BajabirLogistics (@bajabirlogistic) 's Twitter Profile
BajabirLogistics

@bajabirlogistic

Welcome
Bajabir Inter trade Limited (Transport Agency)
Wasafirishaji wa mzigo kwa Usalama na haraka sana.
+255(0)672808100 Call/ (WhatsApp)

ID: 954957686172471296

calendar_today21-01-2018 06:03:49

2,2K Tweet

5,5K Followers

2,2K Following

Adinani Mussa (@adinanimussatz) 's Twitter Profile Photo

Tunayo furaha kumtambulisha mzungumzaji wetu wa kwanza kwenye #NIKONEKT, Bw. Michael Marwa kutoka Sema Tanzania. Michael ni mshauri wa soko la ajira mwenye uzoefu wa zaidi ya miaka 10.

Tunayo furaha kumtambulisha mzungumzaji wetu wa kwanza kwenye #NIKONEKT, Bw. <a href="/Kehongoh_Marwa/">Michael Marwa</a> kutoka <a href="/SemaTanzania/">Sema Tanzania</a>.

Michael ni mshauri wa soko la ajira mwenye uzoefu wa zaidi ya miaka 10.
#ElimikaWikiendi (@elimikawikiendi) 's Twitter Profile Photo

Fani yake ni mwalimu, msomi mwenye uzoefu wa zaidi ya miaka 15 kwenye kada ya ualimu. Kutoka kuuza maziwa mtandaoni hadi kuwa balozi wa kampuni kubwa nchini. Ndiye mwanzilishi wa BajabirLogistics. 𝗝𝗮𝗯𝗶𝗿 𝗝𝗮𝗯𝗶𝗿 atazungumza kwenye #NIKONEKT.

Fani yake ni mwalimu, msomi mwenye uzoefu wa zaidi ya miaka 15 kwenye kada ya ualimu.

Kutoka kuuza maziwa mtandaoni hadi kuwa balozi wa kampuni kubwa nchini. Ndiye mwanzilishi wa <a href="/BajabirLogistic/">BajabirLogistics</a>.

𝗝𝗮𝗯𝗶𝗿 𝗝𝗮𝗯𝗶𝗿 atazungumza kwenye #NIKONEKT.
Mbundi John (@johnmbundi) 's Twitter Profile Photo

Mwanzilishi wa BajabirLogistics, Moyo wa TAIFA ™️ naye pia atakua miongoni mwa wazungumzaji wetu kwenye warsha ya #NIKONEKT. Kama bado hujapata tiketi yako muda ndio huu, usikae mbali na fursa njoo utengeneze koneksheni. Gharama ya tiketi ni Tsh 20,000/= tu!

Mwanzilishi wa <a href="/BajabirLogistic/">BajabirLogistics</a>, <a href="/bajabiri/">Moyo wa TAIFA ™️</a> naye pia atakua miongoni mwa wazungumzaji wetu kwenye warsha ya #NIKONEKT.

Kama bado hujapata tiketi yako muda ndio huu, usikae mbali na fursa njoo utengeneze koneksheni.

Gharama ya tiketi ni Tsh 20,000/= tu!
winharder_ (@winharder_) 's Twitter Profile Photo

Mkurugenzi BajabirLogistics bwana Moyo wa TAIFA ™️ naye atazungumza kwa kina na vijana kwenye #NIKONEKT kuhusu “Personal branding” na kupata michongo. Mdau hakikisha hukosi hii. Gharama ya tiketi ni 20,000/= Tupigie 0694 490 578

Mkurugenzi <a href="/BajabirLogistic/">BajabirLogistics</a> bwana <a href="/bajabiri/">Moyo wa TAIFA ™️</a> naye atazungumza kwa kina na vijana kwenye  #NIKONEKT kuhusu “Personal branding” na kupata michongo.

Mdau hakikisha hukosi hii.
Gharama ya tiketi ni 20,000/=
Tupigie 0694 490 578
BajabirLogistics (@bajabirlogistic) 's Twitter Profile Photo

#FreedomComputersLtd Mmoja wa wateja wetu wakubwa kabisa...kwa uaminifu mkubwa walitukabidhi Laptops 💻 zaidi ya 100 na kuzisafirisha kwenda Kaskazini. Tumia #BajabirLogistics upate huduma bora ya kusafirishiwa mizigo yako kwa haraka sana. ☎️0653487816

#FreedomComputersLtd

Mmoja wa wateja wetu wakubwa kabisa...kwa uaminifu mkubwa walitukabidhi Laptops 💻 zaidi ya 100 na kuzisafirisha kwenda Kaskazini.

Tumia #BajabirLogistics upate huduma bora ya kusafirishiwa mizigo yako kwa haraka sana.
☎️0653487816
BajabirLogistics (@bajabirlogistic) 's Twitter Profile Photo

Heri ya kuzaliwa Kipepe. Tunatumia siku hii kukukumbusha kuwa tunakudai malimbikizo ya kukusafirishia CVs zako. Kumbuka kulipa deni letu kabla hujasheherekea Birthday nyingine

BajabirLogistics (@bajabirlogistic) 's Twitter Profile Photo

Basi tukafata mkumbo wa Jobless KIPEPE 💊 kwa kuimba "huu mwaka wa kufosi" kuja kutahamaki tumeingia kwenye "VAT GANG" KIRANGA ,KOMO. #BajabirLogistics

Basi tukafata mkumbo wa Jobless <a href="/kipepe123/">KIPEPE 💊</a>  kwa kuimba "huu mwaka wa kufosi" kuja kutahamaki tumeingia kwenye "VAT GANG"

KIRANGA ,KOMO.

#BajabirLogistics
BajabirLogistics (@bajabirlogistic) 's Twitter Profile Photo

#BajabirLogistics. Tunafanya kazi na taasisi/mashirika/idara za serikali/makampuni na watu binafsi kwa njia ya Credit. Tuna issue EFD Receipts with VAT. Tupo Kinondoni kwa Pinda. Mzigo ulipo tunaufata na kuupakia. ☎️0654487816

#BajabirLogistics.

Tunafanya kazi na taasisi/mashirika/idara za serikali/makampuni na watu binafsi kwa njia ya Credit.

Tuna issue EFD Receipts with VAT.

Tupo Kinondoni  kwa Pinda.

Mzigo ulipo tunaufata na kuupakia.

☎️0654487816