
Hussein M Bashe
@husseinbashe
Minister, Ministry for Agriculture | MP - Nzega Urban Constituency | Farmer | Politician #TanzaniaKwanza
ID: 414967705
http://www.husseinbashe.com 17-11-2011 18:39:22
5,5K Tweet
564,564K Followers
361 Following





🎥LEO BUNGENI: Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussein M Bashe, akiwasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Kilimo, ameeleza mafanikio makubwa yaliyopatikana chini ya Serikali ya Awamu ya Sita ambapo amebainisha kuwa; ➡️Bajeti ya Kilimo imepanda kutoka Shilingi Bilioni 294

🎥LEO BUNGENI: Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussein M Bashe akiwasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Kilimo ameeleza kuwa Katika mwaka 2024, mchango wa sekta ya kilimo kwenye pato la taifa umeendelea kuongezeka, hali inayopelekea watu wengi zaidi kuajiriwa kwenye




#KilimonaCarol Migomba ya Maua Mazuri ndio kama hivi jamani..tena this is with minimal care💪🏾💪🏾 I mean yes mbolea tuliweka ya ng’ombe tena but shooo! I ‘m so happy 🙏🏾🙏🏾


From University of Leeds , UK! We're preparing a major project to boost output in agriculture & horticulture by examining production issues, trade policies & supply chains. The joint project for TZ, Brazil & Indonesia seeks to align agriculture, forestry & climate change adaptation


Tanzania inahitaji Wabunge wa namna hii. Kama Sector ya Kilimo inaajiri zaidi ya 70% ya Watanzania leo, kwanini Mh Waziri Mwigulu Nchemba, PhD haupeleki 100% Wizara ya Kilimo? Unataka kutuaminisha kwamba Mh Hussein M Bashe hafanyi kazi yake vizuri? Au hautaki Mh Bashe asifike kwa


Utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi kwenye Sekta ya Kilimo 2020-2024

#Agenda1030 Kilimo na UMWAGILIAJI. Ilikua ndoto, lakini sasa rasmi imeingia kwenye Ilani ya Chama Cha Mapinduzi #Ilani2530 iliyozinduliwa leo 30.05.2025 Upembuzi yakinifu yaani feasibility study imeshatangazwa. Mradi huu utahusisha jumla ya ekari milioni 3.



