UWAVITA (@uwavita) 's Twitter Profile
UWAVITA

@uwavita

Umoja wa Waandishi wa Vitabu Tanzania

ID: 1750285371546488832

calendar_today24-01-2024 22:32:24

90 Tweet

24 Takipçi

30 Takip Edilen

UWAVITA (@uwavita) 's Twitter Profile Photo

Matukio: Mwenyekiti wa UWAVITA Cde Anna Meleiya Mbise akikabidhi fulana ya UWAVITA kwa Prof. Penina Mlama katika Usiku wa Tuzo ya Taifa ya Mwalimu Nyerere ya Uandishi Bunifu 2025. Tuzo Nyerere Taasisi ya Elimu Tanzania

Matukio: Mwenyekiti wa UWAVITA Cde Anna Meleiya Mbise akikabidhi fulana ya UWAVITA kwa Prof. Penina Mlama katika Usiku wa Tuzo ya Taifa ya Mwalimu Nyerere ya Uandishi Bunifu 2025.
<a href="/tuzonyerere/">Tuzo Nyerere</a> <a href="/TIE_Tanzania/">Taasisi ya Elimu Tanzania</a>
UWAVITA (@uwavita) 's Twitter Profile Photo

Matukio: Katibu Mkuu Msaidizi wa UWAVITA Omary Baajun akiwa na mwandishi Charles Mloka katika Usiku wa Tuzo ya Taifa ya Mwalimu Nyerere ya Uandishi Bunifu 2025.

Matukio: Katibu Mkuu Msaidizi wa UWAVITA Omary Baajun akiwa na mwandishi Charles Mloka katika Usiku wa Tuzo ya Taifa ya Mwalimu Nyerere ya Uandishi Bunifu 2025.
UWAVITA (@uwavita) 's Twitter Profile Photo

Ndugu wanachama wa UWAVITA, Tunawakumbusha kuhusu Mkutano Mkuu utakaofanyika tarehe 18 Oktoba 2025 kupitia Google Meet. Muda: Saa 11:00 Jioni Kiungo: meet.google.com/wxa-cdnz-kdc Imetolewa na, Ofisi ya Katibu Mkuu, UWAVITA.

Ndugu wanachama wa UWAVITA,

Tunawakumbusha kuhusu Mkutano Mkuu utakaofanyika tarehe 18 Oktoba 2025 kupitia Google Meet.

Muda: Saa 11:00 Jioni
Kiungo: meet.google.com/wxa-cdnz-kdc

Imetolewa na,
Ofisi ya Katibu Mkuu,
UWAVITA.