Ahmady Safia (@ahmadysafia) 's Twitter Profile
Ahmady Safia

@ahmadysafia

*●Photographer
*●Retoucher

ID: 3332940033

calendar_today18-06-2015 16:59:21

1,1K Tweet

677 Takipçi

471 Takip Edilen

Jalilu Zaid (@jaliluzaid) 's Twitter Profile Photo

Mtume Muhammad S.A.W alisema "Asitamani mmoja wenu kifo kwa sababu ya taabu zinazomzonga, kwa sababu ya misukosuko ya dunia, kwa sababu ya maisha magumu. Ukasema natamani nisingekuwepo katika dunia au hata kutamani kujiua." Hakika ya Mwenyezi Mungu yuko na wenye kusubiri.

Jalilu Zaid (@jaliluzaid) 's Twitter Profile Photo

mKigoma ⚓ Na Mwislamu yeyote asione aibu kutafuta elimu kwa kuhofia watu watamuonaje kutokana na cheo, kazi au utajiri wake. Manake mwenye aibu hapati kujifunza

AMORIM ERA🇵🇸@allymohamed (@kingluda18) 's Twitter Profile Photo

Allah atufanyie wepesi ila ni msiba unakutana na vijana wa rika lako au vijana baleghe tayari msikitini namna ya kuchukua udhu na kuswali ni mtihani hili ni suala la kufedhehesha wallah sisi tunaenda kua wazazi tusiwe sehemu ya wazazi watakaolea watoto kisasa na tushindwe

MUDI FOOD FACTORY (@mudimabiriani) 's Twitter Profile Photo

Kama unaliona hili TANGAZO tunaomba repost yako wengi wajue 🙏🏿 "IDI KUBWA" sikukuu biriani itakuwepo☑️ Weka oda yako advance tukufikishie parcel yako on time +255719068333 ☎️ WhatsApp☑️ 📍Tuko sinza mori close na delina apartment kabla haujafika kitambaa cheupe

Kama unaliona hili TANGAZO tunaomba repost yako wengi wajue 🙏🏿

"IDI KUBWA" sikukuu biriani itakuwepo☑️
Weka oda yako advance tukufikishie parcel yako on time 
+255719068333 ☎️ WhatsApp☑️

📍Tuko sinza mori close na delina apartment kabla haujafika kitambaa cheupe
أبو سهيلة (@abuwsuhaylah) 's Twitter Profile Photo

Inatikiwa misahafu 30 mas'hafu moja tshs 5k Markaz Abiy Hurayrah - Kongowe Mwenye wasa' awanunulie ipelekwe Tanbih: inatakiwa misahafu sio hela | baarakallahu fiykum

Jalilu Zaid (@jaliluzaid) 's Twitter Profile Photo

Just because someone has left their doors open doesn’t give you the freedom to go inside and steal their belongings. People choose to post their own pictures for their own reasons. That shouldn’t give you the freedom to sexualize them by using AI tools. To well mannered

Jalilu Zaid (@jaliluzaid) 's Twitter Profile Photo

The society says that you are still young enjoy life while the hard truth is that death doesn’t really care about your age.

Jalilu Zaid (@jaliluzaid) 's Twitter Profile Photo

Huenda tunaishi katika neema ambazo tuliwahi kupiga goti kumuomba Mungu atujaalie neema hizo. Hatujioni kwa sababu mioyo ya mwanadamu si yenye kushukuru hata kwa kidogo. Ikipata pesa inataka tatu na ikipata tatu inataka tano.

Jalilu Zaid (@jaliluzaid) 's Twitter Profile Photo

Kifo humfika mtu yeyote na wakati wowote. Basi ishi maisha yako kama leo ndio mwisho wa uhai wako, hiyo itakusaidia kuishi na watu kwa wema na uadilifu. Dunia ni pambo tu lenye kupoteza halafu la muda mfupi. Basi yasikufanye yale yanayoihusu Dunia ukapoteza utu wako.

Vliandro (@vliandro_gerald) 's Twitter Profile Photo

Nina mchele almost gunia 30+ 🤌🏽 ni mchele Grade 1 yani its grade A pure na msafi kabsa from Ifakara.... Nahitaji wateja 🥱🤲🏽 mniungishe nisife maskini jamani...In case your Interested nitumie message Inbox/DM 📥

Jalilu Zaid (@jaliluzaid) 's Twitter Profile Photo

Mtume Muhammad (SAW) alimwambia mtu: "Yatumie vizuri mambo matano kabla hayajakupata matano mengine:" 1. Ujana wako kabla ya uzee wako 2. Afya yako kabla ya maradhi yako 3. Utajiri wako kabla ya ufukara wako 4. Wakati wako wa faragha kabla ya shuguli zako 5. Uhai wako kabla

Jalilu Zaid (@jaliluzaid) 's Twitter Profile Photo

Kiasi kidogo cha halali chenye amani na uhuru wa kuishi na kuabudu ni bora zaidi kuliko haramu inayokuondolea uhuru huo. Vijana, tuendelee kupambana kwa njia halali; kilichoandikwa, kimeandikwa. Mwisho wa siku, kaburi halina VIP, na maisha ya dunia hayakuwa ila ni pambo la muda

Jalilu Zaid (@jaliluzaid) 's Twitter Profile Photo

Kwa wale wenye kuamini ni muhimu sana kusoma maisha na visa vya wale waliokuwa kabla yetu. Kwa sababu wengi wao walikuwa wameneemeshwa vitu vingi lakini wamebaki historia katika ulimwengu. Ukimaliza kusoma visa vyao, geukia familia na ukoo wako. Wakumbuke mababu zako