Historia Yetu
@HistoriaYetu
Ukurasa kuhusu historia ya Tanzania. Kabla na baada ya uhuru. Tundikie 📧- [email protected]
ID:1429749964775768066
http://www.historiayetu.com 23-08-2021 10:19:17
1,3K Tweets
33,8K Followers
0 Following
📍Peking, China - Feb 20, 1965
Rais wa Tanzania Hayati Mwalimu Julius Nyerere pamoja na Mwenyeki wa Chama cha Kikomunist cha China Liu Shao-chi wakitia saini hati ya makubaliano ya Urafiki kati ya Tanzania na China.
Leo Jiijini Dar es Salaam, ubalozi wa Chinese Embassy in Tanzania kwa…
Sheikh Abeid Karume (1905 - 1972)
Rais wa kwanza wa Zanzibar na Makamu wa Rais wa kwanza wa Tanzania.
📸1965.
(Photo by Dalmas/Pix/Michael Ochs Archives/Getty Images)
#KaurmeDay
Je, Young Africans SC italipiza Kisasi kwa Madiba dhidi ya Mamelodi Sundowns FC?
2001 Yanga ilitolewa hatua ya raundi ya pili ya michuano ya TotalEnergiesCAFCL & TotalEnergiesCAFCC 🏆 pale kwenye Dimba la CCM Kirumba Mwanza.
Agg ilikuwa 6-5 ambapo Mamelodi alipita kwa tofauti ya goli moja. Ilikuwaje?
Mchezo wa kwanza…