili kuhakikisha wanaungana pamoja katika kuleta maendeleo katika jamii zao ActionAid Tanzania

Pemba Youth Voice Organization wakiendeleza mikutano yao Kati ya klabu za shule,walimu na midauara ya Vijana Ili kuhakikisha wanaungana pamoja katika kuleta maendeleo katika jamii zao <a href="/ActionaidTz/">ActionAid Tanzania</a>
Pemba Youth Voice Organization (@pembayouthvoice) 's Twitter Profile Photo

Katika kuhakikisha tunaondoa upungufu wa matundu ya vyoo mashuleni leo Pemba Youth Voice Organization tumepita na Engenear baadhi shule zilizo na upungufu huo Ili kufanya tathmini ya kina na ya uhakika nasi tuweze kuipeleka kwa washika dau kuondoa tatizo hili #KodiYanguKwaElimu

Katika kuhakikisha tunaondoa upungufu wa matundu ya vyoo mashuleni leo <a href="/PembaYouthVoice/">Pemba Youth Voice Organization</a> tumepita  na Engenear baadhi shule zilizo na upungufu huo Ili kufanya tathmini ya kina na ya uhakika nasi tuweze kuipeleka kwa washika dau kuondoa tatizo hili #KodiYanguKwaElimu
Pemba Youth Voice Organization (@pembayouthvoice) 's Twitter Profile Photo

Ili vijana kunufaika na lengo Zima la Uchumi wa blue lazima katika utengenezaji wa Sera,Serekali washuke Hadi ngazi za shehia na kukutana na WANACHI wa kada zote kuchukuwa maoni yao Severin Mapunda Akichangia neno kwa serekali kupitia #JukwaaLaFursaKwaVijanaPemba

Ili vijana kunufaika na lengo Zima la Uchumi wa blue lazima katika utengenezaji wa Sera,Serekali washuke Hadi ngazi za shehia na kukutana na WANACHI wa kada zote kuchukuwa maoni yao <a href="/MapundaSeverin/">Severin Mapunda</a>
Akichangia neno  kwa serekali kupitia #JukwaaLaFursaKwaVijanaPemba
. (@mohznz) 's Twitter Profile Photo

Daktari Bingwa wa maradhi ya kina mama na Uzazi wa Hospitali ya Mnazi Mmoja Dk.Ummulkulthum Omar akiwasilisha mada kuhusu sababu zinazopelekea vifo kwa mama wajawazito  katika mkutano wa uwasilishaji wa ripoti ya utafiti uliofanyika ukumbi wa Wizara ya Afya Mnazimmoja Mjini Z'bar

Daktari Bingwa wa maradhi ya kina mama na Uzazi wa Hospitali ya Mnazi Mmoja Dk.Ummulkulthum Omar akiwasilisha mada kuhusu sababu zinazopelekea vifo kwa mama wajawazito  katika mkutano wa uwasilishaji wa ripoti ya utafiti uliofanyika ukumbi wa Wizara ya Afya Mnazimmoja Mjini Z'bar
ActionAid Tanzania (@actionaidtz) 's Twitter Profile Photo

Virtual launch of “Unheard Voices” COVID-19 youth report on 30 June to feature representatives of youth-led research team. Join us on Zoom! You can sign up via this link. eventbrite.com/e/virtual-laun…

Virtual launch of “Unheard Voices” COVID-19 youth report on 30 June to feature representatives of youth-led research team. Join us on Zoom! 
 
You can sign up via this link.
 
eventbrite.com/e/virtual-laun…
Gilana G. Enterprise (@gg_enterprise) 's Twitter Profile Photo

Ushirikishwaji wa Vijana wenye udhoefu kwa ajili ya kujengeana uwezo na maarifa zaidi katika nyanja ya ukuaji wa Teknolojia/Mtandao, kuwa mmoja kati ya Vijana 300 watakaoshiriki #DPSProgram kwa kujiuna kupitia 0710 140 994 au 0742 247 987. #DPSJuly2021 #DigitalProfessionalSkills

Ushirikishwaji wa Vijana wenye udhoefu kwa ajili ya kujengeana uwezo na maarifa zaidi katika nyanja ya ukuaji wa Teknolojia/Mtandao, kuwa mmoja kati ya Vijana 300 watakaoshiriki #DPSProgram kwa kujiuna kupitia 0710 140 994 au 0742 247 987.

#DPSJuly2021 #DigitalProfessionalSkills
Pemba Youth Voice Organization (@pembayouthvoice) 's Twitter Profile Photo

Vijana wa Pemba tunaihimiza serikali kuhakikisha kunajengwa vyoo Madhubuti mashuleni kupitia kodi za wananchi kuondoa adha ya vyoo kwa wanafunzi #KodiYanguKwaElimu

Vijana wa Pemba tunaihimiza serikali kuhakikisha kunajengwa vyoo Madhubuti mashuleni kupitia kodi za wananchi kuondoa adha ya vyoo kwa wanafunzi
#KodiYanguKwaElimu
Wizara ya Elimu Zanzibar (@wemazanzibar) 's Twitter Profile Photo

Ziara ya Mhe. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Hussein Ali Mwinyi, akitembelea miradi mbalimbali ya maendeleo katika sekta ya Elimu Mkoa wa Kusini Unguja.

Ziara ya Mhe. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Hussein Ali Mwinyi, akitembelea miradi mbalimbali ya maendeleo katika sekta ya Elimu Mkoa wa Kusini Unguja.
Hakainde Hichilema (@hhichilema) 's Twitter Profile Photo

With victory in sight, I'd like to ask for calm from our members and supporters. We voted for change for a better Zambia that's free from violence and discrimination. Let us be the change we voted for and embrace the spirit of Ubuntu to love and live together harmoniously.