Adamoo (@addy_adams) 's Twitter Profile
Adamoo

@addy_adams

لا إله إلا الله محمد الرسول الله

ID: 411835341

calendar_today13-11-2011 23:09:36

142,142K Tweet

11,11K Takipçi

786 Takip Edilen

Adamoo (@addy_adams) 's Twitter Profile Photo

G55 waliji milikisha Chama G55 walijiona bila wao Chama kitakufa G55 bila shaka waliSign barua za Covid G55 No reform yao ilikua Biashara ya SIASA Kaeni pembeni Jahazi liendelee na safari ngoma bado mbichi hadi Machame ajitokeze

Adamoo (@addy_adams) 's Twitter Profile Photo

Nachokubali kina Heche wao hawana muda wa kujibizana na Madalali wala hawakupeleki Mjini ni kazi kazi Namna hii hata kama mimi natema BUNGO 😂

Adamoo (@addy_adams) 's Twitter Profile Photo

CDM kuanziasha Acc mpya ni Unyonge,,, kwani ile Acc si mali ya chama au ya Mrema?? Utaratibu ufanyike airudishe au iwe Hacked

Adamoo (@addy_adams) 's Twitter Profile Photo

Jamaa kapotea kama Sindano,,, kaacha KAZI ya ukweli sana, inauma aisee! Kama ni Jumping jumping no Position huwezi kukaa pale. MUNGU amfanyie wepesi Dada

Adamoo (@addy_adams) 's Twitter Profile Photo

Ulaya wana Bunge,, Afghanistan wala Kodi Mbunge hadi anamaliza kuchangia huskii kelele za Taarifa kila saa wala hawazungumzii kwanini Mwanaume mtu mzima hajatahiriwa

Adamoo (@addy_adams) 's Twitter Profile Photo

Kweli John Mrema mzee wa Ngano,,, Akipiga kreti zake network inakata 😂😂😂 Anasema Vijana wanao endesha Acc za chama wanadai malipo yao wakafukuzwa na KM pamoja na Heche Cha ajabu Vijana hao hao wamerusha tukio la G55. Mrema anatuona wote tumetoka Kishumundu eeh