Tuliambiwa na mbeba maono fedha zilizokuja CHEDEMA ni za mama akishirikana na mwanae Abdul usibadilishe ukweli na wamelipuliwa. Za ccm zinakuja kwenu na wana fadhili mikutano 😂😂😂
Utaficha wajinga wenzako mnapindisha hoja mnaleta masuala ya udini kama kawaida yenu. Msichokijiwa ni kuwa uwongo na dhuluma hutamalaki kwa muda tu ukweli unatabia ya kujidhihirisha mwishoni jipe muda
Kaka umeandika kwa weledi mkubwa sana, ila shida ni wapotoshaji. Kama tunadhamira ya kweli na kupendana twende kwenye Serikali moja. Kama bado tunataka linda tamaduni zetu basi twende na Serikali tatu Keisha.
Tunao jua kusoma in the line tunakugundua wewe ni ccm au ACT, kama ungekuwa huna chama kwenye matusi ungeitaja ccm au kwa ujumla ungesema vyama 😂😂 sisemi CDM haina vijana wanaotukana ila ccm wanaongoza🤦🏾
Kweli unachosema tulinyamaza kwa kuwa madhara yalikuwa hayajaonekana,watu wameumia zaidi pale Wazanzibar walipouza Bandari na kuhamisha wamasai bila kujali malalamiko ya Watanganyika waliowengi.
Nikuwa napenda sana kuangalia vipindi vya Bunge, tangu bunge hili la la maokoto sijawahi kutazama kipindi chochote. Wameturudisha sana nyuma hawa wabunge walemavu.