Jasper Kido (@jasperkido) 's Twitter Profile
Jasper Kido

@jasperkido

I write because I read, I read thus I write ✊🏾

ID: 1416712242221961220

calendar_today18-07-2021 10:51:58

4,4K Tweet

503 Takipçi

1,1K Takip Edilen

Latto 𝕏 (@rydx_017) 's Twitter Profile Photo

" Tunalamika kwa wizi wa Kura!, Mwizi tutamuita mwizi kwa jina lake, na kama ilivyo Desturi, mwizi atashughulikiwa kama mwizi wa kawaida, na CCM ni MWIZI....." — Jane Rithe Mwenyekiti wa Ngome ya wanawake, kwenye ziara ya ACT, Tabora. Video kwa Comments 👇

" Tunalamika kwa wizi wa Kura!, Mwizi tutamuita mwizi kwa jina lake, na kama ilivyo Desturi, mwizi atashughulikiwa kama mwizi wa kawaida, na CCM ni MWIZI....."

— Jane Rithe 
Mwenyekiti wa Ngome ya wanawake, kwenye ziara ya ACT, Tabora.

Video kwa Comments 👇
ACTWazalendo (@actwazalendo) 's Twitter Profile Photo

Mtafiti wa Wasemaji wa Kisekta na Afisa wa Makao ya ACTWazalendo, Ndugu Cde. Mshenga. amefanya mazungumzo na Viongozi na Watia nia wa kata zote nane za Jimbo la Mafia. Kikao hicho ni sehemu ya Operesheni Maji Maji inayoendelea nchi nzima. Oktoba #LindaKura #MuhuniHasusiwi

Mtafiti wa <a href="/ACTBarazaKivuli/">Wasemaji wa Kisekta</a> na Afisa wa Makao ya <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a>, Ndugu <a href="/Mshengahussein/">Cde. Mshenga.</a> amefanya mazungumzo na Viongozi na Watia nia wa kata zote nane za Jimbo la Mafia. Kikao hicho ni sehemu ya Operesheni Maji Maji inayoendelea nchi nzima. 

Oktoba #LindaKura
#MuhuniHasusiwi
Cde. Mshenga. (@mshengahussein) 's Twitter Profile Photo

"Nawashangaa Wapinzani wanaopinga Suala la Wananchi kulinda Kura, ningeweza kuwauliza wao walishindaje huko nyuma lakini sitaki chama chetu kuingia kwenye majibizano na wapinzani wenzetu, Sio wakati wake. Ila naelewa Ukubwa wa Chama chetu unawatisha" shangwe Ayo

"Nawashangaa Wapinzani wanaopinga Suala la Wananchi kulinda Kura, ningeweza kuwauliza wao walishindaje huko nyuma lakini sitaki chama chetu kuingia kwenye majibizano na wapinzani wenzetu, Sio wakati wake. Ila naelewa Ukubwa wa Chama chetu unawatisha"

<a href="/ayo_shangwe/">shangwe Ayo</a>
NTOBI (@ntobi_) 's Twitter Profile Photo

Oya! Uzi wa uzalendoni ni noma sana mazee! Enewei —ujumbe wangu kwenu ni kuwa:- #MuhuniHasusiwi #OktobaLindaKura #OperesheniLindaDemokrasia Tutashiriki Tukipambana, Tutapambana Tukishiriki.

Oya! Uzi wa uzalendoni ni noma sana mazee! Enewei —ujumbe wangu kwenu ni kuwa:-

#MuhuniHasusiwi 
#OktobaLindaKura 
#OperesheniLindaDemokrasia 

Tutashiriki Tukipambana,
Tutapambana Tukishiriki.
(fan) Ruben Amorim 🇵🇹 (@rubenamorimx) 's Twitter Profile Photo

🚨🎙️ David de Gea: “I turned down offers to return to England this summer because I couldn't join another team other than United.” LEGEND ❤️ [SPORTbible]

🚨🎙️ David de Gea: 

“I turned down offers to return to England this summer because I couldn't join another team other than United.”

LEGEND ❤️

[<a href="/sportbible/">SPORTbible</a>]
The Chanzo (@thechanzo) 's Twitter Profile Photo

Nalilia Miradi ya Gesi Asilia Lindi na Chuma na Makaa ya Mawe Ludewa | Maoni Na Zitto Kabwe Kila mwaka, Tanzania inatumia Dola za Marekani bilioni moja kuagiza bidhaa za chuma kutoka nje kwa matumizi mbalimbali, ikiwemo ujenzi wa madaraja, ujenzi wa majumba, ujenzi wa reli na

Nalilia Miradi ya Gesi Asilia Lindi na Chuma na Makaa ya Mawe Ludewa | Maoni

Na Zitto Kabwe

Kila mwaka, Tanzania inatumia Dola za Marekani bilioni moja kuagiza bidhaa za chuma kutoka nje kwa matumizi mbalimbali, ikiwemo ujenzi wa madaraja, ujenzi wa majumba, ujenzi wa reli na
Rahuuuum (@rahmamwita) 's Twitter Profile Photo

2010 Hamkutoka 2015 Hamkutoka 2020 Hamkutoka 2024 Hamkutoka kwenye UCHAGUZI Makanjanja wa Siasa sasa hivi mko desperate hata ikibadilishwa sentensi moja mnasema mtarudi kwenye uchaguzi na Lissu atapelekewa fomu Gerezani. 🤣

Janeth Rithe (@janerithe) 's Twitter Profile Photo

Walinzi wanashirikiana na wezi safari hii tunalinda wenyewe police yoyote anayeshirikiana na ccm kuiba kura ni mwizi tukimkamata hatupeleki kwenye kituo cha wezi wenzao tunatoa hukumu wenyewe ni hukumu ipi? jaribu kuiba uone

ACTWazalendo (@actwazalendo) 's Twitter Profile Photo

Ahsante sana Makamu Mwenyekiti Zanzibar, Ndugu Ismail Jussa kwa kuchangia Tsh 10,000,000/= kwa ajili ya kufanikisha Mkutano Mkuu Maalum. Oktoba #LindaKura #MuhuniHasusiwi ACTWazalendo

Ahsante sana Makamu Mwenyekiti Zanzibar, Ndugu <a href="/IsmailJussa/">Ismail Jussa</a> kwa kuchangia Tsh 10,000,000/= kwa ajili ya kufanikisha Mkutano Mkuu Maalum.

Oktoba #LindaKura
#MuhuniHasusiwi
<a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a>
Rahmer Salum (@rahmer255) 's Twitter Profile Photo

OKTOBA #LindaKura OKTOBA #LindaKura OKTOBA #LindaKura OKTOBA #LindaKura OKTOBA #LindaKura OKTOBA #LindaKura OKTOBA #LindaKura OKTOBA #LindaKura OKTOBA #LindaKura OKTOBA #LindaKura

OKTOBA #LindaKura 
OKTOBA #LindaKura 
OKTOBA #LindaKura 
OKTOBA #LindaKura 
OKTOBA #LindaKura 
OKTOBA #LindaKura 
OKTOBA #LindaKura 
OKTOBA #LindaKura 
OKTOBA #LindaKura 
OKTOBA #LindaKura
khalifa said #PALESTINE 🇵🇸 ☭🌹 (@thatboykhalifax) 's Twitter Profile Photo

hakutakuwa na uandishi wa habari huru serikali ikiendelea kushikilia msimamo wake kwamba ili mtu afanye uandishi wa habari tanzania lazima yenyewe ndo imthibitishe, au kumruhusu. kutakuwa na propaganda na mapambio, na waathirika tutakuwa ni sisi wananchi. tuna kila 7bu ya kukataa

khalifa said #PALESTINE 🇵🇸 ☭🌹 (@thatboykhalifax) 's Twitter Profile Photo

lengo la serikali halijawahi kuwa ni kuikuza tasnia ya habari tanzania, bali kuiua. ni uongo kwamba serikali inajali mwelekeo wa tasnia ya habari ya nchi hii. kama ingekuwa inajali, ingelipa baraza letu huru la habari nguvu ya kisheria, siyo kutufanya tuwajibike kwa watawala.

khalifa said #PALESTINE 🇵🇸 ☭🌹 (@thatboykhalifax) 's Twitter Profile Photo

kinachotokea ccm ni kile wataalamu hukiita “the boomerang effect”: mbinu zitumikazo kudhibiti wapinzani wa serikali nje ya ccm, zinatumika kushughulika na wapinzani ndani ya chama. ccm kilikoma muda tu kuwa taasisi ya kidemokrasia, kilichobaki ni kikundi cha wanyang’anyi tu.

ACTWazalendo (@actwazalendo) 's Twitter Profile Photo

Waziri Kivuli wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashairiki, Dr. Nasra Nassor Omar amechangia Tsh 1,000,000/= kwa ajili ya Mkutano Mkuu Maalum. Ahsante sana Dkt Nasra. Oktoba #LindaKura #MuhuniHasusiwi ACTWazalendo

Waziri Kivuli wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashairiki, <a href="/drnasranassor/">Dr. Nasra Nassor Omar</a> amechangia Tsh 1,000,000/= kwa ajili ya Mkutano Mkuu Maalum. Ahsante sana Dkt Nasra.

Oktoba #LindaKura 
#MuhuniHasusiwi
<a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a>