@Myahudi wa 3🦂 (@gabrielmk_3) 's Twitter Profile
@Myahudi wa 3🦂

@gabrielmk_3

Dee plat designer

ID: 1459867213935095812

linkhttp://www.officialgabriel3.com calendar_today14-11-2021 12:54:26

2,2K Tweet

1,1K Followers

1,1K Following

SATIVA17 (@sativa255) 's Twitter Profile Photo

Zimebaki WEEK 2 na siku 2 kuelekea MAANDAMANO YA UKOMBOZI NCHI NZIMA. Sehemu pekee ambayo inaweza kuamua maandamano haya yafanikiwe ni “MITANDAO YA KIJAMII”. Mpaka sasa kwa kipindi chote tumeweza kuikamata wananchi, kila kona yanaongelewa maandamano. WAKOLONI WEUSI sasa

Zimebaki WEEK 2 na siku 2 kuelekea MAANDAMANO YA UKOMBOZI NCHI NZIMA.

Sehemu pekee ambayo inaweza kuamua maandamano haya yafanikiwe ni “MITANDAO YA KIJAMII”. Mpaka sasa kwa kipindi chote tumeweza kuikamata wananchi, kila kona yanaongelewa maandamano.

WAKOLONI WEUSI sasa
SATIVA17 (@sativa255) 's Twitter Profile Photo

Hapo mtu ana RISASI moja bado kwenye nyonga yake anatembea nayo kila siku. Hapo amepona KIFO CHA RISASI 16. Sasa wanamtafutia kosa la UHAINI wamnyonge mpaka KUFA. Huku akiwa magereza zaidi ya siku 190. Mh. LISSU kashafanya kwa nafasi yake, ni wakati wa watanzania kumaliza

SATIVA17 (@sativa255) 's Twitter Profile Photo

"Leo nimeona vijana mtandaoni, wanasema Nyerere angekuwepo Mbogamboga wangemteka,,... mimi nafikiri ni kweli wangemteka kwa sababu alikuwa na nafsi huru, alielezea mawazo yake kwa uhuru"-Tito Magoti #DearNyerere

Maria Sarungi Tsehai (@mariastsehai) 's Twitter Profile Photo

Bless his heart Tundu Antiphas Lissu angekuwa huru angeendesha juhudi za kumpata Polepole CCM wenzake kimyaaa Wapenda haki hatubagui inapokuja kupigania haki ya kuishi ya mtu #FreePolepole

SATIVA17 (@sativa255) 's Twitter Profile Photo

#OKTOBATUNATOKA KWASABABU SISI WANANCHI WENYE NCHI TUNATAKA KUIKOMBOA HILI TAIFA KUTOKA MIKONONI MWA WAKOLONI WEUSI. Hili lazima lifanikiwe kwasababu SISI NI WENGI KULIKO WAO. Haiwezekani taifa la watu milioni 70 tukapelekeshwe na kikundi kidogo cha WATEKAJI chakina MAFWELE.

#OKTOBATUNATOKA KWASABABU SISI WANANCHI WENYE NCHI TUNATAKA KUIKOMBOA HILI TAIFA KUTOKA MIKONONI MWA WAKOLONI WEUSI.

Hili lazima lifanikiwe kwasababu SISI NI WENGI KULIKO WAO. Haiwezekani taifa la watu milioni 70 tukapelekeshwe na kikundi kidogo cha WATEKAJI chakina MAFWELE.
Polycarp The Bibliophile (@polycarpmdm) 's Twitter Profile Photo

Tumsikilize TUNDU LISSU Jioni Hii. PART VIII. Hapa ilikua ni Bunge la 11, Tarehe 01 Feb 2016 Miaka 8 iliyopita. Mkutano wa Pili. Kikao Cha Tano Siku Hii Toto Tundu Aliwapa Muongozo matata sawa Hawa viumbe hapa bungeni, Yote yalibaki yameduwaa kama makenge.

Hilda Newton (@hildanewton21) 's Twitter Profile Photo

Hali ilivyo Sirari usiku huu baada ya Watu wasiojulikana kumteka mtu, wananchi wamekomaa wakafunga barabara dakika ya mwisho watekaji ikabidi wakimbilie kituo cha Polisi Tarime ili kujiokoa. Hapana chezea nguvu ya Umma.💪🏻

SATIVA17 (@sativa255) 's Twitter Profile Photo

KUHUSU WANAJESHI WA UGANDA WALIOLETWA TANZANIA. Kulekea siku ya Maandamano Oktoba 29 Kama mtakumbuka juzi kuna Mwanaharakati wa Uganda alisema kwamba kuna Wanajeshi wa Uganda wamevuka mpaka na kuja Tanzania kwa ajili ya kumsaidia Idd Amin Mama kututeka na kutuumiza. Sasa iko

KUHUSU WANAJESHI WA UGANDA WALIOLETWA TANZANIA.

Kulekea siku ya Maandamano Oktoba 29

Kama mtakumbuka juzi kuna Mwanaharakati wa Uganda alisema kwamba kuna Wanajeshi wa Uganda wamevuka mpaka na kuja Tanzania kwa ajili ya kumsaidia Idd Amin Mama kututeka na kutuumiza.

Sasa iko