𝕐𝕒π•₯𝕠𝕀𝕙𝕒βœͺ (@rm_yatosha) 's Twitter Profile
𝕐𝕒π•₯𝕠𝕀𝕙𝕒βœͺ

@rm_yatosha

β—‹Just a reminder that a social media is not a real life✌🏿

ID: 1424662814229151745

calendar_today09-08-2021 09:24:33

62,62K Tweet

16,16K Followers

2,2K Following

𝕐𝕒π•₯𝕠𝕀𝕙𝕒βœͺ (@rm_yatosha) 's Twitter Profile Photo

π—‘π—œπ—Ÿπ—œπ——π—”π—‘π——π—œπ—” 𝗠𝗧𝗨𝗠𝗕π—ͺπ—œ π—ͺ𝗔 π—©π—œπ—•π—ͺπ—˜π—‘π—šπ—’πŸ’”πŸ€£ Story Threads 🧡 (1/2) Unajua vijana bana tumejawa na tamaa sana. Tunapenda kutafuta urahisi wa maisha ili mradi tu! kupata unafuu kwa kutafuta miserereko ambayo mwisho wa siku tunaangukia pabaya na..

π—‘π—œπ—Ÿπ—œπ——π—”π—‘π——π—œπ—” 𝗠𝗧𝗨𝗠𝗕π—ͺπ—œ π—ͺ𝗔 π—©π—œπ—•π—ͺπ—˜π—‘π—šπ—’πŸ’”πŸ€£

Story Threads 🧡
(1/2)

      Unajua vijana bana tumejawa na tamaa sana. Tunapenda kutafuta urahisi wa maisha ili mradi tu! kupata unafuu kwa kutafuta miserereko ambayo mwisho wa siku tunaangukia pabaya na..
𝕐𝕒π•₯𝕠𝕀𝕙𝕒βœͺ (@rm_yatosha) 's Twitter Profile Photo

PENZI LA DHARULA ❀ Story Threads 🧡 Kwenye maisha muda mwengine tunajikuta tukiwapenda au tukiingia kwenye mahusiano na watu ambao hatukuwadhania au kutarajia kama Tungekua nao. Hii ishawahi nikuta mimi mkoani Arusha. Acha niwape story sasa πŸ˜ŠπŸ‘‡...

PENZI LA DHARULA ❀

Story Threads 🧡 

       Kwenye maisha muda mwengine tunajikuta tukiwapenda au tukiingia kwenye mahusiano na watu ambao hatukuwadhania au kutarajia kama Tungekua nao.

Hii ishawahi nikuta mimi mkoani Arusha.

Acha niwape story sasa πŸ˜ŠπŸ‘‡...
𝕐𝕒π•₯𝕠𝕀𝕙𝕒βœͺ (@rm_yatosha) 's Twitter Profile Photo

KWENYE 1 na 2 πŸ˜„ #1 Nilitoka Moro na kwenda Dar kwa mpenzi wangu ili nkajitambulishe kwa wazazi wake,πŸ€— Nafika kituo cha daladala zinapoishia naambiwa nichukue Boda...basi kwakua nipo smart na sina haraka nilimfata boda wa makamu kidogo aliopo kituoni anipeleke huko niendapo

KWENYE 1 na 2 πŸ˜„
#1

   Nilitoka Moro na kwenda Dar kwa mpenzi wangu ili nkajitambulishe kwa wazazi wake,πŸ€—
Nafika kituo cha daladala zinapoishia naambiwa nichukue Boda...basi kwakua nipo smart na sina haraka nilimfata boda wa makamu kidogo aliopo kituoni anipeleke huko niendapo
Raymond (@master_plan9) 's Twitter Profile Photo

Sehemu ya 2 Kumbe hata kile kitendo cha yule dada kushuka mapema ndo kilimshtua zaidi, akahisi kuna tukio lishafanyika tayari. Kwahiyo pale nje alimcheleweshea chenji kidogo ili kama kutasikika mtu analalamika humo ndani ya daladala basi aweze kumdandia lakini ilikuwa haina

Zee La Nyeti 𝕏 (@originozee17) 's Twitter Profile Photo

Umepambana Miaka 10 Halafu Moto Unateketeza Biashara Yako Yote Ndani Ya Dakika 20 MUNGU Atusaidie Kwakweli Ni Ngumu Mno.πŸ™ŒπŸ™Œ

Neypaul🀎 (@neypaul01) 's Twitter Profile Photo

Kuomba kila siku Mungu akusamehe dhambi ni sawa, lakini jifunze kuomba nguvu ya dhambi isiwe juu yako Kuna dhambi na nguvu ya dhambi.

FreeLissu (@jizzlewantandu) 's Twitter Profile Photo

Tangu 2001 nawasikia AY & Farid Kubanda kwenye muziki kwenye vipind vya show time RFA leo ni Uvccm kwamba umri wao uko palepale hausogeagi?

FreeLissu (@jizzlewantandu) 's Twitter Profile Photo

🚨 Repost please Kuna mzigo wa sukari ya transit brown & white sugar upo Icd bandarini 100k tons unahitaji wateja wa haraka wanauza 600$ kwa ton popote mteja utakapoona ujumbe huu nichek ufike ofisi zao zipo posta ukakague mzigo mfanye biashara Call:0768832035