@mtandaotgnp
ID: 397230802
linkhttp://www.tgnp.org calendar_today24-10-2011 12:19:22
14 Tweet
67 Followers
63 Following
14 years ago
Tunadai Katiba Mpya, sio viraka kwenye Katiba
Tanzania Gender Networking Programme (TGNP) is fundamentally an activist organization, non partisan, non... fb.me/OT5R7lTI
Katiba mpya ndio suluhisho la demokrasia nchini
Muswada wa Katiba mpya utoe HAKI kwa makundi yote kushiriki mchakato wa uundaji wa katiba mpya
Katiba Mpya itoe nafasi kwa Wanawake waliopo Pembezoni katika umiliki wa Ardhi
Asilimia 50/50 ya uwakilishi wa Jinsia zote uainishwe kwenye KATIBA mpya
Rais ana madaraka makubwa sana .Tunataka Katiba mpya impunguzie Rais Madaraka
Mwalimu Nyerere na Jakaya Kikwete waliwahi kusema kwa nyakati tofuati kuwa katiba yetu ya sasa inamfanya Rais kuwa dikteta akitaka
Rais anateua Tume ya kukusanya maoni, Rais anateua Bunge la Katiba nk. Tunataka kuona mchakato wa Katiba mpya unakuwa kwa wananchi zaidi
Ushiriki wa wananchi ndio nguzo kuu na msingi wa uandikwaji wa Katiba nzuri, shirikishi na ya wananchi wote sio ya watawala
Katiba huweka misingi mikuu ya nchi na namna ya kujenga na kuendesha Taifa.
Katiba Mpya itakayopatikana kwa mtindo huu wa ubabaishaji itaendelea kulalamikiwa na wananchi kama inavyolalamikiwa ile ya mwaka 1977
Wasomi na wanaharakati wanawapotosha wananchi kusema mambo yasiyo ya kweli kuhusu mchakato wa uundaji wa Katiba. Mhe. Steaven Wassira
Bunge limekuwa kijiwe cha kutukanana, kudharauliana na kutunishiana misuli kwa kigezo cha usomi na vyeti.Tunakomeshaje hii hali?