Elizabeth Achilles Ndyalusa (@achylizzy) 's Twitter Profile
Elizabeth Achilles Ndyalusa

@achylizzy

Brings to the team a fresh perspective that is centred on people. She is a change-maker at heart. 👩🏾‍💼💜

ID: 843815431630704640

calendar_today20-03-2017 13:24:11

530 Tweet

189 Takipçi

82 Takip Edilen

Jamii Forums (@jamiiforums) 's Twitter Profile Photo

UGONJWA WA LUPUS: Siku ya Lupus Duniani iliasisiwa na Lupus Canada ambalo ni Shirikisho la Wagonjwa Wanaoishi na Ugonjwa wa Lupus Nchini #Canada Mwaka 2004, na huadhimishwa kila tarehe 10 Mei kila mwaka huku Mei ukitumika kama Mwezi wa kutoa Elimu juu ya ugonjwa huo

Jamii Forums (@jamiiforums) 's Twitter Profile Photo

Nchini #Tanzania Siku ya Lupus Duniani ilianza kuadhimishwa Mwaka 2021 na maadhimisho haya yalifanyika katika Chuo Kikuu Cha Afya Muhimbili (#MUHAS) kwa miaka miwili ya awali, maadhimisho ya Mwaka 2023 yamefanyika katika Hospitali ya Taifa Muhimbili #LupusAwareness #LupusMonth

Jamii Forums (@jamiiforums) 's Twitter Profile Photo

Lupus Warriors Tanzania, Chuo Kikuu Cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS), Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) na JamiiForums wameandaa Mjadala na Wataalamu kupitia TwitterSpace kuhusu Ugonjwa huo, Mei 31, 2023, kuanzia Saa 12 Jioni hadi Saa 2 Usiku #LupusAwareness

Jamii Forums (@jamiiforums) 's Twitter Profile Photo

DKT. FRANCIS FURIA (Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Figo na Rheumatism MNH na Profesa wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili): Lupus ni ugonjwa unaoathiri viungo vya mwili kutokana na mashambulizi ya mfumo wa kinga ya mwili kwa viungo ikiwemo, hali hiyo inasababisha

Jamii Forums (@jamiiforums) 's Twitter Profile Photo

DKT. ANGELA MIGOWA (Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Watoto ya Rheumatism kutoka Hospitali ya Aga Khan, Nairobi - Kenya): Kinga ya mwili inatakiwa kukinga na uchafu tofauti, lakini Lupus inapoingia inachanganyana na uchafu mwingine mwilini Baadhi ya dalili ni nywele kunyonyoka,

Elizabeth Achilles Ndyalusa (@achylizzy) 's Twitter Profile Photo

Even though Lupus Awareness Month has come to an end, our fight against Lupus continues every day. Together, let's keep spreading awareness, advocating for better treatments, and supporting each other on this journey. #LupusAwarenessMonth #lupusawareness Lupus Warriors Tanzania

Elizabeth Achilles Ndyalusa (@achylizzy) 's Twitter Profile Photo

This month, we shed light on their journey, challenges, and resilience. Together, let's support, educate, and advocate for a better future. #LetsTalkLupus 💪💜

Sharifa 🇹🇿 (@sharifambarak1) 's Twitter Profile Photo

Ahsante sana Balozi Togolani Mavura kwa jitihada kubwa unazofanya juu ya kubadilisha mustakabali wa waishio na #MagonjwaAdimu Unaendelea kuwainua na kuwapigania kina Ali na wenziwe. Thank you

Elizabeth Achilles Ndyalusa (@achylizzy) 's Twitter Profile Photo

I extend my heartfelt appreciation for being featured in #MeetTheFellowWednedday and for all the positive feedback I have received. It encourages me to continue working hard and striving for positive change. I am honored to be part of the #EAEPIAPCohort4…lnkd.in/e3Gumxak

Richard Mabala (@mabalamakengeza) 's Twitter Profile Photo

Kumbusu Yakuhusu Nini? Picha kuisambaza Na sauti kupaza Ni tendo la kilaza Kumbusu Yakuhusu Nini? Na watoaji povu Kwa kweli ni wachovu Kumbusu si utovu Kumbusu Yakuhusu Nini?

Francis Furia (@furia_francis) 's Twitter Profile Photo

Unapofurahia moshi wa shisha, kumbuka unapovuta huo moshi kwa dakika sitini ni sawa na kuvuta sigara 100. …ukikaaa kwenye kijiwe cha shisha, kumbuka na wewe unavuta hata kama huna paipu mdomoni.. Second, third and fourth hand smoking!! Dr Mmbaga

Unapofurahia moshi wa shisha, kumbuka unapovuta huo moshi kwa dakika sitini ni sawa na kuvuta sigara 100.

…ukikaaa kwenye kijiwe cha shisha, kumbuka na wewe unavuta hata kama huna paipu mdomoni..

Second, third and fourth hand smoking!!

<a href="/ZakayoMmbaga/">Dr Mmbaga</a>
Martin Maranja Masese (@iamartin_) 's Twitter Profile Photo

Wait! Mtu MWEUSI angevaa pampasi, na sisi WEUSI tungetoka kulalamika Simba waombe radhi? WHITE huyo ni muigizaji, hakulazimishwa, alikuwa kazini katika utafutaji maokoto. TAS na LHRC mlitakaje? WHITE akose pesa ya mboga? Mnashindwa kulaani bandari zinauzwa, mnalalamika ujinga.

Wait! Mtu MWEUSI angevaa pampasi, na sisi WEUSI tungetoka kulalamika Simba waombe radhi? WHITE huyo ni muigizaji, hakulazimishwa, alikuwa kazini katika utafutaji maokoto. TAS na LHRC mlitakaje? WHITE akose pesa ya mboga? Mnashindwa kulaani bandari zinauzwa, mnalalamika ujinga.
Sharifa 🇹🇿 (@sharifambarak1) 's Twitter Profile Photo

Kwenye uzinduzi wa Miongozo ya Elimu Maalumu na Jumuishi. "Kama elimu inaweza patikana chini ya muembe kwanini isiwe na nyumbani" Balozi Togolani Mavura Togolani Mavura

Kwenye uzinduzi wa Miongozo ya Elimu Maalumu na Jumuishi.
"Kama elimu inaweza patikana chini ya muembe kwanini isiwe na nyumbani" Balozi Togolani Mavura
<a href="/tonytogolani/">Togolani Mavura</a>
Sharifa 🇹🇿 (@sharifambarak1) 's Twitter Profile Photo

Mheshimiwa Prof. Mkenda, wewe ni kati ya mashujaa uliewezesha watoto wote ambao hawakuweza kupata elimu kutokana na kushindwa kufika mashuleni, leo wanapata fursa sawa na wenzao wanaohidhuria shuleni. Ahsanteni wote pamoja na watumishi wote wa wizara.