Ideas Adviser 💡🇹🇿
@mshauriserikali
🧠Government Adviser | Open Minded | Business Ideas🏔️Please Book Your Tanzanian Tour & Safari With Me ✈️ VISA Assistant & Abroad Jobs Agent 🇺🇸🇨🇦🇪🇺🇦🇪
ID: 1199835226819760128
http://wa.me/255759983030 27-11-2019 23:40:02
14,14K Tweet
22,22K Followers
788 Following
African Union mnalalamikia na kutotambua serikali ya mpito ya jeshi la GUINEA -BISSAU ambayo imeingia kistarabu bila kisa cha hata mende kuuwawa Wakati inatambua serikali iliyoigiza uchaguzi fraud, mauwaji , na kuoga damu Julius Sello Malema hakukosea kuwaita club ya kulindana
MIKA LUCAS CHAVALA. Kitu ambacho anafikiri Mika Chavala kinafanana sawa na fikra za waasisi wa mataifa mengi ya Afrika na waasisi wa Pan-Africanism ambao wengi walikuwa na mtazamo wa kuwa na Afrika moja yenye nguvu moja. Fikra za MIKA CHAVALA ni sawa na walivyokuwa