UWAVITA
@uwavita
Umoja wa Waandishi wa Vitabu Tanzania
ID: 1750285371546488832
24-01-2024 22:32:24
90 Tweet
24 Takipçi
30 Takip Edilen
Matukio: Mwenyekiti wa UWAVITA Cde Anna Meleiya Mbise akikabidhi fulana ya UWAVITA kwa Prof. Penina Mlama katika Usiku wa Tuzo ya Taifa ya Mwalimu Nyerere ya Uandishi Bunifu 2025. Tuzo Nyerere Taasisi ya Elimu Tanzania
Matukio: Wanachama wa UWAVITA katika Usiku wa Tuzo ya Taifa ya Mwalimu Nyerere ya Uandishi Bunifu 2025. Tuzo Nyerere Taasisi ya Elimu Tanzania
Matukio: Mwenyekiti wa UWAVITA, Cde Anna Meleiya Mbise katika Usiku wa Tuzo ya Taifa ya Mwalimu Nyerere ya Uandishi Bunifu 2025 Tuzo Nyerere Taasisi ya Elimu Tanzania
Matukio: Viongozi wa UWAVITA wakiwa na baadhi ya wanachama katika Usiku wa Tuzo ya Taifa ya Mwalimu Nyerere ya Uandishi Bunifu 2025 Tuzo Nyerere Taasisi ya Elimu Tanzania