The ChandO (@sadicktusia) 's Twitter Profile
The ChandO

@sadicktusia

MAKETE 🇹🇿 : || #Engineer👨‍🔬 || 🧾HUMBLE😶 || ukiitaji LAPTOP 💻 👉 @chandolaptop || #MkumbusheMwanao || wa.me/+255762305991🦍

ID: 1203015646122061824

linkhttps://www.instagram.com/invites/contact/?i=1bxunuivuhhxs&utm_content=3xh0f9e calendar_today06-12-2019 18:17:58

130,130K Tweet

55,55K Followers

9,9K Following

Sonnino⚡ (@sonnino123) 's Twitter Profile Photo

Bado kuna nafasi ya kushinda $500 kila siku kupitia #NoOnesAirdrop Cha kufanya Nunua, uza au badilishana crypto kirahisi kupitia #NoOnesAp Leo na UPATE Nafasi ya kuibuka na $500! 👉 Jiunge sasa: noOnes.com #CryptoLife #NoOnesAirdrop #BuiltForNoOnes

Bado kuna nafasi ya kushinda $500 kila siku kupitia #NoOnesAirdrop

Cha kufanya Nunua, uza au badilishana crypto kirahisi kupitia #NoOnesAp  Leo na UPATE Nafasi ya kuibuka na $500!

👉 Jiunge sasa: noOnes.com
#CryptoLife #NoOnesAirdrop #BuiltForNoOnes
KAPETO🇹🇿 (@kapeto98) 's Twitter Profile Photo

Mashariki Expo 2025: Jukwaa la Ubunifu na Ushirikiano. Maonesho haya yatakuwa kichocheo cha ubunifu, ushirikiano na maendeleo ya kiuchumi kupitia sekta za ubunifu. Yatalenga: 1. Kuwezesha ushirikiano kati ya biashara za ubunifu ili kukuza mitandao ya kibiashara. 2. Kuvutia

Mashariki Expo 2025: Jukwaa la Ubunifu na Ushirikiano.

Maonesho haya yatakuwa kichocheo cha ubunifu, ushirikiano na maendeleo ya kiuchumi kupitia sekta za ubunifu. Yatalenga:

1. Kuwezesha ushirikiano kati ya biashara za ubunifu ili kukuza mitandao ya kibiashara.

2. Kuvutia
Used Point (@usedpointtz) 's Twitter Profile Photo

Dell latitude 3120 (Touchscreen ✅) ✅Processor: Intel (R) Pentium N6000 1.1 GHz with bost 2.1 GHz Gen 10 th ✅RAM : 8 GB DDR4 ✅Storage: 256 GB SSD ✅12inch display Price: TZS 400,000/= tu ☎️0788106694

Dell latitude 3120 (Touchscreen ✅)

✅Processor: Intel (R) Pentium N6000 <a href="/1/">1</a>.1 GHz  with bost 2.1 GHz Gen 10 th 
✅RAM : 8 GB DDR4 

✅Storage: 256 GB SSD 

✅12inch display

Price: TZS 400,000/= tu

☎️0788106694
Used Point (@usedpointtz) 's Twitter Profile Photo

UNAHITAJI LAPTOP NZURI? Hp EliteBook 820 G3 Core i5 | CPU@ 2.4 Ghz ~ 2.5 Ghz RAM : 8 GB 256 GB SSD Generation 6th Operating system Window 10 pro Intel UHD Graphics 4GB Display size 12.7 inch Chager 4 hrs Free window installation Warranty 6 months 💰550,000/=

UNAHITAJI LAPTOP NZURI?

Hp EliteBook 820 G3

Core i5 |  CPU@ 2.4 Ghz ~ 2.5 Ghz

RAM : 8 GB 

256 GB SSD 

Generation 6th 

Operating system Window 10 pro

Intel UHD Graphics 4GB

Display size 12.7 inch 

Chager 4 hrs 

Free window installation 

Warranty 6 months 

💰550,000/=
SATIVA17 (@sativa255) 's Twitter Profile Photo

"Sisemi maneno haya kufukua makaburi. Ninasema kumtadharisha mama Samia.. alikuja mtu mmoja pale Lumumba akanieleza kuna watu wanataka kumuua Rais. Nikashtuka. Akasema nimekueleza kwankuwa huyu bwana (JPM) nampenda, anafanya kazi nzuri. Nikamueleza Rais JPM. Akasema sisi binadamu

Amos Cyprian (@amoscyprian4) 's Twitter Profile Photo

Moja ya mtandao unaosumbua kwa sasa ni IG. Una makororo koro mengi yani kila siku wanapaka poda mtandao huu. Leo wameleta Repost na Friends Reels. Wakikaa miezi mitatu wanakuja na kengine. Unajua kwanini? TikTok inawasumbua sana Kichwa.

Amos Cyprian (@amoscyprian4) 's Twitter Profile Photo

Those who underrated TikTok mnapishana na Hela Guys. Siku hizi hadi huyo Boss wako yupo TikTok ila ndio hvo hana Profile pic, Jina lake no user63894+47/ No likes, No comment na save no Shares ila anatumia. Note: yupo kule kutafuta Bidhaa Lakini.

KAPETO🇹🇿 (@kapeto98) 's Twitter Profile Photo

Sio kwa Ubaya lakini hapaa ndio nashauri Madogo wasome Dar es Salaam na sio mtaani. Maana kuijua Kariakoo Vizuri ni Moja ya Mkombozi wa maisha ya Wanachuo Wengi. Imagine mtu anamaliza Chuo Mkoani anakuja Dar es Salaam Kutafuta kazi au Kujiajiri. Kabla ya yote anatakiwa kuijua

Young Africans SC (@youngafricanssc) 's Twitter Profile Photo

SIKU KAMA YA LEO MWAKA 2024: NUSU FAINALI NGAO YA JAMII Yanga 1-0 Simba 44’ Maxi Nzengeli (Assist Prince Dube) #daimambele #Nyumamwiko 💚💛

SIKU KAMA YA LEO MWAKA 2024: NUSU FAINALI NGAO YA JAMII

Yanga 1-0 Simba
44’ Maxi Nzengeli (Assist Prince Dube)

#daimambele #Nyumamwiko 💚💛
The ChandO (@sadicktusia) 's Twitter Profile Photo

Kama kwenye maisha yako kuna mtu aliwahi kukupa mkate na ukaishi.. I mean amewahi kuyagusa maisha yako kwa namna moja ama nyingine🫵 …lakini kuna kitu kimetokeakatikati yenu kwa sasa hamuelewani🙌 Tafadhali usimdharau na wala usisahau wema wake KWAKO. ..Tumia maisha yako

Malkia Nyuki 👑 (@nyuki_malkia) 's Twitter Profile Photo

Uzuri wa kiburi ni namna jinsi kinaweza kukujaza ujasiri uamini kuwa huna haja ya kumsikiliza mtu yeyote ,una uwezo kumuonea yeyote na hakuna kitu atakufanya Kujisifu kwa kudharau wengine Halafu kikishafanikiwa kukufumba macho usione uhalisia unaokukabili kinafanya kazi ya

Uzuri wa kiburi ni namna jinsi kinaweza kukujaza ujasiri uamini kuwa huna haja ya kumsikiliza mtu yeyote ,una uwezo kumuonea yeyote na hakuna kitu atakufanya 
Kujisifu kwa kudharau wengine
Halafu kikishafanikiwa kukufumba macho usione uhalisia unaokukabili kinafanya kazi ya
Blockchain and Cryptocurrency Ventures (BCV) (@bcvltdcompanytz) 's Twitter Profile Photo

🚀 Boom Bitcoin is waking up 💥 🤯 SoIv ProtorcoI $SOLV #BTCunbound For years, over $1 trillion in BTC has been sitting idle, acting as a store of value but doing little else. Now, Solv Protocol is unlocking that sleeping giant. Using its advanced Staking Abstraction Layer,

🚀 Boom Bitcoin is waking up 💥 🤯 

<a href="/SolvPrortrocol/">SoIv ProtorcoI</a> $SOLV #BTCunbound
For years, over $1 trillion in BTC has been sitting idle, acting as a store of value but doing little else. Now, Solv Protocol is unlocking that sleeping giant. Using its advanced Staking Abstraction Layer,
Carol Ndosi (@carolndosi) 's Twitter Profile Photo

Eh Mungu.. Today is Today…Naomba ukaonyeshe mkono wako bwana maana Arusha hatujafanya tangu 2021. Na watu wote wa Arusha wenye afya na uwezo wajongee General Tyre leo. Tunaombea hali ya hewa nzuri Moto uwake bila shida na ubaridi wa wastani hadi Miti na matawi yake yafurahi.

Eh Mungu..

Today is Today…Naomba ukaonyeshe mkono wako bwana maana Arusha hatujafanya tangu 2021.

Na watu wote wa Arusha wenye afya na uwezo wajongee General Tyre leo.

Tunaombea hali ya hewa nzuri Moto uwake bila shida na ubaridi wa wastani hadi Miti na matawi yake yafurahi.
Sonnino⚡ (@sonnino123) 's Twitter Profile Photo

Wapenda nyama choma Arusha mpoooo? 😋 Ile siku iliyosubiriwa hatimaye imefika, Sasa leo tunakutana pale General Tyre Ground – Njiro kwenye Nyama Choma Festival 🥩🔥 Burudani za muziki, michezo na vinywaji vinakusubiri Usikubali kusimuliwa, kuwa sehemu ya burudani 👊 👉 Lipa