Paul Kirobi (@paukirobi) 's Twitter Profile
Paul Kirobi

@paukirobi

|Journalist @Tv47ke| Member-KCA,Brand Ambassador- Brand Merchandize/Motivational speaker and Business Man.

ID: 991208761028169729

calendar_today01-05-2018 06:52:39

2,2K Tweet

843 Followers

531 Following

TV 47 Digital (@tv47digital) 's Twitter Profile Photo

NAMANGA YASALIA MAHAME, BIASHARA YATATIZIKA Vurugu Tanzania zavuruga biashara mpakani Namanga Wananchi walalamikia hali ngumu ya maisha Shughuli za usafirishaji zasimama Namanga Wafanyabiashara walalamikia uhusiano mpakani kuathirika Malori yasalia kwenye foleni ndefu

TV 47 Digital (@tv47digital) 's Twitter Profile Photo

HALI SI HALI KWA JIRANI Hali ya hofu Yazidi kutanda Tanzania UN yahimiza maafisa wa usalama Tanzania kukoma kutumia nguvu kupita kiasi Mwanahabari wa Kenya akamatwa na baadaye kuachiliwa Alikamatwa na maafisa wa Tanzania katika mpaka wa Lunga Lunga Paul Kirobi #TV47Wikendi

TV 47 Digital (@tv47digital) 's Twitter Profile Photo

WANAHARAKATI WATISHIA KUANDAMANA Wanaharakati watishia kuandamana kupinga sheria kandamizi Rais Ruto ashtumiwa kusaini sheria wakati wa maombolezo Wakenya waliotekwa Uganda watakiwa kuachiliwa mara moja Wananchi wa Tanzania wapongezwa kwa kutetea haki zao Paul Kirobi

TV 47 Digital (@tv47digital) 's Twitter Profile Photo

POLISI KIZIMBANI KWA MAUAJI Maafisa wa Mai Mahiu wakabiliwa na shtaka la mauaji Bastola ya afisa yatumika, ikadaiwa kuonesha alijipiga mwenyewe Wakili Omari asema washukiwa si tishio kwa mahakama Mahakama yaamuru kuzuiliwa kwa siku 10 kwa uchunguzi Paul Kirobi #TV47Wikendi

TV 47 Digital (@tv47digital) 's Twitter Profile Photo

KAMPEINI ZA CHAGUZI NDOGO Kindiki asema vyama tanzu katika serikali jumuishi kuunga mkono  waniaji wao Kindiki asema hatua hiyo ni ishara ya heshima kwa ushirikiano wa Ruto na Raila Hatua ya ODM imejiri siku moja baada ya upinzani kushikana Malava Gachagua alimuondoa mwaniaji

TV 47 Digital (@tv47digital) 's Twitter Profile Photo

AHADI ZA RAIS RUTO MAGHARIBI Rais Ruto azuru Busia, aahidi mageuzi ya haraka Serikali yatenga KSh 1.8B kwa masoko ya kisasa Busia Vijana wahimizwa kuchangamkia mpango wa makazi nafuu Uwanja wa Busia kujengwa kwa KSh 900M kuimarisha michezo Paul Kirobi #TV47Wikendi

TV 47 Digital (@tv47digital) 's Twitter Profile Photo

UPINZANI WAMSUTA RUTO Viongozi wa upinzani wapinga kauli ya rais Ruto Upinzani wajipanga kuonyesha makali Magharibi mwa Kenya Rais Ruto alidai hakuna mpinzani anayeweza kumuondoa mamlakani Upinzani wadai kauli hiyo ni dharau kwa viongozi wa sasa Paul Kirobi #TV47Wikendi

TV 47 Digital (@tv47digital) 's Twitter Profile Photo

WAHADHIRI WAKAA NGUMU Wahadhiri wakataa ombi la serikali La kutaka kuwalipwa deni kwa awamu mbili Wasema serikali inafaa kuwalipa deni lote mara moja UASU yasema mgomo wa wahadhiri utaendelea Hadi pale matakwa yao yatakaposhughulikiwa Paul Kirobi #TV47Wikendi

TV 47 Digital (@tv47digital) 's Twitter Profile Photo

UTAFITI: TAIFA LINAELEKEA PABAYA Wakenya wanaamini kuwa Kenya haipo kwenye njia bora Ushawishi wa serikali umeshuka kwa kiasi kikubwa Wakenya bado watajitokeza kwa wingi kupiga kura katika uchaguzi mkuu 2027 Paul Kirobi #TV47Wikendi

Canadian20200 (@canadian20200) 's Twitter Profile Photo

Fed cuts rates 25bp to 3.75%–4%, but Powell signals caution. Bitcoin slips below $110K. “The cut was priced in — that was very clear to me,” said Maja Vujinovic, CEO at FG Nexus. Traders are reducing exposure amid profit-taking and limited data visibility. Read more, link in

Fed cuts rates 25bp to 3.75%–4%, but Powell signals caution.

Bitcoin slips below $110K.

“The cut was priced in — that was very clear to me,” said Maja Vujinovic, CEO at FG Nexus.

Traders are reducing exposure amid profit-taking and limited data visibility.

Read more, link in
Paul Kirobi (@paukirobi) 's Twitter Profile Photo

My 2 cents political analysis. Yess we cannot understimate the large number of loyal followers that ODM has. And yess they need a share in the next Government and they will get it.they have made two key proposals; it is either they form or be part of the next Government.

TV 47 Digital (@tv47digital) 's Twitter Profile Photo

SUDI AMTETEA GAVANA WA UASIN GISHU Mbunge wa Kapsaret Oscar Sudi amtetea Gavana Bii waziwazi. Sudi ajitangaza kuwa mpangaji mkuu wa siasa za Ruto. Sudi aonya wapinzani kuhusu uchaguzi wa 2027. #TV47Matukio Paul Kirobi

TV 47 Digital (@tv47digital) 's Twitter Profile Photo

ELIMU YA UTUNZAJI MAZINGIRA SHULENI Wanafunzi 250 watuzwa kwa elimu ya utunzaji mazingira. Wakfu wa ‘African Wildlife Foundation’ wahusisha shule 137. Shule ni za kaunti zinazopakana na Mbuga ya Tsavo. Hafla hii imefanyika katika Kaunti ya Taita Taveta. #TV47Matukio

TV 47 Digital (@tv47digital) 's Twitter Profile Photo

KIRINYAGA YAWAKABILI WANYAKUZI Kaunti ya Kirinyaga yarejesha ardhi ya 800. Ardhi hiyo inasemekana kunyakuliwa na watu binafsi. Ardhi hiyo ilikuwa ya thamani sh Billioni moja. #TV47Matukio Paul Kirobi

TV 47 Digital (@tv47digital) 's Twitter Profile Photo

WITO WA AMANI Wadau wa elimu watoa wito wa amani. Mtaalamu wa Elimu Hassan Kinyua awataka Wakenya kulinda mazingira. Kinyua amesisitiza umuhimu wa kukomesha ukatili wa kijinsia. Ametoa wito wa kulea vizazi vijavyo kupitia elimu. #TV47Matukio Paul Kirobi

TV 47 Digital (@tv47digital) 's Twitter Profile Photo

WAKULIMA WATAKA UCHUNGUZI WA BIL.14 Wakulima wa chai wata uchunguzi wa bilioni 14. Waandikia DCI barua kufanya uchunguzi. #TV47Matukio Paul Kirobi

TV 47 Digital (@tv47digital) 's Twitter Profile Photo

UFUGAJI WA KUKU WAPIGWA JEKI KITUI Vikundi vyapata vifaranga 6,400 kutoka idara ya mifugo. Mpango huu unatainua vikundi hivi kibiashara. Idara ya Mifugo imekuwa ikisambaza vifaranga. #TV47Matukio Paul Kirobi

TV 47 Digital (@tv47digital) 's Twitter Profile Photo

MGOMO WA WAHADHIRI Wadau wa elimu wafanya kikao bungeni. Kikao kinajadili mgomo wa wahadhiri. Mgomo umedumu kwa takriban miezi miwili sasa. #TV47Matukio Paul Kirobi

TV 47 Digital (@tv47digital) 's Twitter Profile Photo

MGOMO WA WAHADHIRI WATATIZA WANAFUNZI Wanafunzi wa chuo kikuu cha Kisii watishia kuwaunga wahadhiri. Wanafunzi wataka serikali suluhu ya kudumu kwa mgomo. #TV47Matukio Paul Kirobi

TV 47 Digital (@tv47digital) 's Twitter Profile Photo

Dear Parent: Your Child's Mental Health Matters "Some mental health challenges in children include parents arguing in front of kids, drug abuse, and excessive crying or laughing."- Dr. Julius Kimani, Counselor #MorningCafeTV47 ANNE ODIDA🇰🇪