✝️ Blessedgenius 🌐(@Blessedgeniuss) 's Twitter Profile Photo

Et anadai huwez kua na MKE mmoja,Hizo ni akili za kubalehe,kukosa higher purpose maishani,, Muhammad mwenyewe aliyewepa sheria ya wake nne ,yeye mwenyewe ilimshinda alioa wake 9 na zaid🤣🤣,,
Ndio mana antibiotics resistance iko juu 56%,,na ukimwi unaendelea kutesa,
NJOO KWA YESU

Et anadai huwez kua na MKE mmoja,Hizo ni akili za kubalehe,kukosa higher purpose maishani,, Muhammad mwenyewe aliyewepa sheria ya wake nne ,yeye mwenyewe ilimshinda alioa wake 9 na zaid🤣🤣,,
Ndio mana antibiotics resistance iko juu 56%,,na ukimwi unaendelea kutesa,
NJOO KWA YESU
account_circle
✝️ Blessedgenius 🌐(@Blessedgeniuss) 's Twitter Profile Photo

Kwanza naamin yes wapo wafuasi wengi tu egw wanaomcha MUNGU kwa moyo wote kabisa,, naa hawajui kua egw ni false prophet,

Pili wapo wanaonua egw ni mabumashi,lakin wanamshikikia kwa level ya juu kabisa ya authority(infallible interpreter of bible) and a prophet ,hawa. Wamepotea

account_circle
Dson..on the track(@dsonthegm) 's Twitter Profile Photo

✝️ Blessedgenius 🌐 Hao uliomalizia kuwaeleza wanaumwa hata EGW akifufuka Sasa Hivi atawaambia they belong to the Hell kama Sio Kwa shetani

Ebu nitajie sababu Kwa Nini Ellen G WHITE ni false Prophet naomba sababu zozote za ndani na nje ya Maandiko usijali nani anamwamin na nani hamwamini just tell

account_circle
✝️ Blessedgenius 🌐(@Blessedgeniuss) 's Twitter Profile Photo

Hata wapagan wanatabiri biblia yasema,,
Wewe unayemwani nabii WAKO ndio unatakiwa uthibitishe, kama huwezi haina shida,😁✊

account_circle
✝️ Blessedgenius 🌐(@Blessedgeniuss) 's Twitter Profile Photo

KUUWAWA KWA KIWANGO CHA JUU SANA, NI KIPINDI CHA EMPERO DIOCLETIAN, HII INAJULIKA KIHISTORIA ,,MIAKA YA 300AD, KANISA limekua persecuted TANGU mwanzo kabisa ,wewe unaongelea 560 juzi happ✊😁. Hivi hamsomi historia au kukaririshwa

account_circle
✝️ Blessedgenius 🌐(@Blessedgeniuss) 's Twitter Profile Photo

Ni sawa mtu aje akuambie Joseph Smith ni nabii wa KWELI ,, badala ya kathibitisha claim yake,,unamwambia thibitisha kwamba sio nabiii, si unaona haiji

account_circle
✝️ Blessedgenius 🌐(@Blessedgeniuss) 's Twitter Profile Photo

Biblia inasema hivyo ,, wewe ndio unatakiwa uwe makini unadhani mtu akitabir vitu kadhaa akapatia kwa kugues gues au kwa ROHO chafu ,basi ni nabiii, mtego kwenu huo😁

account_circle
✝️ Blessedgenius 🌐(@Blessedgeniuss) 's Twitter Profile Photo

Ndio mana nikasema mko nyie wasabato ambao kiroho safi ,kuna wengine tabu tupu,,

🤣🤣.wewe ndio msabato wa kwanza ambaye ROMA SIO ADUI AKO MKUU, labda hujazama kwa MAANDIKO ya dada white

account_circle
Son of God(@EliabuDanford) 's Twitter Profile Photo

Umeelewa nilichoandika?? Nimemanisha mtoto alizaliwa na Maria ambaye anawakilisha Israeli. Biblia haijamzungumzia Maria kama Maria bali Israeli ambaye kupitia Maria imezaa mtoto. Kwq sababu mwanamke anayeza ana jua na mwezi na nyota 13 si Maria.

account_circle