UFM Radio(@ufmradiotz) 's Twitter Profileg
UFM Radio

@ufmradiotz

Welcome to the leading Radio Station #AzamUFM | Part of Azam Media Ltd/Bakhresa Group | 107.3 DSM, 101.7 Dodoma, 96.5 Arusha, 98.7 Shinyanga | #SisiNiWewe

ID:1005798608480940032

linkhttps://ufmradio.co.tz calendar_today10-06-2018 13:07:29

9,2K Tweets

13,7K Followers

201 Following

UFM Radio(@ufmradiotz) 's Twitter Profile Photo

Watu 11 wakiwemo raia watatu wa kigeni wamekufa na wawili kujeruhiwa baada ya mtambo wa kuzalisha mvuke katika kiwanda cha sukari cha Mtibwa mkoani Morogoro kupata hitilafu.

Watu 11 wakiwemo raia watatu wa kigeni wamekufa na wawili kujeruhiwa baada ya mtambo wa kuzalisha mvuke katika kiwanda cha sukari cha Mtibwa mkoani Morogoro kupata hitilafu.
account_circle
UFM Radio(@ufmradiotz) 's Twitter Profile Photo

Tutumie maoni yako nasi tutayasoma kupitia kipindi cha Mtaa 107 itakapofika saa 8:00 hadi 10:00 jioni ukiwa na @iam_rehemakhalifa Timothy Chelula na kwenye moja na mbili ni @dj_dwhite1

Zaidi @azamtvburudani Azam TV

Tutumie maoni yako nasi tutayasoma kupitia kipindi cha Mtaa 107 itakapofika saa 8:00 hadi 10:00 jioni ukiwa na @iam_rehemakhalifa @timothychelula na kwenye moja na mbili ni @dj_dwhite1 #UFMBurudaniZaidi #Mtaa107 #UFMBurudani #SisiNiWewe @azamtvburudani @azamtvtz
account_circle
UFM Radio(@ufmradiotz) 's Twitter Profile Photo

Tutumie maoni yako nasi tutayasoma kupitia kipindi cha Mtaa 107 itakapofika saa 8:00 hadi 10:00 jioni ukiwa na @iam_rehemakhalifa Timothy Chelula na kwenye moja na mbili ni @dj_dwhite1

Zaidi @azamtvburudani Azam TV

Tutumie maoni yako nasi tutayasoma kupitia kipindi cha Mtaa 107 itakapofika saa 8:00 hadi 10:00 jioni ukiwa na @iam_rehemakhalifa @timothychelula na kwenye moja na mbili ni @dj_dwhite1 #UFMBurudaniZaidi #Mtaa107 #UFMBurudani #SisiNiWewe @azamtvburudani @azamtvtz
account_circle
UFM Radio(@ufmradiotz) 's Twitter Profile Photo

Jumapili hii katika kipindi cha kinachoruka hapa UFM Radio kuanzia saa 8:00 mchana hadi 9:00 alasiri kwenye kipengele cha tutakuwa na Bondia, Alphonce Mchumiatumbo.

MVULA Jr

Jumapili hii katika kipindi cha #Vitasa kinachoruka hapa @ufmradiotz kuanzia saa 8:00 mchana hadi 9:00 alasiri kwenye kipengele cha #FaceOff tutakuwa na Bondia, Alphonce Mchumiatumbo. #Vitasa #SisiNiWewe #UFMUpdates @mvula_jr
account_circle
UFM Radio(@ufmradiotz) 's Twitter Profile Photo

Jumamosi hii kwenye kipindi cha kinachoruka hapa UFM Radio kuanzia saa 8:00 mchana hadi 9:00 alasiri tutakuwa na Mshambuliaji wa zamani wa Polisi Tanzania, Gerald Mathias Mdamu ambaye mwaka 2021 alivunjika miguu yake miwili kwenye ajali ya gari.

Jumamosi hii kwenye kipindi cha #MwanamichezoWetu kinachoruka hapa @ufmradiotz kuanzia saa 8:00 mchana hadi 9:00 alasiri tutakuwa na Mshambuliaji wa zamani wa Polisi Tanzania, Gerald Mathias Mdamu ambaye mwaka 2021 alivunjika miguu yake miwili kwenye ajali ya gari. #SisiNiWewe
account_circle
UFM Radio(@ufmradiotz) 's Twitter Profile Photo

Jumapili hii kwenye kipindi cha kinachoruka hapa UFM Radio kuanzia saa 8:00 mchana hadi saa 9:00 alasiri kwenye kipengele cha tutakuwa na Mtangazaji kinara wa mchezo wa ngumi kutoka Azam TV, @patrick_nyembera .

Jumapili hii kwenye kipindi cha #Vitasa kinachoruka hapa @ufmradiotz kuanzia saa 8:00 mchana hadi saa 9:00 alasiri kwenye kipengele cha #FaceOff tutakuwa na Mtangazaji kinara wa mchezo wa ngumi kutoka Azam TV, @patrick_nyembera . #UFMUpdates #Vitasa #SisiNiWewe
account_circle