Radio Kaya
@RadioKaya
93.1FmMsa ||94.9FmVoi ||94.9FmKlf || 99.7FmMlnd || 88.5 FmLamu - Coast of Kenya (Mombasa)
ID:84091571
http://www.radiokaya.co.ke 21-10-2009 14:30:44
13,2K Tweets
3,5K Followers
850 Following
Mei ni Mwezi wa Uhamasishaji wa Afya ya Akili yaani #MentalHealthAwarenessMonth
Afya ya akili ni muhimu katika kila hatua ya maisha, kutoka utoto na ujana hadi utu uzima.
#mentalhealth
#mentalhealth awareness
#mentalhealth support
#mentalhealth matters
Msimu huu wa back to school, kama ilivyo kawaida, Naivas wanakupatia crazy discounts, bei bora kila siku na bidhaa zote za back to school kupitia promotion ya #NaivasKikapuKibongeSafari
Shika njia ya big shopping, the Naivas Kilocol way, ujipatie bidhaa zote za back to school…
Rais William Ruto amemteua Jenerali Charles Muriu Kahariri kuwa Mkuu wa Majeshi nchini.
#MulikoLaKaya
Meja Jenerali Fatuma Ahmed ameweka historia nchini kwa kuteuliwa kuwa mwanamke wa kwanza kuongoza kitengo cha jeshi la anga katika majeshi ya ulinzi nchini, KDF
#MulikoLaKaya