Dr. Abdullah Hasnuu Makame(@dr_makame) 's Twitter Profileg
Dr. Abdullah Hasnuu Makame

@dr_makame

Husband, Dad, Academia, Analyst: Member of East African Legislative Assembly (EALA) . MTAMO
Instagram @abdullahmakame

ID:918094854378356736

linkhttp://https.www.eac.int calendar_today11-10-2017 12:44:05

31,8K Tweet

21,3K Takipçi

284 Takip Edilen

Abdullah Mwinyi(@Dullahmwinyi1) 's Twitter Profile Photo

Kuna tatizo kubwa sana na mtandao wa Vodacom Tanzania jana usiku saa nne nimenunua Data ya mwezi for 50,000, leo saa tano asubuhi nimetumiwa ujumbe imekwisha, wakati nimelala. Hili tatizo TCRA_TANZANIA walitazame. Huu ni wizi mkubwa. Sijui watumiaji wangapi wanapata hii kadhia.

account_circle
Dr. Abdullah Hasnuu Makame(@dr_makame) 's Twitter Profile Photo



Mama Brigitte Macrone, Mke wa Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron amenukuliwa na vyanzo mbalimbali akielezea wasiwasi wake kuhusu MWANAFUNZI anayevaa Hijabu aliyetabulishwa kwa jina moja tu SALWA kwamba vazi hilo LITAWATIA HOFU NA UWOGA kwa kuwatisha wanafunzi wenzake

#HIJAB Mama @BrigitteMacrone, Mke wa Rais wa Ufaransa @EmmanuelMacron amenukuliwa na vyanzo mbalimbali akielezea wasiwasi wake kuhusu MWANAFUNZI anayevaa Hijabu aliyetabulishwa kwa jina moja tu SALWA kwamba vazi hilo LITAWATIA HOFU NA UWOGA kwa kuwatisha wanafunzi wenzake
account_circle
Dr. Abdullah Hasnuu Makame(@dr_makame) 's Twitter Profile Photo



Emmanuel Macron aliyezaliwa 21.12.1977 ni mume wa Brigitte Macrone aliyezaliwa 13.4.1953 - Baba wa Familia ya watoto 3 SEBASTIEN (1975), LAURENCE (1977) na TIPHANIE (1984). Macron ni wa pili kwa udogo wa umri katika familia yake.

PICHANI - Emmanuel na Brigitte

#MJUE_MACRON @EmmanuelMacron aliyezaliwa 21.12.1977 ni mume wa @BrigitteMacrone aliyezaliwa 13.4.1953 - Baba wa Familia ya watoto 3 SEBASTIEN (1975), LAURENCE (1977) na TIPHANIE (1984). Macron ni wa pili kwa udogo wa umri katika familia yake. PICHANI - Emmanuel na Brigitte
account_circle
𝗔𝗯𝗲𝗿𝘁𝘂𝘀 𝗣𝗮𝘀𝗰𝗵𝗮𝗹, 𝗔.🇹🇿𝕏(@rutaraka) 's Twitter Profile Photo

📍Dar es Salaam

🇹🇿🇨🇦
Waziri wa Maendeleo wa Kanada, Mhe. Ahmed Hussen amewasili nchini kwa ziara ya siku mbili. Hatua hii ni dalili nzuri ya uhusiano mathubuti uliopo baina ya nchi mbili hasa katika kuchochea maendeleo endelevu.

📍Dar es Salaam 🇹🇿🇨🇦 Waziri wa Maendeleo wa Kanada, Mhe. @HonAhmedHussen amewasili nchini kwa ziara ya siku mbili. Hatua hii ni dalili nzuri ya uhusiano mathubuti uliopo baina ya nchi mbili hasa katika kuchochea maendeleo endelevu. #tanzaniacanadarelations
account_circle
Haki Ngowi(@Hakingowi) 's Twitter Profile Photo

📍Paris

VIDEO:

🇹🇿🇫🇷

Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan, Kinara wa Nishati Safi ya Kupikia Afrika, akishiriki Mkutano wa Kwanza unaohusu Nishati katika ukumbi wa Makao Makuu ya UNESCO jijini Paris, nchini Ufaransa leo tarehe 14 Mei, 2024.



📹:IKULU

account_circle
Dr. Abdullah Hasnuu Makame(@dr_makame) 's Twitter Profile Photo



Kila siku ni siku ya akina Mama, leo tunawadhimisha akina Mama duniani. Tunachukua fursa hii kuwatakia kila la heri, baraka, furaha na mafanikio akina Nama wote. Aidha, tunawapongeza akina Baba kwa majukumu yao ya kuwezesha Umama

#Siku_ya_akina_Mama Kila siku ni siku ya akina Mama, leo tunawadhimisha akina Mama duniani. Tunachukua fursa hii kuwatakia kila la heri, baraka, furaha na mafanikio akina Nama wote. Aidha, tunawapongeza akina Baba kwa majukumu yao ya kuwezesha Umama
account_circle
𝐁𝐀𝐃𝐑𝐔 𝐉𝐔𝐌𝐀 𝐑𝐀𝐉𝐀𝐁𝐔(@badrujumah) 's Twitter Profile Photo

Napenda kutumia fursa hii kuishukuru Bodi ya Uratibu wa Mashirika yasiyo ya kiserikali chini ya wizara ya WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII Kwa kuniteua kua Mjumbe wa kamati ya Mpito ya kuratibu Uchaguzi wa Baraza la Taifa la Mashirika yasiyo ya kiserikali National Council Of NGOs Tanzania .

Napenda kutumia fursa hii kuishukuru Bodi ya Uratibu wa Mashirika yasiyo ya kiserikali chini ya wizara ya @maendeleoyajami Kwa kuniteua kua Mjumbe wa kamati ya Mpito ya kuratibu Uchaguzi wa Baraza la Taifa la Mashirika yasiyo ya kiserikali @nacongotz .
account_circle
Haki Ngowi(@Hakingowi) 's Twitter Profile Photo

📍Dodoma

Waziri wa Fedha , Dkt Mwigulu Nchemba akionyesha ishara ya Unyeyekevu kwa Mwenyekiti wa Chama Cha Wabunge cha kutokomeza Malaria Tanzania-TAPAMA na Mbunge wa Viti Maalim,Riziko Lulida mara baada ya kuwasili ofisini kwake jijini Dodoma Leo

📍Dodoma Waziri wa Fedha , Dkt Mwigulu Nchemba akionyesha ishara ya Unyeyekevu kwa Mwenyekiti wa Chama Cha Wabunge cha kutokomeza Malaria Tanzania-TAPAMA na Mbunge wa Viti Maalim,Riziko Lulida mara baada ya kuwasili ofisini kwake jijini Dodoma Leo
account_circle
Morbid Knowledge(@Morbidful) 's Twitter Profile Photo

On December 23, 2023, 45-year-old Amanda Richmond Rogers jumped into a frigid river in Alaska to try to save her dog, Groot, who had fallen in.

Unfortunately, she never resurfaced from the water, and rescuers were unable to locate her.

In late March 2024, four months after she

On December 23, 2023, 45-year-old Amanda Richmond Rogers jumped into a frigid river in Alaska to try to save her dog, Groot, who had fallen in. Unfortunately, she never resurfaced from the water, and rescuers were unable to locate her. In late March 2024, four months after she
account_circle
EastAfricaTV(@eastafricatv) 's Twitter Profile Photo

'Nimuulize Waziri (Prof Mkenda) mimi mtoto wangu anatakiwa kupata degree kwa miaka minne ameishia miaka miwili, nimekosa hela ameshindwa amerudi nyumbani huyu tunamwitaje?, kwanini asipewe nusu degree kwa sababu anayeamua degree sio wewe ni mwajiri, ukinipa nusu degree tajiri

'Nimuulize Waziri (Prof Mkenda) mimi mtoto wangu anatakiwa kupata degree kwa miaka minne ameishia miaka miwili, nimekosa hela ameshindwa amerudi nyumbani huyu tunamwitaje?, kwanini asipewe nusu degree kwa sababu anayeamua degree sio wewe ni mwajiri, ukinipa nusu degree tajiri
account_circle
𝗔𝗯𝗲𝗿𝘁𝘂𝘀 𝗣𝗮𝘀𝗰𝗵𝗮𝗹, 𝗔.🇹🇿𝕏(@rutaraka) 's Twitter Profile Photo

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Said S. Mussa amekutana na Katibu Mtendaji wa Jumuiya ya Ukanda wa Maziwa Makuu (International Conference on the Great Lakes Region), Balozi Joao Caholo ambapo pamoja na mambo mengine viongozi hao walijadili hali ya siasa, ulinzi na

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Said S. Mussa amekutana na Katibu Mtendaji wa Jumuiya ya Ukanda wa Maziwa Makuu (@_ICGLR_), Balozi Joao Caholo ambapo pamoja na mambo mengine viongozi hao walijadili hali ya siasa, ulinzi na
account_circle
𝗔𝗯𝗲𝗿𝘁𝘂𝘀 𝗣𝗮𝘀𝗰𝗵𝗮𝗹, 𝗔.🇹🇿𝕏(@rutaraka) 's Twitter Profile Photo

📍Bungeni, Dodoma

Waziri wa Maliasili na Utali, Mhe. Angellah Kairuki (Mb.) akijadili jambo na Mbunge wa Jimbo la Bunda Mjini, Mhe. Robert Chacha Maboto katika kikao cha 20 Mkutano wa 15 wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania jijini Dodoma leo Mei 07, 2024.

📸: W/Maliasi

📍Bungeni, Dodoma Waziri wa Maliasili na Utali, Mhe. @AngellahKairuki (Mb.) akijadili jambo na Mbunge wa Jimbo la Bunda Mjini, Mhe. Robert Chacha Maboto katika kikao cha 20 Mkutano wa 15 wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania jijini Dodoma leo Mei 07, 2024. 📸: W/Maliasi
account_circle
Haki Ngowi(@Hakingowi) 's Twitter Profile Photo

🔥🔥🔥

VIDEO:

Msikilize Waziri wa Kilimo Mhe. Hussein Bashe kwenye Ubora wake.

Bajeti ya Wizara ya Kilimo 2024/2025

account_circle
Haki Ngowi(@Hakingowi) 's Twitter Profile Photo

📍Dodoma

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (Mb) (wa saba kulia) na Kiongozi wa Timu ya Wataalam kutoka Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF), Bw. Harris Charalambos Tsangarides (wa saba kushoto), wakiwa katika picha ya pamoja na wajumbe kutoka Serikali ya

📍Dodoma Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (Mb) (wa saba kulia) na Kiongozi wa Timu ya Wataalam kutoka Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF), Bw. Harris Charalambos Tsangarides (wa saba kushoto), wakiwa katika picha ya pamoja na wajumbe kutoka Serikali ya
account_circle
Dr. Abdullah Hasnuu Makame(@dr_makame) 's Twitter Profile Photo



Kila siku ni siku ya WAFANYAKAZI. Leo ni maadhimisho ya siku ya WAFANYAKAZI duniani. Tunatumia fursa hii kutuma salamu za heri kwa maadhimisho haya muhimu: tena hususan kwa WAFANYAKAZI wote na wana East African Community ya Afrika Mashariki

#HERI_YA_SIKU_YA_WAFANYAKAZI Kila siku ni siku ya WAFANYAKAZI. Leo ni maadhimisho ya siku ya WAFANYAKAZI duniani. Tunatumia fursa hii kutuma salamu za heri kwa maadhimisho haya muhimu: tena hususan kwa WAFANYAKAZI wote na wana @jumuiya ya Afrika Mashariki
account_circle