Kings FM Radio (@kingsfmradio) 's Twitter Profile
Kings FM Radio

@kingsfmradio

Ukurasa Rasmi wa Kituo cha Redio cha KingsFM 👂Tusilikize kupitia 89.5 kwa nyanda za juu kusini ☢️Tusikilize popote duniani kwa Application ya TuneIn&RadioBox

ID: 2241428942

linkhttps://www.kingsfm.co.tz calendar_today11-12-2013 22:09:59

8,8K Tweet

2,2K Followers

694 Following

Kings FM Radio (@kingsfmradio) 's Twitter Profile Photo

Kwa 'sold out' za Mnyama kweli huu ni "Ubaya Ubwela". 😀😀😀 #kingsfmradio #jisikemfalme #njombe #tanzania #SimbaSC #yangasc

Kwa 'sold out' za Mnyama kweli huu ni "Ubaya Ubwela". 😀😀😀

#kingsfmradio
#jisikemfalme
#njombe #tanzania #SimbaSC #yangasc
Kings FM Radio (@kingsfmradio) 's Twitter Profile Photo

Umewahi kufikiria kinywaji cha Ulanzi siku moja kitachakatwa na kuwa Mvinyo kwa kimombo Wine? Theodorith Mlowe mkazi wa Njombe ya hilo liwezekane kwa kuaanzisha na #utamaduni #njombe instagram.com/p/C-VWZO6tceh/…

Kings FM Radio (@kingsfmradio) 's Twitter Profile Photo

Jumamosi hii usikae mbali na kurasa za mitandao ya kijamii ya @kingsfmradio YouTube: #KingsFmDigital TikTok: Kings Fm Radio Instagram: @kingsfmradio Facebook: Kings Fm Radio X: Kings Fm Radio Threads: Kings Fm Radio CC imani.luvanga #kingsfmradio #jisikiemfalme #tanzania

Jumamosi hii usikae mbali na kurasa za mitandao ya kijamii ya @kingsfmradio 

YouTube: #KingsFmDigital
TikTok: Kings Fm Radio
Instagram: @kingsfmradio 
Facebook: Kings Fm Radio
X: Kings Fm Radio
Threads: Kings Fm Radio

CC <a href="/imani/">imani</a>.luvanga 

#kingsfmradio #jisikiemfalme #tanzania
Kings FM Radio (@kingsfmradio) 's Twitter Profile Photo

Mwenyekiti wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Njombe Mjini Deo Mwanyika Oktoba 19, 2024 amejiandikisha katika Daftari la Wapiga Kura kwa ajili ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024, Mwanyika amejiandikisha katika Mtaa wa Uwemba,Njombe

Mwenyekiti wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Njombe Mjini <a href="/DeoMwanyika/">Deo Mwanyika</a>  Oktoba 19, 2024 amejiandikisha katika Daftari la Wapiga Kura kwa ajili ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024, Mwanyika amejiandikisha katika Mtaa wa Uwemba,Njombe
Kings FM Radio (@kingsfmradio) 's Twitter Profile Photo

Wafalme Jumatatu ya leo tuna kazi yako. Kikubwa endelea kusikiliza Kings Fm Radio kwenye 89.5MHz, kupitia Tune In na Radio Box kwa kuandika Kings FM Radio. Usisahau pia kutufuatilia kwenye mitandao ya kijamii Instagram, Facebook, X, Threads na Tik Tok kwa jina la @kingsfmradio

Wafalme Jumatatu ya leo tuna kazi yako.

Kikubwa endelea kusikiliza Kings Fm Radio kwenye 89.5MHz, kupitia Tune In na Radio Box kwa kuandika Kings FM Radio.

Usisahau pia kutufuatilia kwenye mitandao ya kijamii Instagram, Facebook, X, Threads na Tik Tok kwa jina la @kingsfmradio
Kings FM Radio (@kingsfmradio) 's Twitter Profile Photo

"HALI YETU YA UCHUMI NI NZURI" ______________ Deo Mwanyika, Mbunge wa Jimbo la Njombe Mjini 📷 Bunge la Tanzania #kingsfmradio #jisikiemfalme #njombe #2024kifalmezaidi

Kings FM Radio (@kingsfmradio) 's Twitter Profile Photo

Amekaa Gerezani kwa Miaka 4 akiwa ni Mahabusu Kutokana na Tuhuma za Mauaji ya Kada wa CCM. Sasa Yupo huru anaendelea na maisha ya kila siku, Jina lake anaitwa George Sanga. Jioni ya leo utakipitia kitabu chake, hivyo itakapofika 10: Jioni kaa karibu na kurasa mitandao yetu

Amekaa Gerezani kwa Miaka 4 akiwa ni Mahabusu Kutokana na Tuhuma za Mauaji ya Kada wa CCM. Sasa Yupo huru anaendelea na maisha ya kila siku, Jina lake anaitwa George Sanga. Jioni ya leo utakipitia kitabu chake, hivyo itakapofika 10: Jioni kaa karibu na kurasa mitandao yetu