Djkid_b (@blessdgroovekid) 's Twitter Profile
Djkid_b

@blessdgroovekid

ID: 1580641191032508421

calendar_today13-10-2022 19:27:22

8,8K Tweet

1,1K Takipçi

841 Takip Edilen

GabbY (@iamgabby_1) 's Twitter Profile Photo

Makosa atakayofanya mwanamke hapaswi kupewa msamaha. 4️⃣ 1. Kufumaniwa. 2. Akisema hataki mahusiano tena nawewe hata akirudi kuomba msamaha usikubali. 3. Akikopa bila ridhaa akashindwa kurejesha mkopo. 4. Kuweka rehani vitu vya ndani ili kununua kitu.

fantasy 🤍🧚 (@fefe_doll) 's Twitter Profile Photo

Hiyo nguvu unayotumia kumlaani Ex wako ,itumie kulaani umasikini ulio nao 😂 Fanya kazi Kwa bidii uache kujitilisha huruma Kwa watu .

Dullah_theKing🎧 (@dullahtheking2) 's Twitter Profile Photo

Bongo wakianza ng'ang'ania kitu ni mpaka kiseme. Siku hizi kila EP inayotolewa lazima ipatikane sound ya Mnanda ndani yake. Enewei sio jambo baya ila kama ni kwa leo la kuikuza Sound yetu zaidi, zitolewe kama "Singo Project" 🚶🏾‍♂️

Dullah_theKing🎧 (@dullahtheking2) 's Twitter Profile Photo

Nyumba zetu za uswazi, unaelekea chooni unakuta mzigo upo pale juu, ile unaamua kuahirisha zoezi na kurudi gheto Unakutana na jirani anaelekea chooni pia 😅 Unatamani uanze kumwambia kuwa umeyakuta ila kwenye kuaminika ndio kipengele 😅

AM💡 (@tonnyunfiltered) 's Twitter Profile Photo

Usiwahi kurudisha mtu aliyewahi kuwa rafiki au hata ndugu maishani mwako, ambaye aliharibu sifa yako, tabia yako, hali yako ya kifedha, au mahusiano yako.

𝐌𝐚𝐱𝐦𝐢𝐥𝐢𝐚𝐧 (@_cfcmax) 's Twitter Profile Photo

Tff na viongozi wake wote na bodi ya League wajiuzulu watafitwe watu wanaojua mambo ya mpira, pia mpira hauhusiani na serikali 💯 hii sector inajitegemea yenyewe na inasheria zake.

Dullah_theKing🎧 (@dullahtheking2) 's Twitter Profile Photo

Hakuna kipya kilichofanya nishtuke, ni MBOSSO yule yule wa siku zote. Ingawa ni kazi nzuri sana ila anasikika MBOSSO yule yule. 7.5/10 🔥 PAWA ndio ngoma yangu bora ☑️

Hakuna kipya kilichofanya nishtuke, ni MBOSSO yule yule wa siku zote.

Ingawa ni kazi nzuri sana ila anasikika MBOSSO yule yule.

7.5/10 🔥

PAWA ndio ngoma yangu bora ☑️