Chaurembo ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ (@fatmahshokat) 's Twitter Profile
Chaurembo ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ

@fatmahshokat

Media Personalityโ™ค Chef๐Ÿ‘ฉ๐Ÿฝโ€๐Ÿณโ™ก An โ™ˆโญ #MaishaYangu Documentary Dstv โญ#PillowTalkTimesFm โญ#LalaByEfm CEO of @ChauremboFood & Chaurembo Holdings Ltd ๐Ÿ›…๐ŸŒน๐Ÿฆ‹๐ŸŒท

ID: 1111203321321267202

calendar_today28-03-2019 09:48:11

99,99K Tweet

75,75K Followers

5,5K Following

Deyssa Benevista (@deyssa_tz) 's Twitter Profile Photo

Moyo wa TAIFA โ„ข๏ธ Ulikuwa Mbunge kisha Naibu Speaker kwa miaka 5 kisha ukawa kiongozi mkuu wa Bunge kwa miaka 5 halafu unagombania kurudi Bungeni uwe Mbunge wa Kawaida ndani ya Bunge uliloliongoza!! Hii ni aibu iliyojaaa uroho na ulafi wa Madaraka na mali za umma.

Chaurembo ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ (@fatmahshokat) 's Twitter Profile Photo

Dear ladies, ukiwa unaomba Mungu akupe Mume kuwa very specific na maombi yako. Unaomba Mume Tajiri, mwenye mapenzi, hofu ya Mungu, mpenda familia. Mungu anakupa bila hiyana ila unakuta hana ๐Ÿ†๐Ÿคฃ

Chaurembo ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ (@fatmahshokat) 's Twitter Profile Photo

Kuna namna tu unakua unajiskia ukiwa unahudumiwa Premier Bank huwezi kutaka tena kwenda kule kwa wengine. Na kwanza nkifika lazima kikombe cha kahawa nifidie hata vicent vyangu๐Ÿ˜‚๐Ÿ™Œ๐Ÿพ

Chaurembo ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ (@fatmahshokat) 's Twitter Profile Photo

Nawakumbusha Dada yenu Biashara yangu ni ile ile hapa Kahama. Na leo ni Ijumaa tunakua na Biryan Friday nimeingia jikoni mwenyewe leo ๐Ÿ‘Œ Nisaidieni kuRT maana na Mikoani natuma๐Ÿ˜ƒ ๐Ÿ“Kahama โ˜Ž๏ธ 0749 614 613 / 0655 258737 Swahili Food๐Ÿฑ๐Ÿ›๐Ÿ•

Chaurembo ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ (@fatmahshokat) 's Twitter Profile Photo

Comments za humu!๐Ÿ˜‚๐Ÿ™Œ๐Ÿพ Ila na nyie mliyataka haya, Chama gani eti hakikua na Mgombe URAIS imebaki miezi 2 tu kufikia Uchaguzi Mkuu! Mara Ghafla wachukue mtu aliyetoka Chama kingine ndio agombee!! Mipango mizuri kweli ila sasa ndio hamuwezi kushinda labda Dunia igeuke