Maalim Seif Foundation
@msshfoundation
Founded 2021. Our mission is to help build #peaceful, #democratic and #resilient societies.
ID: 1455074536991379458
https://maalimseif.africa/ 01-11-2021 07:29:58
468 Tweet
1,1K Followers
26 Following
Taasisi ya Maalim Seif Foundation imepokea kwa huzuni na majonzi makubwa taarifa za kifo cha ahmed rajab, gwiji wa uandishi wa habari, mchambuzi aliyebobea wa siasa za kitaifa na kimataifa na mzalendo wa kutajika wa #Zanzibar. Sisi Maalim Seif Foundation tutamkumbuka daima kwa ushiriki