KOCHA GAMONDI KUHUSU MCHEZO WA YANGA Vs TABORA UNITED
'Sijafurahiswa na kiwango cha jumla kilichoonyeshwa na wachezaji wangu katika mchezo wa leo,ndio tumeshinda lakini kiuchezaji kama timu hatukuwa vizuri,tutazidi kufanyia kazi ili isiwe tatizo,' KOCHA GAMONDI BAADA MCHEZO