diva (@divathebawse) 's Twitter Profile
diva

@divathebawse

Award winning media personality
relationship expect
radio host/ reality tv star/ brand strategist

ID: 1701869447227580416

calendar_today13-09-2023 08:04:45

48 Tweet

128 Followers

241 Following

Divatheebawse (@divatheebawse) 's Twitter Profile Photo

Mwenyezi Mungu Kupanda tena Mimi Boat Basi Jaman siamin tumefika salama Yale Mawimbi Upepo mkali baharini Mungu wetu Asante. kukiwa na hali Ya hewa Mbaya Kiasi hiki tunaomba muwe ata mnaahirisha safari tutauwana Jaman this is very sad

Taivina James (@thereal_taivina) 's Twitter Profile Photo

Msiwe watu wa kupuuzia hisia zenu sometimes zina maana kubwa. Baada ya kuona video ya Sativa akihojiwa na kudai alikuwa Oysterbay nikakumbuka Jumatatu nilipelekwa na gari ya millardayo Oysterbay nikakutana na Brother Patrick baada ya kupata majibu yasiyo na matumaini

Msiwe watu wa kupuuzia hisia zenu sometimes zina maana kubwa.
Baada ya kuona video ya Sativa akihojiwa na kudai alikuwa Oysterbay nikakumbuka Jumatatu nilipelekwa na gari ya <a href="/millardayo/">millardayo</a> Oysterbay  nikakutana na Brother Patrick baada ya kupata majibu yasiyo na matumaini
𝑳𝑼𝑻𝑯𝑬𝑹 18 (@amaryamary9) 's Twitter Profile Photo

HII WANAIITA LAANA YA CARL PRUITT. Mwaka 1938 wakati Carl anarejea nyumbani huko Pulaski, Kentucky US kutoka mihangaikoni akitarajia kumkuta mkewe jikoni akipika kama ilivyokuwa kawaida yake. Siku hiyo mambo yalikua tofauti kwani alimkuta mkewe chumbani akiwa na mwanaume

HII WANAIITA LAANA YA CARL PRUITT.

Mwaka 1938 wakati Carl anarejea nyumbani huko Pulaski, Kentucky US kutoka mihangaikoni akitarajia kumkuta mkewe jikoni akipika kama ilivyokuwa kawaida yake.

Siku hiyo mambo yalikua tofauti kwani alimkuta mkewe chumbani akiwa na mwanaume
Boniface Jacob (@exmayorubungo) 's Twitter Profile Photo

KWANINI EDGER EDSON MWAKABELA (SATIVA ) ALIPELEKWA KUUWAWA MSITU WA HIFADHI YA TAIFA YA KATAVI? Mwaka huu 2024 pekee yake binafsi nime’ ripoti taarifa za watu zaidi ya 50 waliotekwa na kupotezwa kabisa. Hawa ni baadhi tu ya watu waliopotea kwa kutekwa na kisha taarifa zao

KWANINI EDGER EDSON MWAKABELA (SATIVA ) ALIPELEKWA KUUWAWA MSITU WA HIFADHI YA TAIFA YA KATAVI?

Mwaka huu 2024 pekee yake binafsi nime’ ripoti taarifa za watu zaidi ya 50 waliotekwa na kupotezwa kabisa.

Hawa ni baadhi tu ya watu waliopotea kwa kutekwa na kisha taarifa zao
Martin Maranja Masese (@iamartin_) 's Twitter Profile Photo

KUTEKWA, KUPOTEA, KUTESWA, KUPATIKANA KWA SATIVA. 💔 Maelezo yote yametoka katika kinywa cha Edgar Edson Mwakabela, SATIVA17 ambaye alitekwa jumapili 23.06.2024 Darces Salaam na kupatikana 27.06.2024 Katavi. Shughuli inaanza siku ya Jumapili, 23.06.2024, maeneo ya Ubungo.

KUTEKWA, KUPOTEA, KUTESWA, KUPATIKANA KWA SATIVA. 💔

Maelezo yote yametoka katika kinywa cha Edgar Edson Mwakabela, <a href="/Sativa255/">SATIVA17</a> ambaye alitekwa jumapili 23.06.2024 Darces Salaam na kupatikana 27.06.2024 Katavi.

Shughuli inaanza siku ya Jumapili, 23.06.2024, maeneo ya Ubungo.
#NIPENI_MAUA_YANGU💐 (@roma_mkatoliki) 's Twitter Profile Photo

Pengine tunaogopa kuchukua hatua kwasababu tunavyo vya kupoteza, tunahurumia watoto wetu na wazazi na familia zetu na kazi zetu tutavipoteza!! But kuna siku itafika hivyo vyote vitakuwa vimeshapotea vyenyewe automatically… watoto watakosa huduma bora za afya watapotea, wazazi

diva (@divathebawse) 's Twitter Profile Photo

akaunti hii inanichanganya wazee nimelog in kwa Gmail naona eti hii akaunti inatumia Gmail yangu nimechanganyikiwa bora hata ingekua ya kiume

InfinixMobileTZ (@infinixmobiletz) 's Twitter Profile Photo

Kariakoo Derby Simba SC wataonesha Ubaya Ubwela dhidi ya mtani Yanga SC, Mchezo utakaochezwa Kesho Uwanja wa Mkapa. Je, Simba Atafanikiwa kujitetea mbele ya Wananchi? Tabiri na Ushinde. 1. Follow InfinixMobileTZ 2. Weka Utabiri wako kwenye comment section na watag marafiki

Kariakoo Derby Simba SC wataonesha Ubaya Ubwela dhidi ya mtani Yanga SC, Mchezo utakaochezwa Kesho Uwanja wa Mkapa. 

Je, Simba Atafanikiwa kujitetea mbele ya Wananchi? Tabiri na Ushinde.

1. Follow <a href="/InfinixMobileTZ/">InfinixMobileTZ</a> 
2. Weka Utabiri wako kwenye comment section na watag marafiki