IBSE Radio (@radioibse) 's Twitter Profile
IBSE Radio

@radioibse

IBSE Radio is a registered FM Station broadcasting in 4 languages #IBSE_GUMMI

ID: 1044431627701702656

calendar_today25-09-2018 03:41:19

61 Tweet

330 Followers

140 Following

IBSE Radio (@radioibse) 's Twitter Profile Photo

Marsabit leaders given 5 days to come up with lasting solution concerning insecurity in the region. Full story via youtu.be/oSvaf8oecBI

IBSE Radio (@radioibse) 's Twitter Profile Photo

Kamati ya usalama Marsabit imezuru Jaldesa na kurai waathiriwa wa machafuko ya kikabila kurejea makwao youtu.be/RKlDryrohDE

IBSE Radio (@radioibse) 's Twitter Profile Photo

JUMLA ya watu 136 wamepoteza maisha yao na wengine 115 kujeruhiwa Saku katika vita vya kikabila gatuzi la Marsabit. Aidha jumla ya mifugo wapatao 4,000 wameibwa. Pia nyumba zaidi ya mia saba zimeteketezwa na mali isiyojulikana kuporwa youtu.be/HXZPB3-nT2w

IBSE Radio (@radioibse) 's Twitter Profile Photo

Kamati ya usalama katika kaunti ya Marsabit chini ya kamishna Paul Rotich imepiga marufuku uchukuzi wa pikipiki kati ya saa mbili usiku hadi saa kumi na mbili asubuhi youtu.be/8LFWVnmngSA

IBSE Radio (@radioibse) 's Twitter Profile Photo

Ujenzi wa shule mpya ya upili ya Golbo eneo la Qonqom eneo bunge la Moyale unatarajiwa kuanza mwezi ujao wa Septemba youtu.be/IlLSA0vj2uk

IBSE Radio (@radioibse) 's Twitter Profile Photo

Mashirika ya Saku Accountability Forum, CIFA Kenya, MWADO, na SND Kenya yameungana kubuni mwongozo wa kuhusisha akina mama katika mchakato wa kutafuta amani Marsabit youtu.be/zygz5SUH7eE

IBSE Radio (@radioibse) 's Twitter Profile Photo

Viongozi watoa changamoto kwa wanawake kubuni vyama vya kisiasa Marsabit kwa lengo la kupaza sauti zao na kuchangia ufanisi wa jamii youtu.be/iXFf7_MP5c0 Brian Weke KEWOPA @SenNaomiWaqo

IBSE Radio (@radioibse) 's Twitter Profile Photo

Vijana 41 kutoka Sagante wamepata mafunzo kwenye mradi wa Ujuzi Manyattani kutoka kwa shirika la NRT kupitia hifadhi ya Jaldesa youtu.be/p3XQE2ZRDGI @nrt_kenya

IBSE Radio (@radioibse) 's Twitter Profile Photo

Polisi Saku walaumiwa kuwapiga wafugaji 4 eneo la Qarsa. MCA Sora Katelo atishia kufika IPOA iwapo polisi hawatawakabili kisheria wahusika. Kaimu kamanda wa polisi jimboni Martin Kibet asema maafisa wake hawana historia ya kuwanyanyasa raiya youtu.be/J-mehqxuWFQ

IBSE Radio (@radioibse) 's Twitter Profile Photo

Mwalimu mmoja ameaga dunia mjini Marsabit baada ya kuzidiwa na makali ya Covid-19 wakati watu wengine wanne wakipatikana na Corona leo youtu.be/_F6mCzYqZbI

IBSE Radio (@radioibse) 's Twitter Profile Photo

Wakuu wa Kenya Union of Civil Servants Marsabit walalamikia kuchelewa kwa mishahara ya wanachama wao youtu.be/lnRYgfB8lY0

IBSE Radio (@radioibse) 's Twitter Profile Photo

Wito umetolewa kwa serikali kuwafidia wafanyibiashara waliopata hasara kufuatia vita vya kikabila Marsabit youtu.be/JNGjVrS4YTM

IBSE Radio (@radioibse) 's Twitter Profile Photo

Diba Dub Barfata: MCA ambaye pia ni mwenyekiti wa kamati ya elimu bungeni ajikaze kutafuta suluhu haraka MCA Sora Katelo: Rekodi yangu ya utendakazi iko wazi. Najivunia ongezeko la madarasa ya chekechea kutoka 13 hadi 19 tangu 2017 youtu.be/IXLJw9CE0nI

IBSE Radio (@radioibse) 's Twitter Profile Photo

Serikali imekiri kuchelewa kwa mishahara ya wafanyikazi Marsabit na kutoa ahadi ya kulipwa kwa malimbikizi yote juma lijalo youtu.be/tlzHoRj3SB0

IBSE Radio (@radioibse) 's Twitter Profile Photo

Wenyeji Dirib Gombo watakiwa kutafuta huduma ya polisi eneo la Sagante kufuatia upungufu wa maafisa hao youtu.be/UTTT0ECc3iM

IBSE Radio (@radioibse) 's Twitter Profile Photo

Seneta wa Nandi Samson Cherargei amewasuta gavana Dr. Mohammed Kuti wa Isiolo na waziri Ukur Yattani kwa kuchapa siasa badala ya kazi youtu.be/DDBh-NoNl0w Senator Kiprotich Arap Cherargei