Bilbo Baggins (@barga1n) 's Twitter Profile
Bilbo Baggins

@barga1n

Keep the world clean and safe ๐ŸŒด
Yanga ๐Ÿ”ฐ

ID: 1305540178019323904

calendar_today14-09-2020 16:13:48

2,2K Tweet

4,4K Takipรงi

1,1K Takip Edilen

Martin Maranja Masese (@iamartin_) 's Twitter Profile Photo

Taifa ambalo redioni asubuhi hadi mchana wanajadili michezo. Mchana hadi jua linapozama wanajadili umbea. Jua likizama wanarudi kwenye michezo. Usiku wanajadili ngono hadi pakuche. Hakuna vipindi vya taaluma, ujasiriamali, kilimo, midahalo. Hilo ni TAIFA lipo kaburini kitambo.

Bilbo Baggins (@barga1n) 's Twitter Profile Photo

Kuongea Kiingereza hakufanyi ulichoandika kuwa HEKIMA.. Mtaji no 1 wa nchi Yeyote ile duniani ni Raia.. Sasa kama raia wanapotea/tezwa Hiyo nchi itamuongoza nani?? Hata wafanye nini lakini serekali yeyote isipoona umuhimu wa raia mmoja Hakuna Kitu wanafanya

Bilbo Baggins (@barga1n) 's Twitter Profile Photo

Kuanzia leo Na muendelezo wa siku zote zilizobaki kwenye maisha yangu sitashirikiana chochote kile na wanaccm iwe msiba, sherehe, matukio yeyote ya kijamii awe Baba yangu mama yangu, ndugu au mtu yeyote awae yule hata nikipata shida sitataka wasogee nyumbani kwangu Mungu yupo

Bilbo Baggins (@barga1n) 's Twitter Profile Photo

Imagine huyu ndio alikua mpiga kampeni wa Mbowe.. Kichwa Cheupe hivi kama barafu.. Tafsiri ya Mtu unaipata kwa watu wanaomzunguka.. Mlikua Matapeli wa kisiasa hata Ccm walikua wanasema cdm ni sacos Anyway njaa imewaka tunakuona live

Bilbo Baggins (@barga1n) 's Twitter Profile Photo

Huwezi kuwa upande wa wauwaji ukasema mimi siungi mkono wauwaji.. Umewahi kuona Sheikh anafuga nguruwe alafu anawaambia waumini nguruwe ni haramu??? Nyie ni wakutenga ๐Ÿซต Naku-unfollow mapema you just a smiling killer

Boniface Jacob (@exmayorubungo) 's Twitter Profile Photo

"Ndipo Samweli akatwaa jiwe, na kulisimamisha kati ya Mispa na Sheni, akaliita jina lake Ebenezeri, akisema, Hata sasa BWANA ametusaidia." 1 Samweli 7:12

"Ndipo Samweli akatwaa jiwe, na kulisimamisha kati ya Mispa na Sheni, akaliita jina lake Ebenezeri,
 akisema, Hata sasa BWANA ametusaidia."    1 Samweli 7:12
Bilbo Baggins (@barga1n) 's Twitter Profile Photo

Muda ni Hakimu wa Haki Hili kanisa ambalo tuliambiwa linaabudu sanamu/freemasonry ndio pekee linakemea uovu na ukatili.. Wale waliokua wanajifanya wanamuabudu Mungu wa kweli wameshindwa kusema kweli ya Mungu.. Leo muda umetuambia makanisa gani ndio yakishetani.. ๐Ÿซต

Muda ni Hakimu wa Haki

Hili kanisa ambalo tuliambiwa linaabudu sanamu/freemasonry ndio pekee linakemea uovu na ukatili.. Wale waliokua wanajifanya wanamuabudu Mungu wa kweli wameshindwa kusema kweli ya Mungu..
Leo muda umetuambia makanisa gani ndio yakishetani.. ๐Ÿซต
Bilbo Baggins (@barga1n) 's Twitter Profile Photo

Hiyo video inayoonesha ni mortuary ya mwananyamala inatisha. Yaani hadi shetani mwenyewe anajifunza kwa huo ukatili. Huu umwagaji damu ni zaidi ya kafara wamewamwaga kama mitumba mashuka ya Msd hayatoshi kuwafunika. Na mliokua mnapiga risasi mnakula kabisaa na familia zenu.. ๐Ÿ˜ญ

Bilbo Baggins (@barga1n) 's Twitter Profile Photo

Ukimwaga damu ya mtu utateseka Utaishi kwa mateso, maruweruwe hutakuwa na raha wala amani ya moyo majuto na msuto wa nafsi utakuandama hadi UFE.. . NB ukiua mtu unavyozidi kuficha ushahidi ndo unazidi kuacha ushahidi kuwa uliua . KIRI, FANYA TOBA Punguza mzigo nafsini mwako

Bilbo Baggins (@barga1n) 's Twitter Profile Photo

Hata mtangazaji mwenzio Master TINDWA hakuongea chochote na aliuliwa.. Unafikiri maisha yanahitaji haraka basi wala usiogope Utafikiwa

ProsperNow. (@prossoff) 's Twitter Profile Photo

Hongera sana kaka. Wanangu turetweet yangu nidake hiyo simu ndio niongeze mawanda ya kutoa nondo kwa simu nyingi. Haters na wanangu sana. Turetweet hii nishinde sasa, hamnilipagi mjue๐Ÿคฃ Hii naiombeni. Njiwa Store

Bilbo Baggins (@barga1n) 's Twitter Profile Photo

Huwezi kujua kila kitu kwenye maisha na kama Ungekua unajua mambo yote unayoongeaga usingekua unapost kwa usalama wako na watu wanaokuzunguka maana wewe ni mlevi ambae unafikika within a minutes.

Bilbo Baggins (@barga1n) 's Twitter Profile Photo

Hao mnaosema mashahidi wa siri wanafahamika na watafahamika na watanzania wote mlichofanya ni ujinga wa mda mfupi ambao utakuwa wazi miaka elfu ijayo.. Wahenga waliposema hakuna siri ya watu wawili mnahisi ni makalio yenu kuwa yapo mawili mtayafunika kirahisi sio..?

Hao mnaosema mashahidi wa siri wanafahamika na watafahamika na watanzania wote mlichofanya ni ujinga wa mda mfupi ambao utakuwa wazi miaka elfu ijayo..

 Wahenga waliposema hakuna siri ya watu wawili mnahisi ni makalio yenu kuwa yapo mawili mtayafunika kirahisi sio..?
Bilbo Baggins (@barga1n) 's Twitter Profile Photo

Vijana waliokamatwa kabla ya uchaguzi ndio wanatumiwa kutoa ushahidi wa hii kesi ambayo haikuwepo wakiwa wanakamatwa Dpp kusema mashahidi wawe wa siri kwa sababu ya Kutishiwa maisha Lisu amewahoji kama wamewahi kutishiwa na wamesema si kweli.. ๐Ÿ˜‚ NJIA YA MWONGO NI FUPI SANA

Bilbo Baggins (@barga1n) 's Twitter Profile Photo

Mstaafu wa awamu ya 4 ndio chanzo kikuu cha matatizo yote yaliyotokea nchini.. Na mengine mengi yanayoendelea..Kila kona kuna mkono wake ni kama hastahili kuitwa mstaafu Ila Siku zake zipo Ukingoni..