Cheetah de wise boe (@cheetah_musoma) 's Twitter Profile
Cheetah de wise boe

@cheetah_musoma

Pharmaceutical Technician

ID: 1202842158363029504

calendar_today06-12-2019 06:48:38

1,1K Tweet

1,1K Takipçi

7,7K Takip Edilen

Tanzania Leaks (@tanzanialeaks) 's Twitter Profile Photo

HATARI: Mpango wa kumpa sumu Lissu upo karibu sana au umeshafanyika. Lengo ni kumuondoa taratibu. Hizi ni taarifa za uhakika kwa asilimia 100. Fungeni na ombeni sana 😭 . #TanzaniaLeaks

HATARI: Mpango wa kumpa sumu Lissu upo karibu sana au umeshafanyika. Lengo ni kumuondoa taratibu. Hizi ni taarifa za uhakika kwa asilimia 100. Fungeni na ombeni sana 😭 . #TanzaniaLeaks
Tito Magoti (@titomagoti) 's Twitter Profile Photo

Mnataka kumuuwa Lissu kwa sumu? Ninajua jela chakula kinaandaliwa na watoa huduma waliodhinishwa. Hata kikitoka nyumbani kinapita mikononi mwa askari. Msitumie udhaifu huo kutia sumu. Ofcos, mmefanya mengi. Mna ujasiri wa kuua. Ila hii haitakuwa rahisi kwenu. #FreeTunduLissu

SATIVA17 (@sativa255) 's Twitter Profile Photo

SERIKALI YA IDI AMIMI MAMA wanataka kumuua TUNDU LISSU KWA SUMU. REPOST 500 DUNIA IJUE. #FreeTunduLissu #TUTAKUWEPO🫵🏾😎

SERIKALI YA IDI AMIMI MAMA wanataka kumuua TUNDU LISSU KWA SUMU.

REPOST 500 DUNIA IJUE.

#FreeTunduLissu 

#TUTAKUWEPO🫵🏾😎
KIDUKU (@tanzaniaonejezi) 's Twitter Profile Photo

TUNDU LISSU Mungu Akulinde Nasikia Wanataka Kukuua Kwa SUMU Hawatoweza Mungu Yuko Upande Wa HAKI. Walikupiga Risasi 16 September 7/2017/ Wamekupa ULEMAVU Wakudumu Hukukata TAMAA Yakuipigania TANZANIA Iliyo Bora Ukarudi Kwenye Mapambano Wamekupa Kesi Ya UHAINI Ambayo Adhabu Yake

TUNDU LISSU Mungu Akulinde Nasikia Wanataka Kukuua Kwa SUMU Hawatoweza Mungu Yuko Upande Wa HAKI. 

Walikupiga Risasi 16 September 7/2017/ Wamekupa ULEMAVU Wakudumu Hukukata TAMAA Yakuipigania TANZANIA Iliyo Bora Ukarudi Kwenye Mapambano Wamekupa Kesi Ya UHAINI Ambayo Adhabu Yake
Cheetah de wise boe (@cheetah_musoma) 's Twitter Profile Photo

Daaaaah! Watoto yatima wanapitia Magumu Sana nimeumia Sana kwa Taarifa nilizo pata ety mtoto kachukua mchele kidogo kaenda kuchezea mama wa kambo alipo Rudi kamchoma Mtoto mikono kwa Moto , Daaaaah!!! Hili limeniuma Sana wanawake ni watu makatili Sana 😭😭😭 Dr. Dorothy Gwajima

Cheetah de wise boe (@cheetah_musoma) 's Twitter Profile Photo

Sema hizi baiskel zinapitia Magumu Sana huku mtaani , ata mwezi bado haujaisha 😂😂😂😂 Any way Kodi zetu ndo zinanunua Wacha zipige kazi 🫵✌️

Sema hizi baiskel zinapitia Magumu Sana huku mtaani , ata mwezi bado haujaisha  😂😂😂😂 Any way Kodi zetu ndo zinanunua 
Wacha zipige kazi 🫵✌️
JAPHET MATARRA (@eng_matarra) 's Twitter Profile Photo

Naambiwa kijana SIR JEFF⚡🇹🇿 amekamatwa na Jeshi la Polisi akiwa Mafinga baada ya kutoka Kitulo, juzi usiku kalazwa kituoni Kilwa Road. Nasikia muda wowote anafikishwa KISUTU, kwa kesi ya kesi ya uhujumu uchumi.

MpembA (@iammpemba) 's Twitter Profile Photo

Unaweza kukutana na mijadala inayomuhusu Sir Jeff na kushindwa kupata picha nzima ya kinachoendelea Nimekusogezea matukio yanayoweza kukupa taswira nzima Video Thread

Unaweza kukutana na mijadala inayomuhusu Sir Jeff na kushindwa kupata picha nzima ya kinachoendelea
    Nimekusogezea matukio yanayoweza kukupa taswira nzima

Video Thread
SATIVA17 (@sativa255) 's Twitter Profile Photo

Unaweza hisi hapa ni CONGO ila hapana hapa ni UBUNGO - VIBAKA wamezingira kanisa. Wananchi ambao wamekusanyika kwa amani kuabudu wamezingirwa na siraha. Hiki ndio kisiwa cha amani. TUTAKUWEPO🫵😎

Mr Health💊💉 (@mkunga_og) 's Twitter Profile Photo

Mwanamke mwenye mzunguko wa siku 21 ambaye anaingia hedhi kwa siku 7... Siku yake ya hatari ya kubeba mimba inangukia siku ambayo bado yuko kwenye hedhi.... Inabidi akutane na mtu wake siku ya hedhi ili ashike Mimba... NB: Bila kujua hilo anaweza kumaliza waganga wote, na

Mwanamke mwenye mzunguko wa siku 21 ambaye anaingia hedhi kwa siku 7...

Siku yake ya hatari ya kubeba mimba inangukia siku ambayo bado yuko kwenye hedhi....

Inabidi akutane na mtu wake siku ya hedhi ili ashike Mimba...

NB: Bila kujua hilo anaweza kumaliza waganga wote, na
Cheetah de wise boe (@cheetah_musoma) 's Twitter Profile Photo

🫵Kijana mwenye umri 27-30 na bado upo single fanya mchakato wa kuoa ,/kuolewa Coz Watoto wako Wataanza la kwanza ww ukiwa na miak 38 watahitimu la 7 ukiwa na miaka 45 form 4 ukiwa na miaka 49 chuo ukiwa na 54 hapo kama mkeo atapata mimba mapema Tupo nje ya wakat.✌️😎🤏 #NRNE

John Nguti Chadema (@johnnguticdm) 's Twitter Profile Photo

Hiki kitendo cha huyu Kibaraka wa CCM kumfokea Mhe. Lissu Mahakamani kimenitia HASIRA sana... Mwenye taarifa za huyu jamaa aweke hapa tukamsalimie...!!!

Hiki kitendo cha huyu Kibaraka wa CCM kumfokea Mhe. Lissu Mahakamani kimenitia HASIRA sana... Mwenye taarifa za huyu jamaa aweke hapa tukamsalimie...!!!
SIR JEFF⚡🇹🇿 (@sirjeff_d) 's Twitter Profile Photo

Waajiri na ma-HR, Acheni kufanya usaili/interview ikiwa tayari mnajua nani anapata kazi Waungwana wengi; -Hukopa nauli kufika kwenye usaili -Huazima nguo kuvaa siku ya usaili -Hulala njaa kutunza hela ya chakula siku ya usaili -Hufunga na kukesha wakisali Kuweni na UTU basi!

SATIVA17 (@sativa255) 's Twitter Profile Photo

🚨TAARIFA YA UTEKAJI.🚨 Boss kuna ndugu yangu ametekwa siku ya alhamisi tarehe 31--7--2025 majira ya saa sita na dakika 20+ Mkoa wa IRINGA Maeneo ya MASHINE TATU NG'AMBO CAFE MOJA INAITWA TWIGA. Ilikuja gari aina ya TOYOTA CROWN NYEUPE walishuka maaskari wawili na na kwenye

🚨TAARIFA YA UTEKAJI.🚨

Boss kuna ndugu yangu ametekwa siku ya alhamisi tarehe 31--7--2025 majira ya saa sita na dakika 20+ Mkoa wa IRINGA Maeneo ya MASHINE TATU  NG'AMBO CAFE MOJA INAITWA TWIGA.

Ilikuja gari aina ya TOYOTA CROWN NYEUPE walishuka maaskari wawili na na kwenye
Cheetah de wise boe (@cheetah_musoma) 's Twitter Profile Photo

Wanangu wa Kigamboni Kona ya Chuo, Jioni Ni mida ya kwenda Muembe mdogo kwa Mpemba tukapate chochote kitu 1000/= tu, inatosha unatoka apo umeshiba 🫵 Paul Bonaventure 🤣🤣🤣🤣🤣

Wanangu wa Kigamboni Kona ya Chuo,
 Jioni Ni mida ya kwenda Muembe mdogo kwa Mpemba  tukapate chochote kitu 
1000/=  tu, inatosha unatoka apo umeshiba 🫵 <a href="/Phbhimself/">Paul Bonaventure</a> 🤣🤣🤣🤣🤣
Cheetah de wise boe (@cheetah_musoma) 's Twitter Profile Photo

Ety wadau mnasemaje kuhusu hili??? Au tunahitaji KATIBA MPYA?? Tudai Reform Kwanza ili turekebishe KATIBA yetu hiii si Sawa kabisa #NoReformNoElection. 🫵 Taivina James SATIVA17. TUTAKUWEPO 🫵😎🤏

Ety wadau  mnasemaje kuhusu hili??? Au tunahitaji KATIBA MPYA?? Tudai Reform Kwanza ili turekebishe KATIBA yetu hiii  si Sawa kabisa #NoReformNoElection. 🫵 <a href="/Thereal_taivina/">Taivina James</a>
<a href="/Sativa255/">SATIVA17</a>. TUTAKUWEPO 🫵😎🤏