#ElimikaWikiendi (@elimikawikiendi) 's Twitter Profile
#ElimikaWikiendi

@elimikawikiendi

We're #ElimikaWikiendi, a youth-led NGO and your go-to platform for education, advocacy, and storytelling. By the youth, for the youth.

ID: 701453045880717312

linkhttp://elimikawikiendi.org calendar_today21-02-2016 17:06:53

140,140K Tweet

76,76K Followers

501 Following

#ElimikaWikiendi (@elimikawikiendi) 's Twitter Profile Photo

kukuza chapa yako binafsi "Personal branding" kuna aina mbili unaweza ukakua vizuri na wakati mwingine mitandao inaweza kukuhukumu kutokana na wewe ulivyojiweka - | Sylvia M. Mkomwa #NIKONEKT

kukuza chapa yako binafsi "Personal branding" kuna aina mbili unaweza ukakua vizuri na wakati mwingine mitandao inaweza kukuhukumu kutokana na wewe ulivyojiweka - | <a href="/MkomwaSylvia/">Sylvia M. Mkomwa</a> 
#NIKONEKT
#ElimikaWikiendi (@elimikawikiendi) 's Twitter Profile Photo

Mitandao ya kijamii kwa mara ya kwanza ilikuwa haijali sana uhalisia lakini kwa sasa hali imebadilika ni lazima mjasiriamali kuweka uhalisia hii itakusaidia kuongeza uaminifu na biashara yako kununulika | Queen of Automationtz #NIKONEKT

Mitandao ya kijamii kwa mara ya kwanza ilikuwa haijali sana uhalisia lakini kwa sasa hali imebadilika ni lazima mjasiriamali kuweka uhalisia hii itakusaidia kuongeza uaminifu na biashara yako kununulika

|  <a href="/Neemakaniki1/">Queen of Automationtz</a> #NIKONEKT
#ElimikaWikiendi (@elimikawikiendi) 's Twitter Profile Photo

Kupata leseni ya biasahra kwa sasa ni rahisi pakua programu tumizi ya TAUSI Portal na jisajili. Baada ya kujisajili unapata fursa za kupata visimba masokoni, Fremu za biashara katika wilaya husika. Lusajo Mbembela, Afisa masoko Kinondoni #NIKONEKT

Kupata leseni ya biasahra kwa sasa ni rahisi pakua  programu tumizi ya TAUSI Portal na jisajili.

Baada ya kujisajili unapata fursa za kupata visimba masokoni, Fremu za biashara katika wilaya husika.

Lusajo Mbembela, Afisa masoko Kinondoni 
#NIKONEKT
#ElimikaWikiendi (@elimikawikiendi) 's Twitter Profile Photo

Ni muhimu sana kutambulisha chapa na ujuzi wako hii inakutengenezea kutambulika, kuaminika na kupata fursa Maryam Elhaji, Afisa Masoko na PR #NIKONEKT

Ni muhimu sana kutambulisha chapa na ujuzi wako hii inakutengenezea kutambulika, kuaminika na kupata fursa 

Maryam Elhaji, Afisa Masoko na PR 
#NIKONEKT
#ElimikaWikiendi (@elimikawikiendi) 's Twitter Profile Photo

"Kwa mfanyabiashara/mjasiriamali ni muhimu sana kuelimisha wateja juu ya bidhaa yao husika hii itapelekea watu kushawishika kununua biashara yako" | Queen of Automationtz #NIKONEKT

"Kwa mfanyabiashara/mjasiriamali ni muhimu sana kuelimisha wateja juu ya bidhaa yao husika hii itapelekea watu kushawishika kununua biashara yako"

| <a href="/Neemakaniki1/">Queen of Automationtz</a> #NIKONEKT
#ElimikaWikiendi (@elimikawikiendi) 's Twitter Profile Photo

"Kuna fursa nyingi kwenye halmashauri zetu cha muhimu uwe na TIN Namba, namba ya kitambulisho cha Taifa na baada ya hapo nenda ofisi za halmasahuri kuulizia fursa unayoitaka" Lusajo Mbembela - Afisa Masoko Kinondoni #NIKONEKT

"Kuna fursa nyingi kwenye halmashauri zetu cha muhimu uwe na TIN Namba, namba ya kitambulisho cha Taifa na baada ya hapo nenda ofisi za halmasahuri kuulizia fursa unayoitaka"

Lusajo Mbembela - Afisa Masoko Kinondoni
#NIKONEKT
#ElimikaWikiendi (@elimikawikiendi) 's Twitter Profile Photo

"Mjasiriamali pia unapaswa kuonesha namna bidhaa yako ilivyowanufaisha wateja wako hii inavuta wateja wengi zaidi na kuonesha uhalisia" | Queen of Automationtz #NIKONEKT

"Mjasiriamali pia unapaswa kuonesha namna bidhaa yako ilivyowanufaisha wateja wako hii inavuta wateja wengi zaidi na kuonesha uhalisia"

| <a href="/Neemakaniki1/">Queen of Automationtz</a> #NIKONEKT
#ElimikaWikiendi (@elimikawikiendi) 's Twitter Profile Photo

#NIKONEKT ina malengo 2 1. Kuwaunganisha vijana kwa kuwapa maarifa, ujuzi na kuwapati taarifa za soko la ajira. 2. kuwaunganisha wajasiriamali na kuwajengea ujuzi na uwezo wa kutumia mifumo ya kidigiti ili wakuze baishara zao Mkurugenzi wa Elimika Wikiendi James Massawe

#NIKONEKT ina malengo 2

1. Kuwaunganisha vijana kwa kuwapa maarifa, ujuzi na kuwapati taarifa za soko la ajira.
2. kuwaunganisha wajasiriamali na kuwajengea ujuzi na uwezo wa kutumia mifumo ya kidigiti ili wakuze baishara zao 

Mkurugenzi wa Elimika Wikiendi <a href="/massawejk/">James Massawe</a>
#ElimikaWikiendi (@elimikawikiendi) 's Twitter Profile Photo

"Mara nyingi napenda kununua biashara mtandaoni, kwa wajasariamali nipende kuwashauri kumhudumia mteja vizuri awe sehemu ya biashara na aipende" - Shadya Maulid #NIKONEKT

"Mara nyingi napenda kununua biashara mtandaoni, kwa wajasariamali nipende kuwashauri kumhudumia mteja vizuri awe sehemu ya biashara na aipende" - 

Shadya Maulid 
#NIKONEKT
#ElimikaWikiendi (@elimikawikiendi) 's Twitter Profile Photo

Kwa wajasiliamali huhitaji kuwa na simu yenye uwezo mkubwa kutengeneza maudhui bora, kitu kikubwa ni maneno unayozungumza na kuandika - GetrudeM #NIKONEKT

Kwa wajasiliamali huhitaji kuwa na simu yenye uwezo mkubwa kutengeneza maudhui bora, kitu kikubwa ni maneno unayozungumza na kuandika - <a href="/GetrudeMligo/">GetrudeM</a> 

#NIKONEKT
#ElimikaWikiendi (@elimikawikiendi) 's Twitter Profile Photo

Kongole kwa vijana wote walioshiriki warsha ya #NIKONEKT tuliyoiandaa kwa kushirikiana na TAYOBECO Tanzania Elimika Wikiendi itaendelea kuandaa majukwaa haya ya kuwajengea vijana ujuzi na maarifa ya karne ya 21.

Kongole kwa vijana wote walioshiriki warsha ya #NIKONEKT tuliyoiandaa kwa kushirikiana na <a href="/tayobeco/">TAYOBECO Tanzania</a> 

Elimika Wikiendi itaendelea kuandaa majukwaa haya ya kuwajengea vijana ujuzi na maarifa ya karne ya 21.
James Massawe (@massawejk) 's Twitter Profile Photo

Baada ya miaka 7 ya kujifunza kwa juhudi na bidii katika kazi huku nikimtanguliza Mungu na kuweka nidhamu ya usikivu mkubwa, jana nilisimama kwa mara nyingine mbele ya hadhara ya vijana wenzangu. Safari hii ilikuwa tofauti sana, kwani nilisimama kuwakilisha taasisi.

Baada ya miaka 7 ya kujifunza kwa juhudi na bidii katika kazi huku nikimtanguliza Mungu na kuweka nidhamu ya usikivu mkubwa, jana nilisimama kwa mara nyingine mbele ya hadhara ya vijana wenzangu.

Safari hii ilikuwa tofauti sana, kwani nilisimama kuwakilisha taasisi.