@Joblube4
calendar_today19-01-2023 16:33:58
3,0K Tweets
521 Followers
2,0K Following
2 weeks ago
Kaka umeandika kwa weledi mkubwa sana, ila shida ni wapotoshaji. Kama tunadhamira ya kweli na kupendana twende kwenye Serikali moja. Kama bado tunataka linda tamaduni zetu basi twende na Serikali tatu Keisha.