Vincent Matekwa (@vmatekwa) 's Twitter Profile
Vincent Matekwa

@vmatekwa

gmail

ID: 976185788328275969

calendar_today20-03-2018 19:56:43

1,1K Tweet

501 Followers

92 Following

Vincent Matekwa (@vmatekwa) 's Twitter Profile Photo

#KiQwetuAsubuhi Joseph Marwa QwetuRadio mastermogaka mogaka wewe nimutetezi ya wanaume shikilia hapo hapo ,kesho hata nitakupatia mrembo moja na konga yeye kama umefunguliwa jela.

Vincent Matekwa (@vmatekwa) 's Twitter Profile Photo

#QwetuAsubuhi Kakind mastermogaka QwetuRadio Dorah Manya Niko ndani ya show pila samahani ,Rhumba ilifanya nikamuona mrembo wa bwani Kakinda lakini hakutingiza kiuno hata kama kina kazi yake.

Vincent Matekwa (@vmatekwa) 's Twitter Profile Photo

#QwetuKazini Kakajp JNR QwetuRadio Awamu ya pili niko ndani kama kawa,mwanaume kamili nilazima uwe na watoto inje ya ndoa ,na hata kwa bibilia sio makosa,soma King Solomon .

Vincent Matekwa (@vmatekwa) 's Twitter Profile Photo

#qwetuKazini QwetuRadio Kaka JP Junior Awamu ya bili niko ndani pila samahani ,,Team kibra,Evans Likhanga,Million Victor,Shehe Kahindi,Colo,Mbinda jumaa,Peter Githina wote wako locked 95.3 kauti no 47.

Vincent Matekwa (@vmatekwa) 's Twitter Profile Photo

#qwetuasubuhi Dorah Manya mastermogaka QwetuRadio Massy ni musichana mdogo na hakujuwa vile alikuwa anafanya ,tena nifunzo kwa wahajiri wanaonyanyasa wafanya kazi hasa wasichana wadogo

Vincent Matekwa (@vmatekwa) 's Twitter Profile Photo

#qwetuasubuhiTBT QwetuRadio mastermogaka Dorah Manya niko ndani ya TBT pila samahani,Teresa ukitaka kumaliza mogaka kimapenzi kabisa mwambiea akuje na nyasukuta na amwambiea amekuoa bibi wa bili.

Joyce Gituro (@semanajg) 's Twitter Profile Photo

Mwimbieni Bwana; kwa kuwa ametenda makuu; Na yajulikane haya katika dunia yote. Paza sauti, piga kelele, mwenyeji wa Sayuni; Maana Mtakatifu wa Israeli ni mkuu kati yako~Isaya 12:5-6

Mwimbieni Bwana; kwa kuwa ametenda makuu; Na yajulikane haya katika dunia yote. Paza sauti, piga kelele, mwenyeji wa Sayuni; Maana Mtakatifu wa Israeli ni mkuu kati yako~Isaya 12:5-6
Vincent Matekwa (@vmatekwa) 's Twitter Profile Photo

#QwetuKazini QwetuRadio Dorah Manya Awamu ya bili niko ndani kama kawa,hii census wana maswali nyingi sana kwa watoto na bibi,mpango wa kando,mbele ya watoto na bibi,A real man you don't disclose your life history in front of your family.watapomoa ndoa nyingi

Vincent Matekwa (@vmatekwa) 's Twitter Profile Photo

#qwetuasubuhi QwetuRadio Joseph Marwa Mimi nimehesabiwa lakini swali nyeti ilikuwa ni uko na watoto wangapi inje ya doa mbele ya family yangu?? Bibi alifurahiya sana lakini niliwaruka mita mia moja.

Vincent Matekwa (@vmatekwa) 's Twitter Profile Photo

#QwetuKazini QwetuRadio Dorah Manya Wife material,mwenye ako na heshima kwa bwana,yule hangalii simu ya bwana,hakuna kuhuliza bwana mahali amelala kama amelala inje,kwa bed awe tayari any time you need her without condition.That is now the wife material .