Max Mia (@max36419698) 's Twitter Profile
Max Mia

@max36419698

EMPTY

ID: 1230420267475841025

calendar_today20-02-2020 09:14:10

1,1K Tweet

115 Followers

423 Following

Max Mia (@max36419698) 's Twitter Profile Photo

Duh . Huu mwaka sasa ni toke nyumbani, niwaache baba na mama na madogo ata kama nikifia uko ndiowataona thamani yangu. haiwezekani siku nzuri kama hii wameenda kununua michicha .

Max Mia (@max36419698) 's Twitter Profile Photo

Wachezqji wanamuhujumu sana tajiri. Wachezaji hawaoni umuhimu wa uwekezaji anaoufanya tajiri yao . No efforts wanacheza kama wanacheza rede takataka kabisa๐Ÿšฎ

KIDUKU (@tanzaniaonejezi) 's Twitter Profile Photo

KAFA KIFO CHA MATESO NA HANA HATIA Habari za leo kaka? Naomba utusaidie kupaza sauti ili haki iweze kutendeka. Mdogo wetu Enock Thomas Mhangwa (25), mkazi wa Runzewe, Geita, ameuawa kwa kupigwa na viongozi wa serikali ambao ni Afisa Mtendaji wa kijiji cha Uyovu anaitwa Budimu na

SATIVA17 (@sativa255) 's Twitter Profile Photo

Habari za leo kaka? Naomba utusaidie kupaza sauti ili haki iweze kutendeka. Mdogo wetu Enock Thomas Mhangwa (25), mkazi wa Runzewe, Geita, ameuawa kwa kupigwa na viongozi wa serikali ambao ni Afisa Mtendaji wa kijiji cha Uyovu anaitwa Budimu na Afisa Mtendaji wa kijiji cha