Johnbest Mwahaja
@JohnieZeBest
Procurement & Finance Person | Content Creator | #Upendoโฅ๏ธ |
Mtoto Wa Mama Johnie | #MrUnknownCode | Captain Ramos ยฉ๏ธ
30-05-2016 05:58:27
175,6K Tweets
52,7K Followers
2,3K Following
Kwanini Uje/ Uende #TOTBonanza .....
Kuna Ambao Mara Yao Ya Kwanza Kusikia #TOTBonanza na Kuna Wale Wamesikia Ila Hawajawahi Kufika Kabisa Bonanzani. Ukiacha Kwamba Utakutana Tweeps Mnaopiga Stori DM au Kwenye TL basi huku utakutana nao.
#TOTBonanza ni Tamasha wadau wanao tumia twitter Tanzania kujumuika pamoja na kufurahia, kubadilishana mawazo, kuungishana, kunywa, kushindana na hata kubadilishana namba kwa ajili ya fursa.
Sikia Sasa Kwanin Uje Bonanza..... ๐
2. Michezo Na Wachezaji
Football kwa team zilizojisajiri, hapa utakuna na Malejendi ROHOMBAYA FC. Kama unavyojua msisimko wa mpira wa miguu. Achana na ile ya mashabiki ya Yanga na Mikia hadi Ankali Selbinho Soldado akacheza na Eng. Ndembo Jafari akawa kocha mbele ya Senzo.