
Adv. Dickson Matata
@advmatata
advocate/ lawyer
ID: 1415666616348512261
15-07-2021 13:36:56
295 Tweet
22,22K Takipçi
103 Takip Edilen






Nitoe wito kwa uongozi na mamlaka za uwanja wa ndege wa kimataifa wa JK Nyerere -Dar es Salaam kumwachia mwangalizi wa kimataifa toka Kenya Martha Karua SC ambaye wanaye tangu usiku wa kuamkia leo. Mh. Martha amekuja kuhudhuria kesi ya Tundu Lissu kesho.














