FREEVOICE MEDIA
@FvoiceMedia
ID:1399068482759761922
30-05-2021 18:21:54
28,6K Tweets
13,3K Followers
2,7K Following
Mwenyekiti wa JUMIKITA, Shabani Matwebe, amezitaka Jumuiya, wanaharakati wa Masuala ya Jinsia, na wadau wengine wa kisiasa na jamii kujitokeza kwa nguvu kukemea matusi na udhalilishaji dhidi ya Rais Samia.
#letehojausiletematusi