Peter Madeleka
@pmadeleka
Chief Legal Counsel at Stalwart Law Chambers
ID: 1387685001534316546
29-04-2021 08:28:16
10,10K Tweet
121,121K Followers
5,5K Following
Nataka nimwambie Kigogo Media ajaribu kuficha UJINGA WAKE KIDOGO. Peter Madeleka anazo PESA za kuendesha Maisha yake ikiwemo KUNYWA POMBE. Kesi ya “AFANDE” kutuma watu WAMFIRE Binti wa YOMBO, ni ya JAMII NZIMA, kwa kuwa UFIRAJI ni KINYUME CHA SHERIA na MAADILI YA JAMII.
Watu wema wamaniambia; “Wakili Madeleka, kwa alichokiandika Kigogo Media hapo 👇, hana HADHI ya kujilinganisha na wewe”. Nimewajibu; “NAKUBALI 💯” 😂😂😂