Paskali Albini Shauri (@albinishauri) 's Twitter Profile
Paskali Albini Shauri

@albinishauri

ID: 1449382439432949771

calendar_today16-10-2021 14:31:45

70 Tweet

254 Followers

1,1K Following

Alexander (@alesandrojr) 's Twitter Profile Photo

ANGELUS/MALAIKA WA BWANA. Malaika wa Bwana alimpasha habari Maria,naye akapata mimba kwa uwezo wa Roho Mtakatifu. ~Salamu Maria... Ndimi mtumishi wa Bwana,nitendewe ulivyosema. ~Salamu Maria... Neno wa Mungu akatwaa mwili,akakaa kwetu. ~Salamu Maria... Utuombee mzazi

ANGELUS/MALAIKA WA BWANA.

Malaika wa Bwana alimpasha habari Maria,naye akapata mimba kwa uwezo wa Roho Mtakatifu.
~Salamu Maria...

Ndimi mtumishi wa Bwana,nitendewe ulivyosema.
~Salamu Maria...

Neno wa Mungu akatwaa mwili,akakaa kwetu.
~Salamu Maria...

Utuombee mzazi
Florence (@flor_ell879) 's Twitter Profile Photo

5th Sept 2023, Tuesday. (Prayers to St Mother Teresa) โœ๏ธ Sign of the Cross โœ๏ธ Dear Mother Teresa, embrace me in your motherly arms, for my love to be united with your love, the love that brings us to the true light, the Holy Divine Heart. My mother & mother of the world, you

5th Sept 2023, Tuesday. (Prayers to St Mother Teresa)
โœ๏ธ Sign of the Cross โœ๏ธ

Dear Mother Teresa, embrace me in your motherly arms, for my love to be united with your love, the love that brings us to the true light, the Holy Divine Heart. My mother & mother of the world, you
Alexander (@alesandrojr) 's Twitter Profile Photo

KWANINI WAKATOLIKI HUFANYA ISHARA YA MSALABA KWENYE PANDA LA USO, MDOMONI NA KIFUANI WAKATI WA INJILI KATIKA MISA? Wakati wa Misa, tunafanya ishara ndogo ya Msalaba katika panda la uso, midomoni, na kifuani, kwa sababu ishara hizi za nje zinazofanywa na miili yetu zinatuelekeza

KWANINI WAKATOLIKI HUFANYA ISHARA YA MSALABA KWENYE PANDA LA USO, MDOMONI NA KIFUANI WAKATI WA INJILI KATIKA MISA?

 Wakati wa Misa, tunafanya ishara ndogo ya Msalaba katika panda la uso, midomoni, na kifuani, kwa sababu ishara hizi za nje zinazofanywa na miili yetu zinatuelekeza
Alexander (@alesandrojr) 's Twitter Profile Photo

SALA KABLA YA KULALA. Sasa siku imekwisha, kwako Mungu napandisha, Moyo wangu wa shukrani, Nipumzike kwa Amani, Mema mengi umenipa, Nashindwa kukulipa, Baba mwema ondolea, Yote niliyokukosea, Yesu mpenzi nijie , Ombi langu usikie. Unifiche mtoto wako, Ndani ya jeraha Zako, Ee

SALA KABLA YA KULALA.

Sasa siku imekwisha,
kwako Mungu napandisha,
Moyo wangu wa shukrani,
Nipumzike kwa Amani,
Mema mengi umenipa,
Nashindwa kukulipa,
Baba mwema ondolea,
Yote niliyokukosea,
Yesu mpenzi nijie ,
Ombi langu usikie.

Unifiche mtoto wako,
Ndani ya jeraha Zako,
Ee
Alexander (@alesandrojr) 's Twitter Profile Photo

Tunaukimbilia, ulinzi wako mzazi Mtakatifu wa Mungu, usitunyime tukiomba katika shida zetu, utuokoe kila siku tuingiapo hatarini, Ee Bikira Mtukufu mwenye baraka, Amina.๐Ÿ™

Tunaukimbilia, ulinzi wako mzazi Mtakatifu wa Mungu, usitunyime tukiomba katika shida zetu, utuokoe kila siku tuingiapo hatarini, Ee Bikira Mtukufu mwenye baraka, Amina.๐Ÿ™
Alexander (@alesandrojr) 's Twitter Profile Photo

NOVENA KWA MT. RITA WA KASHIA, SIKU YA 01 Kwa jina la Baba, na la Mwana na la Roho Mtakatifu. Amina. Ee Mtakatifu Rita mfanya miujiza, uniangalie kwa macho yako yenye huruma, mimi ninaye teseka na kutoa machozi. Uone moyo wangu unaotoka damu umezungukwa na miiba. Yaone macho

NOVENA KWA MT. RITA WA KASHIA, SIKU YA 01

Kwa jina la Baba, na la Mwana na la Roho Mtakatifu. Amina.

Ee Mtakatifu Rita mfanya miujiza, uniangalie kwa macho yako yenye huruma, mimi ninaye teseka na kutoa machozi. Uone moyo wangu unaotoka damu umezungukwa na miiba. Yaone macho
Alexander (@alesandrojr) 's Twitter Profile Photo

NIA NJEMA. Kumheshimu Mungu wangu Namtolea roho yangu, Nifanye kazi nipumzike Amri zake tu nishike Wazo, neno, tendo lote Namtolea Mungu pote Roho, mwili chote changu, Pendo na uzima wangu Mungu wangu nitampenda, Wala dhambi sitatenda. Jina lako nasifia, Utakalo hutimia. Kwa

NIA NJEMA.
Kumheshimu Mungu wangu
Namtolea roho yangu,
Nifanye kazi nipumzike
Amri zake tu nishike
Wazo, neno, tendo lote
Namtolea Mungu pote
Roho, mwili chote changu,
Pendo na uzima wangu
Mungu wangu nitampenda,
Wala dhambi sitatenda.

Jina lako nasifia,
Utakalo hutimia.
Kwa
Alexander (@alesandrojr) 's Twitter Profile Photo

NOVENA KWA MTAKATIFU RITA WA KASHIA. SIKU YA 02 Kwa Jina la Baba, na la Mwana, na la Roho Mtakatifu. Amina Ewe mfanya miujiza Mtakatifu Rita wa Kashia. Naona njia ya maisha yako imejaa majaribu na miiba mingi inayochoma, ambayo nahofia imepasua moyo wako vipande vipande. Ee

NOVENA KWA MTAKATIFU RITA WA KASHIA.

SIKU YA 02

Kwa Jina la Baba, na la Mwana, na la Roho Mtakatifu. Amina

Ewe mfanya miujiza Mtakatifu Rita wa Kashia.  Naona njia ya maisha yako imejaa majaribu na miiba mingi inayochoma, ambayo nahofia imepasua moyo wako vipande vipande. Ee
Alexander (@alesandrojr) 's Twitter Profile Photo

NOVENA KWA MT. RITA WA KASHIA. SIKU YA 03 Kwa jina la Baba, na la Mwana, na la Roho Mtakatifu, Amina. Natazama huku na huko bila ya kupata mahali pa mapumziko, huku macho yangu yakiwa yametiwa uvuli kwa uchungu. Matarajio yoyote ya dunia hii hayauchangamshi moyo wangu

NOVENA KWA MT. RITA WA KASHIA.

SIKU YA 03

Kwa jina la Baba, na la Mwana, na la Roho Mtakatifu, Amina.

Natazama huku na huko bila ya kupata mahali pa mapumziko, huku macho yangu yakiwa yametiwa uvuli kwa uchungu. Matarajio yoyote ya dunia hii hayauchangamshi moyo wangu
Alexander (@alesandrojr) 's Twitter Profile Photo

Kuna watu wengi ambao ni wagonjwa, wengine wamelazwa mahospitalini, wengine wapo majumbani mwao, wamekata tamaa ya maisha, hawana tumaini tena. Tuwaombee wote na kuwakumbuka katika sala. Mungu Mwenyezi wa milele aliye mwanzo na mwisho wa uhai, awape faraja na tumaini jipya.

Kuna watu wengi ambao ni wagonjwa, wengine wamelazwa mahospitalini, wengine wapo majumbani mwao, wamekata tamaa ya maisha, hawana tumaini tena. Tuwaombee wote na kuwakumbuka katika sala.

Mungu Mwenyezi wa milele aliye mwanzo na mwisho wa uhai, awape faraja na tumaini jipya.
Alexander (@alesandrojr) 's Twitter Profile Photo

NOVENA KWA MTAKATIFU RITA WA KASHIA SIKU YA 08 โœKwa jina la Baba, na la Mwana, na la Roho Mt. Amina Ewe kielelezo kitakatifu cha Msalaba Mtukufu, ninapokuona ukiwa umesujudu mbele ya miguu mitakatifu ya Bwana, ninapotafakari paji la uso wako lililojeruhiwa kwa mwiba uliotoka

NOVENA KWA MTAKATIFU RITA WA KASHIA

SIKU YA 08

โœKwa jina la Baba, na la Mwana, na la Roho Mt. Amina

Ewe kielelezo kitakatifu cha Msalaba Mtukufu, ninapokuona ukiwa umesujudu mbele ya miguu mitakatifu ya Bwana, ninapotafakari paji la uso wako lililojeruhiwa kwa mwiba uliotoka