Gift Kimaro
@GiftKimaro7
Accountant| Entrepreneur|SocialMediaInfluencer| Yangasc ~|Nayaweza mambo yote katika yeye anitiaye nguvu πͺπͺ
ID:929275584227799040
11-11-2017 09:12:19
25,3K Tweets
7,0K Followers
2,4K Following
Follow People
Burudani zinaendelea tena Leo usiku ndani ya DStv . Ni usiku wa EUROPA LEAGUE,Roma Vs Bayer Leverkusen.
Burudani hizi utazicheki Kwa 25,000 tu Kwenye kifurushi ha BOMBA. Cha kufanya ni kulipia tu. Bofya *150* 53# . #MfalmeWaBoma
Kubwa 10 kati ya mengi aliyofanya ππππ kwa manufaa ya nchi yetu kwa Aprili 2024.
#MamaYukoKazini
VIFAA VYA KISASA VYATUA BANDARI YA DAR
βΆοΈMwekezaji bandari ya Dar ameanza kushusha vifaa ikiwemo mashine 8 za RTG, Mashine 19 za kushusha kontena na jenereta kubwa za kuendesha mashine hizo.
βΆοΈMama amefanikisha uwekezaji bandari ili kuongeza tija na mapato.
#MamaYukoKazini
Serikali inaendelea kujenga barabara ya Tukuyu- Lwangwa kwa kiwango cha Lami, maboresho ya miundombinu katika kuimarisha shughuli za kiuchumi kwa wananchi.
#MamaYukoKazini
ππππ ππ πππππππππππ
Ilani ya CCM (2020-2025) inaelekeza kuimarishwa mashirika ya umma ili kuchochea maendeleo ya Taifa.
Hadi Machi 2024 taasisi na mashirika matatu yamefutwa na mengine 14 yameunganisha ili yajiendeshe kwa faida.
#MamaYukoKazini
Ufungaji wa vifaa tiba katika hospitali ya wilaya ya Ilemela utawezesha huduma hizo kuanza kutolewa. Awali wananchi walikua wanatembea KM25 hadi KM30 kwa ajili ya kufata vipimo.
#MamaYukoKazini
Vijana wanaofanya miradi ya ufugaji wa samaki kwa kutumia teknologia ya vizimba vilivyokabidhiwa na Mh. Rais Samia Suluhu Hassan Januari 20, January 2024 mkoani Mwanza katika kila kizimba kimoja wanatarajia kupata mavuno kati ya shilingi milioni 28 hadi 30.
#MamaYukoKazini