#WenyeNchiWananchi (@katibampyatz_) 's Twitter Profile
#WenyeNchiWananchi

@katibampyatz_

We are active citizens and activists ,here to demand a new constitution in Tanzania| #KatibaMpya | #WenyeNchiWananchi |
📩 [email protected]

ID: 1183333434078498816

linkhttps://tanzaniakatibampya.com calendar_today13-10-2019 10:48:09

21,21K Tweet

14,14K Followers

181 Following

#WenyeNchiWananchi (@katibampyatz_) 's Twitter Profile Photo

Tathmini za madhara kwa mazingira ya mradi wa EACOP imeepuka kabisa suala la athari zinazohusiana na hali ya hewa zinazotokana na matumizi ya mafuta yanayozalishwa na kusafirishwa. #KataaEACOP #EACOPniTishio

Tathmini za madhara kwa mazingira ya mradi wa EACOP imeepuka kabisa suala la athari zinazohusiana na hali ya hewa zinazotokana na matumizi ya mafuta yanayozalishwa na kusafirishwa. #KataaEACOP #EACOPniTishio
#WenyeNchiWananchi (@katibampyatz_) 's Twitter Profile Photo

Msukumo wa Jumuiya ya Kimataifa unaweza kusaidia kumaliza matukio ya mauaji na utekaji Kwa kuchukua hatua zaidi kuliko matamko. Inatakiwa kushinikiza hatua ambazo zitatoa haki kwa waliofanyiwa ukatili. — Tundu Antiphas Lissu #WenyeNchiWananchi VIDEO : youtu.be/cJq2-4waPD4?si…

Msukumo wa Jumuiya ya Kimataifa unaweza kusaidia kumaliza matukio ya mauaji na utekaji Kwa kuchukua hatua zaidi kuliko matamko. Inatakiwa kushinikiza hatua ambazo zitatoa haki kwa waliofanyiwa ukatili. —  <a href="/TunduALissu/">Tundu Antiphas Lissu</a>  #WenyeNchiWananchi VIDEO  : youtu.be/cJq2-4waPD4?si…
#WenyeNchiWananchi (@katibampyatz_) 's Twitter Profile Photo

Watu walioathiriwa na mradi waliripoti kwamba tathmini ya Total ya ardhi na mazao yao haijakamilika, na viwango vya fidia havitoshi. #KataaEACOP #EACOPniTishio

Watu walioathiriwa na mradi waliripoti kwamba tathmini ya Total ya ardhi na mazao yao haijakamilika, na viwango vya fidia havitoshi. #KataaEACOP #EACOPniTishio
#WenyeNchiWananchi (@katibampyatz_) 's Twitter Profile Photo

The government of Tanzania should restore job openings for government-paid medical staff at medical facilities, including Endulen Hospital at Ngorongoro Conservation Area. ― Human Rights Watch #StopMaasaiEviction #ChangeTanzania bit.ly/3MqDKx3

The government of Tanzania should restore job openings for government-paid medical staff at medical facilities, including Endulen Hospital at Ngorongoro Conservation Area.  ― <a href="/hrw/">Human Rights Watch</a> #StopMaasaiEviction #ChangeTanzania bit.ly/3MqDKx3
#WenyeNchiWananchi (@katibampyatz_) 's Twitter Profile Photo

The government should ensure access to good, inclusive and equitable education and promote equal education opportunities for all, including girls who get pregnant at school. #ArudiShule #ElimuBilaUbaguzi #ChangeTanzania

The government should ensure access to good, inclusive and equitable education and promote equal education opportunities for all, including girls who get pregnant at school. #ArudiShule #ElimuBilaUbaguzi #ChangeTanzania
#WenyeNchiWananchi (@katibampyatz_) 's Twitter Profile Photo

Residents in Kirtalo and Ololosokwan, two villages near Pololeti Game Reserve, told Mongabay they had witnessed OBC personnel transporting live animals via aircraft in 2022 and 2023. #StopMaasaiEviction #ChangeTanzania news.mongabay.com/2024/08/luxury…

Residents in Kirtalo and Ololosokwan, two villages near Pololeti Game Reserve, told Mongabay they had witnessed OBC personnel transporting live animals via aircraft in 2022 and 2023. #StopMaasaiEviction #ChangeTanzania news.mongabay.com/2024/08/luxury…
#WenyeNchiWananchi (@katibampyatz_) 's Twitter Profile Photo

Nchi inatakiwa kutoka katika dhana ya kutawala nchi kwa kuiba uchaguzi ambapo inaambatana na kutisha na kuua watu ambao hawawezi kupokea rushwa na maelekezo ya watawala. — Tundu Antiphas Lissu #WenyeNchiWananchi VIDEO : youtu.be/cJq2-4waPD4?si…

Nchi inatakiwa kutoka katika dhana ya kutawala nchi kwa kuiba uchaguzi ambapo inaambatana na kutisha na kuua watu ambao hawawezi kupokea rushwa na maelekezo ya watawala. —  <a href="/TunduALissu/">Tundu Antiphas Lissu</a>  #WenyeNchiWananchi VIDEO  : youtu.be/cJq2-4waPD4?si…
#WenyeNchiWananchi (@katibampyatz_) 's Twitter Profile Photo

Independent assessments, including one conducted by the Africa Institute for Energy Governance (2022) noted significant gaps in improper handling of hazardous waste and oil spills. #KataaEACOP #EACOPniTishio

Independent assessments, including one conducted by the Africa Institute for Energy Governance (2022) noted significant gaps in improper handling of hazardous waste and oil spills.  #KataaEACOP #EACOPniTishio
#WenyeNchiWananchi (@katibampyatz_) 's Twitter Profile Photo

Tathmini huru juu ya mradi wa EACOP, ikiwa ni pamoja na iliyofanywa na Taasisi ya Afrika ya Utawala wa Nishati (2022) imebainisha mapungufu makubwa katika utunzaji wa taka hatari na umwagikaji wa mafuta. #KataaEACOP #EACOPniTishio

Tathmini huru juu ya mradi wa EACOP, ikiwa ni pamoja na iliyofanywa na Taasisi ya Afrika ya Utawala wa Nishati (2022) imebainisha mapungufu makubwa katika utunzaji wa taka hatari na umwagikaji wa mafuta. #KataaEACOP #EACOPniTishio
#WenyeNchiWananchi (@katibampyatz_) 's Twitter Profile Photo

Serikali inapaswa kuhakikisha upatikanaji wa elimu bora, jumuishi na yenye usawa na kuendeleza fursa sawa za elimu kwa wote, wakiwemo wasichana wanaopata mimba shuleni. #ArudiShule #ElimuBilaUbaguzi #ChangeTanzania

Serikali inapaswa kuhakikisha upatikanaji wa elimu bora, jumuishi na yenye usawa na kuendeleza fursa sawa za elimu kwa wote, wakiwemo wasichana wanaopata mimba shuleni. #ArudiShule #ElimuBilaUbaguzi  #ChangeTanzania
#WenyeNchiWananchi (@katibampyatz_) 's Twitter Profile Photo

Tanzania inatakwa kupata mifumo bora ya kuingia katika utawala. Serikali imefikia hatua ya kutengeneza utawala wa vitisho ili iweze kutawalika. Hili halikubaliki wananchi wanatakiwa kuwa huru. — Tundu Antiphas Lissu #WenyeNchiWananchi VIDEO : youtu.be/cJq2-4waPD4?si…

#WenyeNchiWananchi (@katibampyatz_) 's Twitter Profile Photo

Serikali ya Tanzania inapaswa kurejesha nafasi za kazi kwa watumishi wa afya wanaolipwa na serikali katika vituo vya matibabu, ikiwa ni pamoja na Hospitali ya Endulen katika Hifadhi ya Ngorongoro. ― Human Rights Watch #StopMaasaiEviction #ChangeTanzania bit.ly/3MqDKx3

Serikali ya Tanzania inapaswa kurejesha nafasi za kazi kwa watumishi wa afya wanaolipwa na serikali katika vituo vya matibabu, ikiwa ni pamoja na Hospitali ya Endulen katika Hifadhi ya Ngorongoro. ― <a href="/hrw/">Human Rights Watch</a> #StopMaasaiEviction #ChangeTanzania bit.ly/3MqDKx3
#WenyeNchiWananchi (@katibampyatz_) 's Twitter Profile Photo

Wakazi wa Kirtalo na Ololosokwan, vijiji viwili karibu na Pori la Akiba la Pololeti, wameshuhudia wafanyakazi wa OBC wakisafirisha wanyama hai kutoka Loliondo kupitia ndege mwaka 2022 na 2023. #StopMaasaiEviction #ChangeTanzania mwanzotv.com/yafichuliwa-ka…

Wakazi wa Kirtalo na Ololosokwan, vijiji viwili karibu na Pori la Akiba la Pololeti, wameshuhudia wafanyakazi wa OBC wakisafirisha wanyama hai kutoka Loliondo kupitia ndege mwaka 2022 na 2023. #StopMaasaiEviction #ChangeTanzania mwanzotv.com/yafichuliwa-ka…
#WenyeNchiWananchi (@katibampyatz_) 's Twitter Profile Photo

There are many people who feel that it is useless and futile to continue talking about peace and non-violence against a government whose only reply is savage attacks on unarmed and defenseless people. ― Nelson Mandela (Former South African President) #ChangeTanzania

There are many people who feel that it is useless and futile to continue talking about peace and non-violence against a government whose only reply is savage attacks on unarmed and defenseless people. ― Nelson Mandela (Former South African President) #ChangeTanzania
#WenyeNchiWananchi (@katibampyatz_) 's Twitter Profile Photo

Maadili ya viongozi yameshuka sana kwa sababu hakuna uwajibikaji na ndio maana ubadhirifu mkubwa wa mali wa umma unaendelea. Hakuna tume ya maadili imara ya kusukuma uwajibikaji ili kulinda mali za wananchi. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi

Maadili ya viongozi yameshuka sana kwa sababu hakuna uwajibikaji na  ndio maana ubadhirifu mkubwa wa mali wa umma unaendelea. Hakuna tume ya maadili imara ya kusukuma uwajibikaji ili kulinda mali za wananchi.   #KatibaMpya  #WenyeNchiWananchi
#WenyeNchiWananchi (@katibampyatz_) 's Twitter Profile Photo

Sekretarieti ya sasa ya maadili ni butu haifai kundelea kuwepo kwani inarudisha nyuma maendeleo ya wananchi na nchi kwa kuendelea kulea wala rushwa na mafisadi. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi

Sekretarieti ya sasa ya maadili ni butu haifai kundelea kuwepo kwani inarudisha nyuma maendeleo ya wananchi na nchi kwa kuendelea kulea wala rushwa na mafisadi.    #KatibaMpya  #WenyeNchiWananchi
#WenyeNchiWananchi (@katibampyatz_) 's Twitter Profile Photo

Ili kuimarisha mifumo ya udhibiti wa maadili ya umma ni lazima tupate katiba yenye meno na kuchora mipaka ya kila kiongozi katika utendaji wake. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi

Ili kuimarisha mifumo ya udhibiti wa maadili ya umma ni lazima tupate katiba yenye meno na kuchora mipaka ya kila kiongozi katika utendaji wake.  #KatibaMpya  #WenyeNchiWananchi
#WenyeNchiWananchi (@katibampyatz_) 's Twitter Profile Photo

Ni muhimu sana Tubadilishe sheria inayounda Tume ya Maadili ili kuipa nguvu ya kusimamia maadili ya umma. Hilo litawezekana endapo tutapata katiba bora ambayo itata nafasi ya sheria hizo kufanya kazi. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi

Ni muhimu sana Tubadilishe sheria inayounda Tume ya Maadili ili kuipa nguvu ya kusimamia maadili ya umma. Hilo litawezekana endapo tutapata katiba bora ambayo  itata nafasi ya sheria hizo kufanya kazi.  #KatibaMpya  #WenyeNchiWananchi