Leonard S. MAPHA (@selestineml) 's Twitter Profile
Leonard S. MAPHA

@selestineml

ATE Central Zone Manager, BA (Hons) PRA,Marketing &PR Expert. News & Feature Writer.Member, National Advisory Council for PWDs. [email protected]

ID: 728827551238520833

linkhttp://www.ate.or.tz calendar_today07-05-2016 06:03:23

8,8K Tweet

262 Followers

212 Following

ILO Dar (@ilodaressalaam) 's Twitter Profile Photo

THIS WEEK, The International Labour Organization PPDP Project in Kenya hosted our donors from Sida @swedenkenya in Kajiado and Narok Counties. The team together with ILO technical specialists an PPDP implementing partners ForumCiv engaged the county governments on the new Phase 2 of the PPDP project.

THIS WEEK,
The <a href="/ilo/">International Labour Organization</a>  PPDP Project in Kenya hosted our donors from <a href="/Sida/">Sida</a> @swedenkenya in Kajiado and Narok Counties. The team together with ILO technical specialists an PPDP implementing partners <a href="/ForumCiv/">ForumCiv</a> engaged the county governments on the new Phase 2 of the PPDP project.
Mwaki (@mwaki28) 's Twitter Profile Photo

Huduma kwa wateja ni zaidi ya ofisini, kujali mazingira yetu pia. ATE Tunamaliza Wiki ya Huduma kwa Wateja 2024 kwa usafi na upandaji miti kutoka Mwenge hadi Mikocheni. Zoezi hili limejuisha wadau GSM, Coca-Cola, DHL, Clouds Media, SGA Security na KFC. #CSW2024 | #ATETanzania

Huduma kwa wateja ni zaidi ya ofisini, kujali mazingira yetu pia. ATE Tunamaliza Wiki ya Huduma kwa Wateja 2024 kwa usafi na upandaji miti kutoka Mwenge hadi Mikocheni. Zoezi hili limejuisha wadau GSM, Coca-Cola, DHL, Clouds Media, SGA Security na KFC.

#CSW2024 | #ATETanzania
Mwaki (@mwaki28) 's Twitter Profile Photo

Napenda kuwashukuru ATE na wadau wengine katika kuhakikisha kaulimbiu ya "Above and Beyond” kwa pamoja tumeweza kufanikisha. Hata kama utoe huduma bora kiasi gani kama mazingira yako sio safi basi hauwezi kuwa na tija. ~ Sebastian Maganga Mkuu wa Maudhui Clouds Media #CSW2024 |

Napenda kuwashukuru ATE na wadau wengine katika kuhakikisha kaulimbiu ya "Above and Beyond” kwa pamoja tumeweza kufanikisha. Hata kama utoe huduma bora kiasi gani kama mazingira yako sio safi basi hauwezi kuwa na tija. ~ Sebastian Maganga Mkuu wa Maudhui Clouds Media

#CSW2024 |
Association of Tanzania Employers(ATE) (@ate_tanzania) 's Twitter Profile Photo

Napenda kuhakikisha kuwa ushirikiano huu wa ATE Clouds Media utakuwa wakudumu na wenye tija ili kufikia watu wengi na kudhihirisha kauli mbiu ya “Above and Beyond” ~ Sebastian Maganga. #CSW2024 | #ATETanzania

Napenda kuhakikisha kuwa ushirikiano huu wa ATE Clouds Media utakuwa wakudumu na wenye tija ili kufikia watu wengi na kudhihirisha kauli mbiu ya “Above and Beyond” ~ Sebastian Maganga.

#CSW2024 | #ATETanzania
Association of Tanzania Employers(ATE) (@ate_tanzania) 's Twitter Profile Photo

Unaweza ukaja na wazo lakini usiwe na uhakika wa mapokeo, wakati tunafikiria namna ya kuhadhimisha Wiki ya Huduma kwa Wateja, tulipata changamoto nini cha kufanya zaidi kama kaulimbiu ilivyokuwa inataka "Above and Beyond". ~ Adv. Suzanne Ndomba-Doran #CSW2024 | #ATETanzania

Unaweza ukaja na wazo lakini usiwe na uhakika wa mapokeo, wakati tunafikiria namna ya kuhadhimisha Wiki ya Huduma kwa Wateja, tulipata changamoto nini cha kufanya zaidi kama kaulimbiu ilivyokuwa inataka "Above and Beyond". ~ Adv. Suzanne Ndomba-Doran 

#CSW2024 | #ATETanzania
Association of Tanzania Employers(ATE) (@ate_tanzania) 's Twitter Profile Photo

Napenda kuwashukuru waajiri wengine tulioshirikiana nao na Serikali ya mtaa kwa kushirikiana na sisi kwenye zoezi la kufanya usafi kwa ustawi wa mazingira safi na salama. Utunzaji wa mazingira liambatane na utashi wetu. ~ Adv. Suzanne Ndomba-Doran #CSW2024 | #ATETanzania

Napenda kuwashukuru waajiri wengine tulioshirikiana nao na Serikali ya mtaa kwa kushirikiana na sisi kwenye zoezi la kufanya usafi kwa ustawi wa mazingira safi na salama. Utunzaji wa mazingira liambatane na utashi wetu. ~ Adv. Suzanne Ndomba-Doran 

#CSW2024 | #ATETanzania
Association of Tanzania Employers(ATE) (@ate_tanzania) 's Twitter Profile Photo

Utoaji wa huduma na ufanyaji biashara lazima uende sambamba na mazingira yaliyo safi na salama kwa wafanyakazi, wateja na wadau wegine wanao zunguka maeneo yako. ~ Adv Suzanne Ndomba-Doran. #CSW2024 | #ATETanzania

Utoaji wa huduma na ufanyaji biashara lazima uende sambamba na mazingira yaliyo safi na salama kwa wafanyakazi, wateja na wadau wegine wanao zunguka maeneo yako. ~ Adv Suzanne Ndomba-Doran. 

#CSW2024 | #ATETanzania
Clouds Media (@cloudsmedialive) 's Twitter Profile Photo

Chama cha Waajiri Tanzania (ATE) Leo Ijumaa kitahitimisha rasmi Wiki ya Huduma kwa Wateja 2024 ambapo kauli mbiu ya mwaka huu ni ‘Above and Beyond' au Huduma Zaidi. Wiki ya huduma kwa wateja inahitimishwa kwa waajiri wote waliopo barabara ya Coca-Cola kujitokeza na kuunga mkono

Chama cha Waajiri Tanzania (ATE) Leo Ijumaa kitahitimisha rasmi Wiki ya Huduma kwa Wateja 2024 ambapo kauli mbiu ya mwaka huu ni ‘Above and Beyond' au Huduma Zaidi.

Wiki ya huduma kwa wateja inahitimishwa kwa waajiri wote waliopo barabara ya Coca-Cola kujitokeza na kuunga mkono
Clouds Media (@cloudsmedialive) 's Twitter Profile Photo

#MalkiaWanguvu Bi. Suzanne Ndomba-Doran, Afisa Mtendaji Mkuu, Chama cha Waajiri Tanzania (Association of Tanzania Employers(ATE) ) akiwa na Mkuu wa Maudhui #CloudsMedia sebastian maganga pamoja na wawakilishi kutoka Coca-Cola wameshiriki katika zoezi la kupanda miti ikiwa ni sehemu ya kuelekea kwenye kilele

#MalkiaWanguvu Bi. Suzanne Ndomba-Doran, Afisa Mtendaji Mkuu, Chama cha Waajiri Tanzania (<a href="/ATE_Tanzania/">Association of Tanzania Employers(ATE)</a> ) akiwa na Mkuu wa Maudhui #CloudsMedia <a href="/sebamaganga/">sebastian maganga</a> pamoja na wawakilishi kutoka <a href="/CocaCola/">Coca-Cola</a> wameshiriki katika zoezi la kupanda miti ikiwa ni sehemu ya kuelekea kwenye kilele
Association of Tanzania Employers(ATE) (@ate_tanzania) 's Twitter Profile Photo

Happening now is the Environmental Social & Governance (ESG) Membership Meeting at Johari Rotana Hotel. This meeting has brought together industry leaders, experts and enthusiasts to discuss the latest trends, challenges, and opportunities in the ESG Landscape. #ESG #ATETanzania

Happening now is the Environmental Social &amp; Governance (ESG) Membership Meeting at Johari Rotana Hotel. This meeting has brought together industry leaders,
experts and enthusiasts to discuss the latest trends, challenges, and opportunities in the ESG Landscape.

#ESG
#ATETanzania
Association of Tanzania Employers(ATE) (@ate_tanzania) 's Twitter Profile Photo

This is also an opportunity to network, learn, and share insights on how to drive sustainable & responsible business practices. #ESG #ATETanzania

This is also an opportunity to network, learn, and share insights on how to drive sustainable &amp; responsible business practices.

#ESG
#ATETanzania
Mwaki (@mwaki28) 's Twitter Profile Photo

Unlocking potential through skills! At the TVET Conference, we're exploring pathways to make Tanzanian youth more employable, equipped, and ready to drive the future. #TVETConference | #ATETanzania

Unlocking potential through skills! At the TVET Conference, we're exploring pathways to make Tanzanian youth more employable, equipped, and ready to drive the future.

#TVETConference | #ATETanzania
millardayo (@millardayo) 's Twitter Profile Photo

Rais Mteule wa Marekani Donald Trump amefanya uteuzi wa kwanza wa Wasaidizi wake wakati anajiandaa kuchukua madaraka rasmi mwezi January mwakani 2025 baada ya kushinda uchaguzi uliofanyika November 05,2024. Trump amemteua Meneja wake wa kampeni Susie Wiles kuwa Mkuu wa Utumishi

Rais Mteule wa Marekani Donald Trump amefanya uteuzi wa kwanza wa Wasaidizi wake wakati anajiandaa kuchukua madaraka rasmi mwezi January mwakani 2025 baada ya kushinda uchaguzi uliofanyika November 05,2024.

Trump amemteua Meneja wake wa kampeni Susie Wiles kuwa Mkuu wa Utumishi
Association of Tanzania Employers(ATE) (@ate_tanzania) 's Twitter Profile Photo

Mgeni Rasmi wa Mei Mosi alikuwa Mh. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, katika hotuba yake pamoja na mambo mengine ametangaza kuongeza mshahara kwa asilimia 35.1 kwa watumishi wa umma. #ATETanzania | #MeiMosi2025

Mgeni Rasmi wa Mei Mosi alikuwa Mh. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano  wa Tanzania, katika hotuba yake pamoja na mambo mengine ametangaza kuongeza mshahara kwa asilimia 35.1 kwa watumishi wa umma. 

#ATETanzania | #MeiMosi2025
Association of Tanzania Employers(ATE) (@ate_tanzania) 's Twitter Profile Photo

Mheshimiwa Rais, ameelekeza Bodi ya kima cha chini cha mshahara kwa sekta binafsi kujadiliana na kuona namna ya kuongeza kima cha chini kwa wafanyakazi wa sekta binafsi pia. #ATETanzania | #MeiMosi2025

Mheshimiwa Rais, ameelekeza Bodi ya kima cha chini cha mshahara kwa sekta binafsi kujadiliana na kuona namna ya kuongeza kima cha chini kwa wafanyakazi wa sekta binafsi pia.

#ATETanzania | #MeiMosi2025
Association of Tanzania Employers(ATE) (@ate_tanzania) 's Twitter Profile Photo

Mhe. Rais pia amewataka waajiri kuendelea kushiriki katika agenda ya kuhimiza matumizi ya Nishati Safi katika kukabiliana na mabadiliko na athari zinazotokana na mabadiliko ya tabianchi. Ametoa maagizo kwa ATE kuendelea kujenga uelewa kwa waajiri. #ATETanzania | #MeiMosi2025

Mhe. Rais pia amewataka waajiri kuendelea kushiriki katika agenda ya kuhimiza matumizi ya Nishati Safi katika kukabiliana na mabadiliko na athari zinazotokana na mabadiliko ya tabianchi. Ametoa maagizo kwa ATE kuendelea kujenga uelewa kwa waajiri.

#ATETanzania | #MeiMosi2025
Association of Tanzania Employers(ATE) (@ate_tanzania) 's Twitter Profile Photo

Mwenyekti wa ATE ameongeza kuwa Miradi ya maendeleo kama SGR, Mradi wa umeme wa Bwawa la Mwalimu Julius Nyerere na Maboresho ya shirika la Ndege Tanzania (ATCL) pamoja na miradi mingine mingi imesaidia kwa sehemu kubwa kuongeza fursa za ajira nchini. #ATETanzania #MeiMosi2025

Mwenyekti wa ATE ameongeza kuwa Miradi ya maendeleo kama SGR, Mradi wa umeme wa Bwawa la Mwalimu Julius Nyerere na Maboresho ya shirika la Ndege Tanzania (ATCL) pamoja na miradi mingine mingi  imesaidia kwa sehemu kubwa kuongeza fursa za ajira nchini.

#ATETanzania #MeiMosi2025
Association of Tanzania Employers(ATE) (@ate_tanzania) 's Twitter Profile Photo

Mkurugenzi wa ILO Dar, kwa Nchi za Afrika ya Mashariki, Bi. Caroline Mugallah, amesema kuwa kwa kushirikiana na serikali, waajiri na vyama vya wafanyakazi walifanikisha kutoa uwezeshaji kwa wanawake na vijana kiuchumi kwa kushirikiana Benki ya NMB na CRDB. #ATETanzani

Mkurugenzi wa <a href="/ilodaressalaam/">ILO Dar</a>, kwa Nchi za Afrika ya Mashariki, Bi. Caroline Mugallah, amesema kuwa kwa kushirikiana na serikali, waajiri na vyama vya wafanyakazi walifanikisha kutoa uwezeshaji kwa wanawake na vijana kiuchumi kwa kushirikiana Benki ya NMB na CRDB.

#ATETanzani
Association of Tanzania Employers(ATE) (@ate_tanzania) 's Twitter Profile Photo

Maadhimisho ya sherehe za Mei Mosi kitaifa 2025, yamesindikizwa na kauli mbiiu: "Uchaguzi Mkuu 2025, Utuletee Viongozi Wanaojali Haki na Maslahi ya Wafanyakazi, Sote Tushiriki.” #ATETanzania | #MeiMosi2025

Maadhimisho ya sherehe za Mei Mosi kitaifa 2025, yamesindikizwa na kauli mbiiu: "Uchaguzi Mkuu 2025, Utuletee Viongozi Wanaojali Haki na Maslahi ya Wafanyakazi, Sote Tushiriki.”

#ATETanzania | #MeiMosi2025