Rashid Abdalla (@rashidabdalla) 's Twitter Profile
Rashid Abdalla

@rashidabdalla

TV Presenter |Translator| Motivational Speaker| Station Voice| Journalist| #SisemiKitu Subscribe to my YouTube Channel- youtu.be/J_lVBb3LmVk

ID: 317100699

calendar_today14-06-2011 12:51:31

19,19K Tweet

58,58K Takipçi

1,1K Takip Edilen

Citizen TV Kenya (@citizentvkenya) 's Twitter Profile Photo

Mark Mwenje – Mbunge, Embakasi Magharibi: Nairobi lazima iwe na mpango mkuu. Tunahitaji kuleta wataalam tupange jiji tena. Kwa sasa, takataka Nairobi inaondolewa na NYS. #SemaNaCitizen Rashid Abdalla

Citizen TV Kenya (@citizentvkenya) 's Twitter Profile Photo

Rai kwa Rais: Wakaazi wa Ndabibi wataka hatimiliki za ardhi. Wakaazi hao wamekabiliwa na utata kwa miaka 30 . Matarajio ya ziara ya Rais Narok. Wakaazi wa Narok wamtaka Rais kuzindua miradi. Vijana wameraiwa kutozua fujo wakati wa ziara #SemaNaCitizen Rashid Abdalla

Citizen TV Kenya (@citizentvkenya) 's Twitter Profile Photo

Tabitha Mutinda: Rais Ruto amefungua mlango kwa viongozi wote na huhusisha watu katika mazungumzo ya maendeleo ata wale waliochaguliwa na vyama vingine lakini wakati wengine wao hukataa mwito #SemaNaCitizen Rashid Abdalla

Citizen TV Kenya (@citizentvkenya) 's Twitter Profile Photo

Enoch Wambua: Sio kazi ya mbunge kuenda kupiga magoti mbele ya Rais kuomba maendeleo. Ukambani ni Kenya na watu hawa wanalipa kodi kwa serikali, hivyo wana haki ya kupata maendeleo #SemaNaCitizen Rashid Abdalla

Citizen TV Kenya (@citizentvkenya) 's Twitter Profile Photo

Dan Maanzo: Serikali inatumia pesa ya wananchi vibaya; uongozi hauzingatii mambo muhimu. Pesa inapotea kwa ufisadi na mabwenyenye wachache #SemaNaCitizen Rashid Abdalla

Citizen TV Kenya (@citizentvkenya) 's Twitter Profile Photo

Vincent Kawaya: Kiongozi ahitaji kualikwa kule Ikulu kuteteta haki ya wananchi. Ni lazima ujitume mwenyewe. Ukienda kuwawakilisha watu wako na kung’ang’ania rasilimali si kupiga magoti #SemaNaCitizen Rashid Abdalla

Citizen TV Kenya (@citizentvkenya) 's Twitter Profile Photo

Enoch Wambua: Sisi kama viongozi wa Mt Kenya South tukae pamoja na tukubaliane jinsi tutakavyo ongoza jamii yetu ndani ya serikali. Tukigawanywa, ina dhoofisha msingi wetu #SemaNaCitizen Rashid Abdalla

Citizen TV Kenya (@citizentvkenya) 's Twitter Profile Photo

Enoch Wambua: Uchaguzi unaokuja, jina la Kalonzo litakuwa kwa ‘ballot’ kama mgombea wa urais. Kama kuna kiongozi ambaye atapeleka Ruto nyumbani asubuhi 2027, ni Kalonzo Musyoka #SemaNaCitizen Rashid Abdalla

Mombasa Control (@machedamike) 's Twitter Profile Photo

SATO!!! We bash and enjoy the beautiful game of football. Entertainment starts at 10am, kickoff 3pm. Tukutane Mombasa Sports Club for the launch of the 6th edition RASHID ABDALLAH SUPER CUP 🔥🔥🔥 Lulu Hassan Rashid Abdalla

SATO!!! We bash and enjoy the beautiful game of football.
Entertainment starts at 10am, kickoff 3pm. Tukutane Mombasa Sports Club for the launch of the 6th edition RASHID ABDALLAH SUPER CUP 🔥🔥🔥 

<a href="/LuluHassan/">Lulu Hassan</a> <a href="/RashidAbdalla/">Rashid Abdalla</a>