mimilicious🌹🍒
@amina_hafidh
I don't give a damn💛💚💛💚yanga damudamu✌ madam influencer
Man U fan ❤💛❤💛
Muslim girl🧕mtoto wa ulamaar😌🕋
ID:1241332573495795713
21-03-2020 11:55:41
177,1K Tweets
130,9K Followers
2,9K Following
Follow People
Our new banger is already here🔥🔥🔥
The waiting finally over
New hit from
@Chabajun
#Unanimaliza is out now gusa link👇
youtu.be/7llhUKYQ7sw?si…
Don't forget to stream on Audiomack👇
audiomack.com/chaba-junior/s… links on his bio
The criminal empire is crumbling and it’s beautiful to watch. ☺️☺️
Sebuleni wanasema hata makamu mwenyekiti Tundu Antiphas Lissu unalamba asali ukiendelea kuhujumu chama soon watakuja hewani na taarifa kamili.
'Vyombo vya Habari nchini bado havijapewa heshima yake ipasavyo, hivyo waandishi lazima kupaza sauti kwa manufaa ya umma ili kurejesha heshima yake,' Dkt. Mzuri Issa, Mkurugenzi TAMWA ZNZ.
#UhuruWaHabari
'Kazi ya Utetezi (advocacy) imeanza kwa miaka takribani kumi kudai Sheria mpya ya habari yenye maslahi kwa waandishi na jamii kwa ujumla,' Shifaa Said, Afisa Mwandamizi, Baraza la Habari Tanzania (MCT) Zanzibar.
Nini kifanyike ili kupatikana #UhuruWaHabari ?