๐—ฆ๐—ง๐—จ๐——๐—˜๐—ก๐—ง ๐—ข๐—™ ๐—Ÿ๐—œ๐—™๐—˜ (@rich_sparp) 's Twitter Profile
๐—ฆ๐—ง๐—จ๐——๐—˜๐—ก๐—ง ๐—ข๐—™ ๐—Ÿ๐—œ๐—™๐—˜

@rich_sparp

๐—–๐—ถ๐˜ƒ๐—ถ๐—น ๐—Ÿ๐—ถ๐˜๐—ถ๐—ด๐—ฎ๐˜๐—ถ๐—ผ๐—ป & ๐—ฝ๐—ฟ๐—ผ๐—ฐ๐—ฒ๐—ฑ๐˜‚๐—ฟ๐—ฒ ๐—˜๐—ป๐˜๐—ต๐˜‚๐˜€๐—ถ๐—ฎ๐˜€๐˜ โš–๏ธ | LLB STUDENT๐ŸŽ“|Probate,Family & Land law | Passionate about Justice & Legal Reform

ID: 1520904021493563395

calendar_today01-05-2022 23:12:51

4,4K Tweet

2,2K Followers

3,3K Following

Fortunatus Buyobe (@fbuyobe) 's Twitter Profile Photo

Kwa wafatiliaji wa kesi za jinai kwenye mahakama zetu, mara nyingi huishia kukuta mikeka yao ikichanika. Yes! They only end up masturbating expecting a latent ruling. Unknowingly to them, Jaji sio muuza ice cream aliyepo mahakamani kumfurahisha kila mtu. Why do I say So? ๐Ÿ‘‡

Kwa wafatiliaji wa kesi za jinai kwenye mahakama zetu, mara nyingi huishia kukuta mikeka yao ikichanika.

Yes!

They only end up masturbating expecting a latent ruling.

Unknowingly to them, Jaji sio muuza ice cream aliyepo mahakamani kumfurahisha kila mtu.

Why do I say So?

๐Ÿ‘‡
Fortunatus Buyobe (@fbuyobe) 's Twitter Profile Photo

Kingine kinachovutia udadisi ni muda mfupi uliopita tangu kusemwa kuwa binti huyu aliachishwa kazi na mwajiri wake wa mwisho hadi mauti kumkuta Hapa ni sehemu ya kuweka kambi kidogo Mimi ni muumini wa falsafa ya Henning Mankel kwenye maswala ya Crimes Investigation

Kingine kinachovutia udadisi ni muda mfupi uliopita tangu kusemwa kuwa binti huyu aliachishwa kazi na mwajiri wake wa mwisho hadi mauti kumkuta

Hapa ni sehemu ya kuweka kambi kidogo

Mimi ni muumini wa falsafa ya Henning Mankel kwenye maswala ya Crimes Investigation
MalisaGJ (@malisagj_) 's Twitter Profile Photo

Kesi ya uchochezi nambari 11805/2024 kati ya Jamhuri dhidi ya Meya wa zamani wa Ubungo, Boniface Jacob na Mtetezi wa haki za binadamu Godlisten Malisa imeeendelea leo tarehe 17 March 2025 mahakama ya Hakimu mkazi Kisutu, chini ya Hakimu Mwandamizi Shindi Swalo. Upande wa Jamhuri

TRUST ME BRO (@mwenyekit_i) 's Twitter Profile Photo

Ukisali leo Muombe Mungu akukutanishe na mtu/mteja/muajiri/msaidizi mmoja atakayebadilisha kabisa historia ya maisha yako. Kila unachotaka kwenye haya maisha kuna mtu anacho kazi iko kwenye kukutana na huyo mtu.

Kaji (@kaji_sijo) 's Twitter Profile Photo

JE USHAWAHI KUJIULIZA NI NAMNA GANI FORENSIC INVESTIGATORS WANAWEZA KUKADIRIA HUYU MTU AMEFARIKI MDA GANI..?. Watalaamu hawa hutumia iwe ni DNA, alama za vidole, au Jasho, na jicho ku generate picha ya mwisho marehemu kuona, kupitia hivyo vitu unaweza kuthibitisha au kukanusha

JE USHAWAHI KUJIULIZA NI NAMNA GANI FORENSIC INVESTIGATORS WANAWEZA KUKADIRIA HUYU MTU AMEFARIKI MDA GANI..?.

Watalaamu hawa hutumia iwe ni DNA, alama za vidole, au Jasho,  na jicho ku generate picha ya mwisho marehemu kuona, kupitia hivyo vitu unaweza kuthibitisha au kukanusha
Van Mersey (@van_mersey) 's Twitter Profile Photo

๐™๐ˆ๐‰๐”๐„ ๐“๐Ž๐…๐€๐”๐“๐ˆ ๐™๐€ ๐…๐๐ˆ ๐•๐ฌ ๐‚๐ˆ๐€ โ–ช๏ธŽUsichanganye madesa, kuna mmoja ni mdudu anaesumbua dunia yote na mwingine hatoki nje ya nchi. โ–ช๏ธŽNini kilipangwa sirini 1954, kinatokea sasa? โ–ช๏ธŽDada wa Taifa anasema aliitwa na FBI.....sasa aliogopa nini? โคต๏ธ๐Ÿงต

๐™๐ˆ๐‰๐”๐„ ๐“๐Ž๐…๐€๐”๐“๐ˆ ๐™๐€ ๐…๐๐ˆ ๐•๐ฌ ๐‚๐ˆ๐€

โ–ช๏ธŽUsichanganye madesa, kuna mmoja ni mdudu anaesumbua dunia yote na mwingine hatoki nje ya nchi.

โ–ช๏ธŽNini kilipangwa sirini 1954, kinatokea sasa?

โ–ช๏ธŽDada wa Taifa anasema aliitwa na FBI.....sasa aliogopa nini?

โคต๏ธ๐Ÿงต
Boniface Chengula (@bohny_chengula) 's Twitter Profile Photo

Nadhani mafanikio bado kitu kigeni kwa vijana wa kiafrica. Mtu akifanikiwa utasikia โ€œkarogaโ€ au anauza madawa. Au mtu amepewa mtaji kwao utasiki, โ€œkapewa hela kwaoโ€ Watu wengi wanapewa pesa za mitaji kwao lakini wangapi wanafanikiwa nazo? Tujifunze kukubali mtu anapofanikiwa.

Tazama (@tazamambali) 's Twitter Profile Photo

Unapoajiri mtu ktk biashara zingatia haya; 1. Ajiri mtu mwaminifu, mchapakazi na mwenye akili timamu 2. Andika mkataba wa mshahara, majukumu na muda wa kazi 3. Weka mfumo wa kufuatilia mauzo 4. Tembelea biashara kila siku, fanya ukaguzi wa ghafla 5. Mpe bonasi akifanya vzr

#TOTTechs (@tottechs) 's Twitter Profile Photo

Your ISP and even your VPN provider can see all your traffic and could log your traffic. You are not fully anon on the internet. Mtoa huduma anaona kila kitu unachokifanya, iwe mtandaoni au offline (calls, text, Download, browsers) VPN is not private as you think. Good morning

Paul Bonaventure (@phbhimself) 's Twitter Profile Photo

Hatua Nne za Kijasusi zinazoweza kumfanya mtu anuse hatari haraka. leo na mimi nimeona niwape mbinu kadhaa za kukabiliana na hatari inayoweza kutokea. Katika ujasusi kuna hii mbinu inaitwa important colours (Cooper color codes). Ambayo utumiwa na majasusi duniani kunusa na

Hatua Nne za Kijasusi zinazoweza kumfanya mtu anuse hatari haraka.

leo na mimi nimeona niwape mbinu kadhaa za kukabiliana na hatari inayoweza kutokea.

Katika ujasusi kuna hii mbinu inaitwa important colours (Cooper color codes).

Ambayo utumiwa na majasusi duniani kunusa na
Kyaka (@kyakahaji) 's Twitter Profile Photo

UnjU๐Ÿ•ณ๏ธ Ujuzi Haufundishwi , Ujuzi Unaibwa , Mtu atakupa Education to Know What na How ila Hawezi Kupa ya Education to Know Why , Hakupi Milele Ile niyakuiba Kijasusi

AmosiNyanda (@nyandaamosi) 's Twitter Profile Photo

Bidhaa Adimu Zaidi kwa Sasa ni: โ€œFOCUSโ€ Tupo Kwenye Era Yenye Utitiri wa โ€œDISTRACTIONSโ€ Uwezo wako wa Ku-FOCUS Kwa Muda Mrefu Bila Kugusa Simu Wala TV Ndio Utakaoamua Aina ya Maisha Utakayoishi! PS: Cheap DOPAMINE is the Enemy!

๐™ถ๐™ฐ๐™ฑ๐šˆ ๐™ป๐™พ๐š…๐™ด๐š‚ ๐šƒ๐™ด๐™ฒ๐™ท 6.0 (@gabyconscious) 's Twitter Profile Photo

Vitu 10 Ambavyo Hutakiwi Kufanya Online Kama Hutaki Kwenda JELA Leo nilikua napitia Sheria ya Makosa ya Mtandao ya 2015 ilioboreshwa 2019 iko wazi kabisa. Ukivunja hata kifungu kimoja, unaweza kupelekwa Segerea ama kulipishwa mamilioni bila kuonewa huruma. ๐Ÿงต

Vitu 10 Ambavyo Hutakiwi Kufanya Online Kama Hutaki Kwenda JELA

Leo nilikua napitia Sheria ya Makosa ya Mtandao ya 2015 ilioboreshwa 2019  iko wazi kabisa.

Ukivunja hata kifungu kimoja, unaweza kupelekwa Segerea ama kulipishwa mamilioni bila kuonewa huruma.
๐Ÿงต
Fine girl๐Ÿ’ž (@mirrykira) 's Twitter Profile Photo

FAHAMU KUHUSU SHERIA YA UCHAWI YA TANZANIA Sheria ya Uchawi ya Tanzania ( The Witchcraft Act [ Cap 18 R:E 2019] ) ni sheria iliyorithiwa kutoka kweny sheria za kikoloni 1928 na ilibaki hadi leo, inayohusu kuthibit masuala ya uchawi na imani za kienyeji. FUNGUA UZI โคต๏ธ

FAHAMU KUHUSU SHERIA YA UCHAWI YA TANZANIA 

Sheria ya Uchawi ya Tanzania ( The Witchcraft Act [ Cap 18 R:E 2019] ) ni sheria iliyorithiwa kutoka kweny sheria za kikoloni 1928 na  ilibaki hadi leo, inayohusu kuthibit masuala ya uchawi na imani za kienyeji. 

FUNGUA UZI โคต๏ธ
Kwame Kivaisi (@kwamekivaisi) 's Twitter Profile Photo

Kwenye ujasusi kuna kitu kinaitwa "Canary Trap". Ukihisi ofisini kuna mtu anavujisha siri, unaandaa "siri" kadhaa halafu unaweka mahali unapojua mvujishaji unayemhisi ataziona yeye tu. Bila kujua anategwa, atazibeba kwenda kumpa aliyemtuma. Ukiiona mahali tu nje ya ofisi

Kwenye ujasusi kuna kitu kinaitwa "Canary Trap". Ukihisi ofisini kuna mtu anavujisha siri, unaandaa "siri" kadhaa halafu unaweka mahali unapojua mvujishaji unayemhisi ataziona yeye tu. Bila kujua anategwa, atazibeba kwenda kumpa aliyemtuma. Ukiiona mahali tu nje ya ofisi
#TOTTechs (@tottechs) 's Twitter Profile Photo

"Security is a myth" "Security is a strange thing" Unaweza ukawa umejilinda ila wenzako wakatumia udhaifu mdogo sana wakakumaliza.