Vijana wakati ukifika muombe ajira...sio mnakuja kuanza kuwalalamikia walimu.
#DemokrasiaYetu inaboresha maslahi ya wasimamizi.
#RoadTo2025
Eti wabunge hii 2024 ndo wanagundua kuwa Kikokotoo ni kero kwa wananchi.
#DemokrasiaYetu imejaa wanafki
Seven out of ten citizens (70%) have some understanding of the term #devolution in the Kenyan context.
However, a significant number of citizens (30%) admit that they do not really know what devolution means.
#SautiZaWananchi , #DemokrasiaYetu .
Bunge ambalo lilipitisha sheria kandamizi kuhusu wafanyakazi/Watanzania.
Then wabunge wake baadaye wakaanza kuzilalamikia hizo sheria kuwa hazifai, wabunge wake hawafai kuaminiwa tena.
#DemokrasiaYetu ni ya kilaghai.
Bunge limekosa #Accountability
#2025WAKATAENI
Nakubaliana na Tariba.
Kinondoni ndo Jimbo lenye maendeleo makubwa kuliko jimbo lolote nchi hii tangu ipate Uhuru.
#DemokrasiaYetu
Wabunge wengi ni empty heads.
Sema mifumo ya #DemokrasiaYetu inasababisha kuwapata watu kama Hawa.
Dunia ina matabaka ndio maana mbunge aliyeishia la 7 analipwa milioni 13 ila Dokta specialist Hana scale hata ya milioni 4
Afrika tuna #DemokrasiaYetu .
Siwashangai Togo.
Kuna nchi hapahapa Afrika.
Mgombea wa Urais anateua watendaji wa Tume ya Uchaguzi, uchaguzi ambao unajumuisha na wapinzani.
Uchaguzi ambao matokeo ya Urais hayapingwi popote pale duniani.
This is Africa 🌍 😀😀😀😀😀
Hapa mnaimba wote Kikokotoo, 2025 mnasahaulishwa na nyongeza kidogo ya mshahara, Khanna, Kofia,T shirts na posho za usimamizi.
#DemokrasiaYetu
#UsitumikeHovyo
Hawa ndo UVCCCM naowajua mimi sasa....na ndo wamesema hivi kifuatacho ni utekelezaji.
#DemokrasiaYetu
CHADEMA wanatekeleza haki yao ya kidemokrasia.
Haya Mambo huko nyuma ilikuwa mwiko kuyaona....kutokana na kutofata katiba.
#DemokrasiaYetu inaruhusu maandamano
Mzalendo Joe Biden yupo Florida anapiga Kampeni.
Mbabe Donald J. Trump yupo Mahakamani anapambania HAKI YAKE.
#DemokrasiaYetu
Nina mashaka na Uraia wa huyo jamaa.
Foreigners huwa wanajiattach huko then unakuta ni decision makers...as CDF said kuna wakimbizi wengine ni decision makers, waliingia kwenye siasa then wakapata nafasi za juu.
#DemokrasiaYetu wa Chama tawala waliropoka huoni wakikemewa
Ni kwamba UVCCCM Taifa kuanzia Mwenyekiti wa Jumuiya na Katibu wake wanakubaliana na Ile kauli, ndio maana hadi sasa wamekaa kimyaaaa....
#DemokrasiaYetu wahuni ndo wanapewa majukwaa